Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,061
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
school children 1960
![]()
1947?????????????
![]()
![]()
Afro 70 wakiwa Namanga mwaka 1970 baada ya kutoka Nairobi kupata vyombo vipya.
Walilazimika kupiga Namanga ili wapite na vyombo vyao vipya bila bughudha
Nimemjua Balisidya tu hapo.
moja ya diamond wa enzi hizo. Love the heading.
![]()
![]()
UDA ya wakati huo
mabasi ya east african railways corporation
Mafisadi wataifuta hii historia kwa kununua na kujenga majengo kama ilivotokea kwa Manji kulinunua kifisadi na kulivunja jengo la zamani mtaa wa Samora na Mkwepu Dar ama nyuma ya Posta ya Zamani
MODS please stick this forever. Best post of the year. This should be Tanzania Year Book. Big up EMT.
Hapo kwenye Cartex si ndio kuna Bank hapo meridian bank kwa sasa? Ilo Curio ndio IPS Building?