Tanzania tuachane mfumo wa kupandishia watu mishahara bila kuwa na vigezo vya utendaji (performance)

My daily routine:-
Saa 2 asb, reporting to office and sign in.
Saa 2-4 kuangalia mafaili mapya yalikuja.
Saa 4. Kupata chochote maziwa moto.
Saa 4-6 Kupitia magazeti .
Saa 7-8 Lunch time...
Saa 8 Nacheua cheua kidogo nilichokula na kujitayarisha kuondoka.
:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
 
Typist au mchapaji anatakiwa abadirishe namna ya kubonyeza keyboard?

Mwl anatakiwa abadili namna ya kufundisha kila baada ya miaka mitano?
Mwalimu ana vingi ya kuboresha mkuu, teaching documents, approaches, methodologies, techniques pia aboreshe teaching aids kama alizoea drawings basi atumie hata audio-visual.
 
NADHANI KABLA RAIS HAJAPANDISHA MSHAHARA KUNA LA KUFANYA KWANZA,ILI NYONGEZA IWEZE KUENDANA NA TIJA TARAJIWA.
 
Failures wanakuwa walimu wapi?
Walimu wasioweza kufundisha. Mytu anakuja humu anaandika "kufikilia" badala ya 'kufikiria", sasa fikiri failure kama huyo hata kwa lugha yake ya taifa kafundishwa na Mwalimu yupi kuandika hivyo?

Simply huyo ni "An Uneducated fool from an uneducated school".
 
Typist au mchapaji anatakiwa abadirishe namna ya kubonyeza keyboard?

Mwl anatakiwa abadili namna ya kufundisha kila baada ya miaka mitano?
Jitazame wewe ulivyoandika "adadirishe" badala ya abadilishe. Kiswahili hicho kama alikufundisha Mwalimu wako, basi huyo Mwalimu alikuwa hafai, ni mjinga, na huo ujinga akakufundisha wewe, sasa unauendeleza.

Hizo ndizo shule za kufundisha ujinga.

Hata "arguments" zako ni finyu kiasi huelewi kuwa vipimo vya utendaji vikiwekwa na kutekelezwa kwa ufanisi ndivyo vinapelekea wafanyakazi kupewa mafunzo ya ziada ya kazi pale wasipopaweza kiubora.

Ukipitia vizuri huu uzi, nimeandika juu huko, kipimo cha ubora wa kazi kitapelekea au Mwalimu apandishe mshahara au apelekwe tena mafunzo kazini ili afikie kiwango kinachohitajika palae ambapo ataonekana hana kiwango bora. Au akishindwa kabisa itabidi ahamishwe hiyo kazi atafutiwe kwengine anapopaweza.

Licha ya kuwa si lazima kila Mwaalimu apandishwe daraja na kulipwa zaidi wakati hana kiwango, pia si lazima kila Mwalimu abaki kuwa Mwalimu hata asipoweza kufundisha. Vipimo vya uwezo wa kazi vya mara kwa mara ndivyo vitatoa majibu.

Narudia, huku kwa Walimu ndipo haswa zoezi hilo lianzie na lifanywe kwa nguvu na uadilifu mkubwa bila kuwa na huruma.

Mtu kama hawezi kufundisha akapike mandazi auze, badala ya kuleta mandazi wanafunzi wawe ndio wawe wateja wake wa mandazi. Ni ujinga tu.

Tukianzia kwa kuwa na Walimu bora basi ndani ya miaka michache tutakuwa na wafanyakazi bora kabisa, wafanyakazi wakifundishwa maadili mema, uchapa kazi, nidhamu kuanzia mashuleni, makazini itakuwa hakuna haja ya kupoteza muda kuanza tena kuwafundisha hao.

Shule zetu zinazalisha wafanya kazi wabovu kabisa. "No excuse".
 
Hilo lichama lingine utendaji kazi wake utauona vipi na tangu tupate uhuru lichama linalokalia kiti kwa wizi wa kura ni li ccm peke ake?
 
Tpying error sio sababu ya kuleta longolongo zako. Elimu ya Tz ipo vizuri na appraisal zinafanyika kila mwaka. Appraisal sio kigezo cha kupandisha kima cha chini cha mshahara.
R na L zilivyo mbali hakuna "typing error" hapo, hapo kuna kusomeshwa ujinga. Unataka kunifunidha "typing error" wakati nna-type kwa zaidi ya miaka 50? "Typing errors au "typo" zinagfahamika waziwazi na ingekuwa hivyo nisingekurekebisha.

Fikiri kabla hujajitetea kijinga. Kubali ni kosa ujirekebishe.

Watu kama wewe kama ni wafanyakazi wa serikalini ndiyo haswa inabidi mfanyiwe tathmini na mnapokuwa hamna ubora msomeshwe kwa vitendo. Na wakati mnasomeshwa mishahara yenu ikatwe nusu. Nusu inayobaki iende kwa wale wanaofanya vizuri kama "performance bonus". Kumuongezea mtu kipato si lazima kumuongezea mshahara kila mwaka.

Wanaostahili kuongezewa kipato ni wale wanaoanya vizuri na si lzima iwe kuongezewa mshahara, wanaweza kuongezewa kipato kwa "performance" zao.

Ni lazima kuwe na mbinu za kuwafanyisha mashindano ya ufanisi na ubora kazini, wafanyakazi wawe wanashindana kwa ubora ili kila mtu afanikiwe kupata kipato cha ziada. Si kila mmoja kukaa mdomo wazi anangoja kipato cha ziada wakati haifanyi kazi yake kwa ufanisi.
 
Hilo lichama lingine utendaji kazi wake utauona vipi na tangu tupate uhuru lichama linalokalia kiti kwa wizi wa kura ni li ccm peke ake?
Kwani ni lazima uwepo kwenye hilo "lichama", "lichama" la wengine? Wewe linakuuma nini, si uende "lichama" lolote lingine linalokufaa? Au uanzishe lichama lako.
 
Hiyo nyongeza ndiyo itegemee "stringent appraisal meaasures", tuachane na mfumo wa kuongeza kimkupuo.

Hii ya kufanya nyongeza kwa mkumbo ndiyo pia inachangia shillingi kushuka thamani. Kianachotakiwa ni kubuni njia za kuongeza thamani ya pesa na si kuchochea kuzishusha thamani.

Ni ujinga tu kudhani kuwa nyongeza za mshahara ni muarubaini wa kutosheka kwa mishahara.
 
Sasa wewe unafikiaje hii general conclusion bila kutumia huo mfumo wa upimaji? Mi naona hoja hii imeletwa kwa nia ya muendelezo wa hujuma kwa watumishi hasahasa WALIMU kwa kuwa nia ni kujinufaisha ninyi na familia zenu mliokamata Nchi!

Na hakuna MTU namchukia humu JF kama wewe kutokana na post zako ULANIWE!
 
Chuki zako mimi hazinipunguzii wala hazinizidishii. Endelea kuumiza roho yako.

Hoja zako ni mfu. Kinachoongelewa hapa ni kama kilivyo post namba 1.

Kama wewe ni Mwalimu, joifirie unawafundisha nini wanafunzi wako? Mimi ntakwambia, unawafundisha ujinga tu. Hakuna zaidi. Jifikirie.
 
Kama hauna umakini wa kuandika hata kazi utakuwa hauna umakini nayo. Anaefanya vizuri ni vizuri tu, hana mipaka ya kufanya vizuri.
 
Kama wewe ni Kibaraka na Alshababu ambae muda wowote utipua watu jifukirie unamaana gani ya kuendelea kutetea ushetani!
 
Ccm wanatakiwa watoe boriti Kwenye jicho lao ndipo itakapoona kibanzi Kwenye maeneo mengine huwezi kuanza kuwatesa wafanyakazi wakati wewe mwenyewe ni hopeless! Kama mna demand maboresho ya namna ya kupandisha watu mishahara based on outcome/output basi nasisi tunataka completely overhaul ya katiba hapo ndipo tutaenda sawa.
 
Mfano hai ni mama Anna Kilango Malecela ariharibu ukuu wa mkoa na kupewa ubunge
 
Mfano hai ni mama Anna Kilango Malecela ariharibu ukuu wa mkoa na kupewa ubunge
Wewe hata lugha yako ya taifa unaiharibu. Nikuamini vipi kwa ujinga kama huo?
 
Alternative way watz watakachokifanya ni kupunguza hari ya kazi na kuanza kuiibia serikali
 
Hii itakua nzuri sana na uchumi wa nchi utakua. Maana kweli kuna watu wanalipwa mishahara lakini michango yao ni kidogo sana kwa sababu za uzembe na kutokujituma, alaf unakuta nao wanataka pia mishahara yao iongezwe.

Performance based salary incremental is the best solution.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…