Tanzania ya enzi hizo katika picha
nyerere_with_people2.jpg
 
Dah sijui tulichemsha wapi aisee
hahahaahahaaaaa........ who knows?...na tusimlaumu Kikwete aliposema "sijui kwa nini sisi ni masikini"..... nobody knows!

Wanasema kulikuwa na mkutano wa chama Arusha, ghafla Nyerere akatoa kikaratasi kwenye mfuko wa shati kimendikwa na mkono, kuanzia leo hakuna kumiliki nyumba mbili, hakuna kuishi nje ya kijiji.....n.k n.k.

But then again that begs a question: ingekuwa ni hivyo mbona ambao hawakufuata ujamaa, Msumbiji, Uganda, Zambia, Malawi, Burundi, Somalia, Zaire ... mbona na wenyewe wamelosti kaa sisi?

Mkuu, hii vehicle naona ni left hand drive na inaendeshwa njia ya kulia, zamani tulikuwa tunaendesha kulia au?
 
duh nimelia machozi ya furaha, Arusha kwetu hali ya hewa nzuri, mji wa kibiashara na kitalii lakini mji wake haujapangiliwa vizuri mjini pamesongamana, hakuna namna ya kupapanua mfan barabara zimeshikamana na majengo kwa kweli inaniuma kuona mipango miji yetu ni very very poor, watanzania tumelala jamani. nakumbuka niliona picha za mabasi ya ghorofa yalikuwepo hapa TZ enzi hizo. vw combi ndio zilikuwa zinatamba kama ilivyo prado leo!
 
hahahaahahaaaaa........ who knows?...na tusimlaumu Kikwete aliposema "sijui kwa nini sisi ni masikini"..... nobody knows!

Wanasema kulikuwa na mkutano wa chama Arusha, ghafla Nyerere akatoa kikaratasi kwenye mfuko wa shati kimendikwa na mkono, kuanzia leo hakuna kumiliki nyumba mbili, hakuna kuishi nje ya kijiji.....n.k n.k.

But then again that begs a question: ingekuwa ni hivyo mbona ambao hawakufuata ujamaa, Msumbiji, Uganda, Zambia, Malawi, Burundi, Somalia, Zaire ... mbona na wenyewe wamelosti kaa sisi?


Mkuu, hii vehicle naona ni left hand drive na inaendeshwa njia ya kulia, zamani tulikuwa tunaendesha kulia au?

Ilikuwa hivyo hivyo tu ukiwa na gari la left hand lazima upigwe msasa sana hata hivyo mbona gari za left hand bado zipo nyingi tu... ila kwa zamani ukiona left hand vehicle watu wanalishngaa na wengi tulijua ni special order au Gari za uarabuni na waarabu walikuwa nazo nyingi wakiagiza kwao huko
 
Ilikuwa hivyo hivyo tu ukiwa na gari la left hand lazima upigwe msasa


321319_567560519939155_1640830906_n.jpg


Lakini sio kwa magari ya biashara, hivi nani anaweza kuagiza basi la UDA left hand drive? Dereva wa gari la abiria wengi atakuwaje kushoto, dangerous! Halafu ukiliangalia liko upande wa kulia wa barabara, wakati sisi tunaendesha upande wa kushoto, hii picha inawezekana sio Tanzania hapa. Dereva mchina halafu kuna ile miti ya Kichina china kama Xmass trees, Tanzania ya wapi hiyo?

Basi liko on transit kuelekea Tanzania, si ajabu.
 
321319_567560519939155_1640830906_n.jpg


Lakini sio kwa magari ya biashara, hivi nani anaweza kuagiza basi la UDA left hand drive? Dereva wa gari la abiria wengi atakuwaje kushoto, dangerous! Halafu ukiliangalia liko upande wa kulia wa barabara, wakati sisi tunaendesha upande wa kushoto, hii picha inawezekana sio Tanzania hapa. Dereva mchina halafu kuna ile miti ya Kichina china kama Xmass trees, Tanzania ya wapi hiyo?

Basi liko on transit kuelekea Tanzania, si ajabu.
Haya Mabasi yaliagizwa Special kwa Tanzania sikujua kama yalikuwa ni msaada au UDA walinunua Tanzania miaka ile kwa misaada ndio wenyewe kuna miaka flan ya tisini niliyaona yakiwa mabovu na kuna moja wakalifufua then likachemsha wakaachana nayo kama walionunua sijui au yaligeuzwa chuma chakavu i don't care UDA walikuwa na tabia ya kuuza mabasi ya zamani na mengine mazima wakidai yamekufa huyafungua matairi tu na kuya park then wanapiga mnada kuna ma icarus bus yaliyokuja yakiwa Right Hand na Mengine Left Hand cha muhimu ni Abiria kushukia kushoto tu Madereva walikuwa wanapigwa msasa hadi wanazoea kuendesha left hand ni simple tu mboa mkuu mimi nimeendesha Korando yaani fresh tu..

attachment.php

Tizama hili nalo lilikuwa Left Hand Dereva namuona hapo yupo kushoto Posta ya zamani hapo niliyapanda sana haya kutoka Posta kwenda Magomeni
 
Hilo jengo la kulia pana Bank ya posta kwa sasa,kushoto hapo penye caltex pana jengo linauza stationeries na vitu vingi vingi tu.Kabla ya bank ya posta palikuwa na Greeland iliofilisika
Hapo kwenye Cartex si ndio kuna Bank hapo meridian bank kwa sasa? Ilo Curio ndio IPS Building?
 
ma icarus bus yaliyokuja yakiwa Right Hand na Mengine Left Hand cha muhimu ni Abiria kushukia kushoto tu Madereva walikuwa wanapigwa msasa hadi wanazoea kuendesha left hand
Mtumeeeeee! yani nchi inaagiza magari ya mass transit ambayo ni left hand drive? Jamani hii nchi yetu ikoje? Unaweka order ya mabasi left hand drive???? hahahahahahaaa......

Ukiendesha mkono wa kushoto ni vigumu kuona gari zinazokuja mbele, halafu kwa nchi yetu yenye barabara za lane moja kupiga overtake ni almost lazima, vinginevyo unaweza kukaa nyuma ya canter imepagawishwa overload la gunia za mahindi kutoka Mwanza hadi Dar linaenda kaa kobe, ushawahi kusafiri na magari upcountry lakini? Overtaking ni lazima babaake. Left Hand Drive ni super risky kwenye overtaking, wananchi tunasema ni poa?? hahahahahaaaa......

Nchi zilizoendelea zina taratibu za usalama, kama wao ni Right Hand Drive (US kwa mfano US) basi huwezi kukuta gari ya Left Hand Drive barabarani. Lakini kwa nini twende Marekani mbali kote huko, Kenya wamepiga marufuku ku import magari ya Left Hand Drive .
 
Mtumeeeeee! yani nchi inaagiza magari ya mass transit ambayo ni left hand drive? Jamani hii nchi yetu ikoje? Unaweka order ya mabasi left hand drive???? hahahahahahaaa......

Ukiendesha mkono wa kushoto ni vigumu kuona gari zinazokuja mbele, halafu kwa nchi yetu yenye barabara za lane moja kupiga overtake ni almost lazima, vinginevyo unaweza kukaa nyuma ya canter imepagawishwa overload la gunia za mahindi kutoka Mwanza hadi Dar linaenda kaa kobe, ushawahi kusafiri na magari upcountry lakini? Overtaking ni lazima babaake. Left Hand Drive ni super risky kwenye overtaking, wananchi tunasema ni poa?? hahahahahaaaa......

Nchi zilizoendelea zina taratibu za usalama, kama wao ni Right Hand Drive (US kwa mfano US) basi huwezi kukuta gari ya Left Hand Drive barabarani. Lakini kwa nini twende Marekani mbali kote huko, Kenya wamepiga marufuku ku import magari ya Left Hand Drive .
Cha Msaada huwezi kataa hata mimi ukiniletea Demu Bomba wa Kisiyria aliyekimbia vita huko kwao wala simuachi namtuliza ndani kama wife.. Nini Left hand vehicle ... wajua Zamani Tanzania ilikuwa inapata misaada mingi sana ila ilianza kukata pale ilipositisha uhusiano na Israel basi zile nchi marafiki na israel zikatutupa. Mavitu kama hayo yalikuwa ya kumwaga misaada mingi sana tulipata na sio kwamba nchi ilikuwa inaagiza magari ya left hand...

Tanzania nadhani hawakatazi kuagiza magari ya left hand bado hatujajitosheleza kwa magari nchini na sio kwamba issue sana kuendesha left hand vehicle ni easy tu mbona hata hizi Double road ukikaa upande wa speed ni sawa na kuendesha left side
 
enzi izooo dar hakuna foleni
Nani kakudanganya? Barabara ya Morogoro kuanzia fire jangwani hadi kibaha kote ilikuwa Single road hali ilikuwa mbaya wakaipanua hata hapo Samora avenue,Sokoine drive mwendo ilikuwa ni kupishana tu kwenye double road moja ilikuwa ni balaa hadi idea ya kuzifanya road ziwe one way na no entry kiasi ikapunguza foleni tatizo la foleni ni la siku nyingi
 
tena zamani ukipata toto,..toto kweli,.siyo siku hizi makapi tu
 
ENZI za ekalius kumbakumba maana likiwakuta kituoni hapabaki m2 labda kapenda mwenyewe.daaah inanikumbusha zamani hzo enzi za mwl.
 
Yaani huyu mh alikaa madarkani kwa muda mrefu sana cha kufurahisha na kupendeza hakubadili umbo lake la acil kama watatwala wa zama hizi miaka miwili tu m2 mali kibao na kupata obezite.
 
Back
Top Bottom