Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu

Mtu akiwa mwongo asiwe na ugonjwa wa kusahau vile vile
 
Ni ujinga kwakweli,Kukodisha bandari kwa mkataba usio na mwisho na hatari
 
Watanzania asilimia kubwa,wanapenda mambo ya kijingajinga,na yatapewa,kipaumbele

Ova
 
Ni ujinga kwakweli,Kukodisha bandari kwa mkataba usio na mwisho na hatari
Ile kuitoa tu bandari na kuwapa watu wengine waendeshe, tayari inainesha tanzania kuna wajinga mambugila wezi wavivu maana wameshindwa
Sisi tunachojuwa ni kukatika masingeli na kucheza amapiano tu

Ova
 
Ujinga kuanzia Kwa viongozi Hadi raia
 

Sasa wewe mbona umehororoja na kubwabaja porojo za ujinga bila kuonesha huo werevu ni upi.

Sasa kama huo wako si ujinga pia ni nini?
 
Uongo mtupu.

Mkutano wa hadhara usio hata na video clip?

Hivi unafikiri sote tuna ujinga ulionao wewe?
 
Adui yetu mkubwa Bi Faiza, mimi kwa maoni yangu ni CCM. Kimetawala miaka yote kwa kuwafanya wananchi ndondocha☹
 
Ujinga kuanzia Kwa viongozi Hadi raia
Tumewaona kina magufuli za wataalam wake kina mhongo na kabudi wakibadili sheria za madini mwaka 2018 halafu hizohizo sasa zinatuchapa viboko tunalipa mabilioni. Umeziona kesi za madini zilizopo ICSID, jamaa wameliona tobo kweye za hao ma dokta na maprofesa sheria wanalitumia vilivyo na hatuna ujanja.

Hapo vipi?
 
 
CCM inaendeshwa na Watanzania kama Watanzania wengine. Wengi wa wapinzani kama si wite walitokea hukohuko CCM, waliifanyia nini nchi?
 
Ujinga siyo adui adui mkubwa tanzania ni mmoja naye ni upumbavu .....cheki mtu anaona fahari kuongwa PHD YA KUCHAMBIA KWA YEYE KUTOA BANDARI huo siyo ujinga bali ni upumbavu ulio dhahili
 
Tutabaki kuwa wajinga mpaka kaburini.
Ila ukweli usemwe waisiharamu ndiyo wapumbavu zaidi wanapo kuwa kwenye uongozi wa nchi.....tatizo siyo ujinga bali ni viongozi wapumbavu.
 

Umenena sina cha kuongeza ni 100% na zaidi! Kila mjinga ni mjuaji pia anapenda argument na hana hoja anahorojeka tu. Mijadala na wabongo imekuwa inaboa kuliko chochote, utachangia mara moja then vinavyofuata ni uharo tu unaacha hata kurudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…