Tanzania: Tumecheka sana na nyani, na sasa tunavuna mabua

Tatizo wapinzani wenyewe hatuna Mkuu.
Au tunao lakini hawajielewi ni kama pimbi tu.
Wapinzani wanaojielewa ni wachache sana kama wakili msomi Mwabukusi, Mbatia, Mdude n.k.
Wengine wanaongozwa zaidi na akili za tumboni

Mdude?!


Are we really that desperate?
 
Kwasasa tatizo sio SERIKALI tena, kwani SERIKALI imeonyesha uwezo wake katika kuongoza nchi upoje, (inaweza au haiwezi) ..bali Tatizo ni JESHI na WANANCHI wake, wamelizia kuwa na watu wasio kuwa na akili timamu wala uzalendo......


Jeshi = Tatizo [emoji777]

Wananchi = Tatizo [emoji736][emoji736][emoji736]
 
Mzee wa msoga ndiye chanzo cha maisha magumu ya watanzania huyu jamaa akiondoka hii nchi itakuwa na kilakitu
 
Wenyewe wameongeza wizara ambazo huwa zinafuatana na utitili wa watu toka juu hadi kata kwa kisingizio cha kuleta ufanisi. 🤣🤣🤣
 
Hii issue ya dollar shortage ipo Tanzania toka mwaka jana, biashara haziendi, una nunua mzigo nje bank inakuambia hakuna dollar weka maombi yako hapa uende siku tukipata dollar na approval from BOT tutakupigia, hii nchi ya hovyo sasa kwa sasa, hatuna Rais , anachoweza ni kuongea na kutoa hotuba zisizo na maana
 
Na hawa ndo nyani wenyewe waliotufikisha hapa tulipo
 
Nchi hii wanaoiacha na kuondoka kwenda kwa muumba basi tu! Yupo akiondoka mmoja, nchi itapona saana tu

Hii inasemwa mpaka na wanyumbani mwake

Salaam Tanzania
Mkuu huu mwaka mafisadi mengi tutayazika sana!
 
Hivi na maccm Yana maisha magumu kweli, yenyewe si yananunua sukari kilo elfu Mbili tu.
Nchi ya hovyo sana Tanzania
 
🤣🤣Hotuba anazohariri njanuary makaamba
 
Mtamkumbuka mzee Asaad aliposema bunge dhaifu. Na Magufuli akamuondoa kwa kufichua trilioni na nusu
Ni kazi ya bunge kuishupalia na kuifanyia kazi kikamilifu mpaka mawaziri husika wanyooke
 
Ni balaa wakuu.. umeme ni hatari hatar hatari. Niko na shughul zangu hapa mtaa wa samora posta, wakuu, umeme unakatika na kurud after every less then 15 minutes. Jaman jamani serikali hii inaweza ikaonyesha nini ambacho imefanya cha kujivunia kama hata mambo madogo mno kama haya yanawasumbua??
 
Wakikutana wanatucheka
 

Serikali haichukulii kwa uzito hizi report, ndio maana wahusika wapo tu wanadunda. Na mwakani watatajwa tena wale wale pale pale. Tutasikitika, tutachukia, hakuna hatua zitachukuliwa circle will repeat itself
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…