FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Serikali yetu haipo vizuri aiseeMzani utabalance siku zote, hata iweje, huwezi kuwapandishia watu gharama za uendeshaji halafu ukategemea mambo yawe vilevile, hii nchi ina mamlaka za udhibiti kama kumbikumbi, kazi kuomba rushwa tu, hizo rushwa ndio tunabebeshwa wateja sasa
Wao wanatoaje vifurushi vyao?naona TTCL wanapimishia mchongo waje wateke soko
Hiki ni kitu gani mkuuTutakuwa wanachama wa freebasic labda na hko wahujumu
Mitandao yote? Namna ya kuipata?Hapo unateleza hata pasipo bando unaingia na JF kidogo mambo mtelezo.
Ombi pia kwa Moderator na mkuu Maxence Melo na wengine JamiiForums tunaomba uzi huu muupeleke kwenye mitandao yenu ya kijamii wanaweza sikia malalamiko haya.TCRA angalieni upya haya masuala ya bando kinachofuata ni taasisi zitapata hasara kutokana na maamuzi yanayofanya.....
Ombi langu kwenu zipo taasisi ambazo daily zinatumia internet kwaajili ya kutoa huduma kwa wateja wake ambazo zinasaidia serikali kupata kodi pia msitizame mitandao ya kijamii na kuhisi Mitandao hiyo ndio inafaidika na mtandao Bali zipo taasisi nyingi zinatumia mtandao kufanya kazi.....
Ombi letu angalieni upya suala hili
Makampuni yatakosa mapato nq serikali itakosa kodi hizi ndio pointi ambavyo vyama vya siasa vilitakiwa vilichukue ila wamekaa kujadili mambo ambayo hayamgusi mwananchi moja kwa mojanajua watapata hasara sana
Hiyo huduma ikoje mkuu?Tutakuwa wanachama wa freebasic labda na hko wahujumu