Tanzania should be kicked out of EAC

Tanzania should be kicked out of EAC

Ha haa haaa, Mwanakulitafuta, Mwanakulipata!

Kenya ningewaona mna akili kama kwanza mgezuia ndege zenu zisije Tz kwa sababu huku kuna Corona, mna kila sababu ya kumshukuru Magufuli kwa kuwasaidia ili msiangamie kwa Corona toka Tz.!
 
LangatKipro,

Yaani hamna mwenye ubavu wa kumfukuza Tanzania EAC,yaani hawa Burundi, Rwanda, Uganda wote watoto wa Nyerere pao pakichafuka wana kimbilio Tanzania.

Migogoro yote EAC msuluhishaji ni Tanzania,nyie wenyewe kipindi cha uchaguzi mliuana mkakimbilia Tanzania, baadaye Rais Benjamini Mkapa na Koffi Annan wakaja kusuluhisha.Kwa kifupi HAMNA MWENYE UBAVU WA KUMTOA TANZANIA EAC HAYUPO.
 
Wanafiki, eti mnapigania AFCTA (Muungano wa nchi zote za africa kufunguliana masoko) lakini mumeshidwa kuafikiana na ndugu zenu Tanzania kwa EAC? Hivi mnafikiria kwa hiyo AFCTA nchi za africa zipo wapole kama TZ? nchi kama nigeria, southafrica na nchi za Waarabu Africa mtawezana nazo kweli kama ndugu zenu ngozi nyeusi mnashidwa?
Hooo, sijui hatuihitaji Kenya, sasa rais wetu kuwakataza kuingia Kenya inawauma nn.
Tena kinachoshangazq mnapenda kujishuku km wake wajawazito.
Hamjatajwa km nynyi ndio mnaficha data lkn lile povu mlitema haswa[emoji23]
 
Hio nchi Basi haina muelekeo , mkuu wa mkoa hafai kuzungumzia mambo ya foreign affairs maana hata mkoa wenyewe haupo chini ya wizara ya Mambo ya nje upo chini ya office ya rais tamisemi ,mambo ya foreign policy wapi na wapi na mikoa? Au ndio kila mtu anataka kujimwambafai mwambafai ilimradi aonekane na jiwe? Nchi yenu itabaki kua kituko mbele ya ulimwengu.
Ni kujipendekeza kw mkulu, unajuaje next time atampa uwaziri wa mambo ya nje
 
Hujui tunafaidika nin na EAC? Bila Kenya mazao yetu hayana soko at all mfano mahind, viaz n.k wateja wetu wakuu ni nchi za jirani.
Vinginevyo tunataka tuwatese wakulima. Issue ni kutafuta suluhu maana we are mutual beneficial.
Nani ka kwambia tena kipindi hiki cha Corona,WFP wametabiri kutakuwa na janga kubwa la njaa,masoko yapo kibao.
 
Mbona wakenya hawapo hapa kusema neno? Wamekimbia? Hahaha majirani nawapa pole sana.
 
LangatKipro,

Why? Why? Why? Justify these thoughts so that we, who read this can understand this serious accusation that can lead to hatred among East Africans. Please do the needful before JF members call you NAMES!
 
Uhuru akitafuta namba ya wagonjwa wa Covid 19 Tanzania..[emoji39][emoji111][emoji1]

1596265553776.jpeg
 
Mkuu wewe huna cha kupoteza/kufaidika, wengine tunakaa kwenye nchi zote tatu yaani Kenya, Tanzania na Uganda, tuna watoto wanasoma huko please kuwa makini.
Ikija swala la Utaifa we DO NO GIVE a Crap if you live there or not. Your country should come first. Unadhani waliofungia hizo ndege huko Kenya hawana wanaowafahamu huku TZ[emoji1241]!? Really!?

Umenihuzunisha sana, huo ni umimi uliopitiliza. Na cha kupoteza kipo heshima yako na utu wako kitu pekee utakachokuwa na hakika wajukuu na vitukuu watakikuta.

You are more concerned of here an now and it's blinding you from the most important things. Eti watoto wanasoma huko..Mungu Wangu! Why don't you just be Kenyan!?
 
Hujitambui au pinga pinga imekukaa mno,kabudi ndio alietangaza watanzania wasiingie Kenya?
Kwa hili wanazi wa chadema tulieni tu,jielekezeni kwenye uchaguzi mnatia sana aibu
Pua zimekutanuka kwa jazba hadi unakosa point.

Tunahitaji waziri anayejua diplomasia sio huyu mchekeshaji wa mfalme anayetoa macho tu kwenye migogoro ya kimataifa.
Inamaana hamjui kwanini ndege zetu zimekatazwa kutua Kenya?
 
Kama Taifa tunapaswa kujitafakari mtu kama Kabudi sio mwanadiplomasia bali ni mchekeshaji wa mfalme ndiyo maana nchi yetu inaonekaka kituko mbele ya jamii za kimataifa.

Rais mstaafu Kikwete aombwe kwa hisani kuchukua hatamu za wizara hii.

Tanzania ni zaidi sana ya tunayoyashuhudia sasa.
 
Bila Tz hakuna Jumuiya ya Afrika Mashariki period! Jaribuni muone kama hata miezi sita tu mtaweza
Mkaungane na Somalia Ethiopia Eriteria Sudan Kusini
Tz itajiunga na Uganda Rwanda Burundi DRC
TUONE vile mtarudi humu kuomba kurudi
Tz ni habari nyingine buaaana!
 
Rais mstaafu Kikwete aombwe kwa hisani kuchukua hatamu za wizara hii.

Tanzania ni zaidi sana ya tunayoyashuhudia sasa.
Kumbe Mr corona una upinzani mpaka kwenye maswala ya kitaifa,leo ndio nimeijua rangi yako.
 
Back
Top Bottom