Tanzania tumeshindwa kuwa hata wanafiki, sasa macho yote kwa John

Duh! Niliweka uzi wa mhusika kuhusu kile alichoandika lakini MOD mnoko kishabadili!
😳 Yeah! Where we DARE TO TALK OPENLY!

Eh! Walisema humu watu itafika siku wote tutaongea LUGHA moja. Hata wewe Mkuu? Duh! ila nikupe hongera kwa KUJITAMBUA na nategemea hutageuka nyuma.

TumainiEl
 
Nimekukubali mkuu. Huyu ni kiongozi mzuri sana kama ataaondoa visasi , chuki za wazi kwa wapinzani na kama atasimamia katiba kufuatwa na mihimili yote. Atakuwa kiongozi bora duniani
JPM ni kiongozi bora wa zama hizi, muhimu ccm wamuwekee control kupitia katiba ya Warioba itakayoboreshwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila coraona ndio imetufungia hesabu sijui baada ya uchaguzi 1$ itakuwa ni sawa na pesa ngapi za madafu
 
Haupo high?
 
Ila coraona ndio imetufungia hesabu sijui baada ya uchaguzi 1$ itakuwa ni sawa na pesa ngapi za madafu
Tununue $ kwa wingi.
 
Nimekukubali mkuu. Huyu ni kiongozi mzuri sana kama ataaondoa visasi , chuki za wazi kwa wapinzani na kama atasimamia katiba kufuatwa na mihimili yote. Atakuwa kiongozi bora duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hizo tabia hawezi kuzibadilisha, ni inborn traits, ni sehemu ya personalty yake na ndo zinamfanya awe yeye.
 

Pumba


Sent using Jamii Forums mobile app
 
TumainiEL umekuwaJe siku hizi ?! Ni mwanga au mtego !!

Odhis *
 
Better now unalitambua hilo coz wengine since huyu bwana siku kaapishwa we saw the gap kwamba kuna nut moja kichwani haiko sawa.
 
Eh! Walisema humu watu itafika siku wote tutaongea LUGHA moja. Hata wewe Mkuu? Duh! ila nikupe hongera kwa KUJITAMBUA na nategemea hutageuka nyuma.

TumainiEl
Karibu tena Mkuu. Ulipotea kwa muda.
Ungewaomba ushahidi wa Picha ama video kuonyesha wingi huo wa wagonjwa. Kumbuka MSM media ni kama zina tenda ya kuhakikisha Corona inapata airtime ya kutosha kwa ajili ya faida ya baadaye ya Big Pharma! Upo!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…