Tanzania ya enzi hizo katika picha
these are good memories to be preserved forthe benefits of future generation...BRAVO!
 
This page is excellent. Ukiwaambia vijana mabo yalivyokuwa wanadhani tunaongeza salt.Nadhani wanajionea wenyewe mabo yalivyokuwa. Mipango miji waende shule upya na kale ka ufisadi syndrome kapate tiba
 
Sokoine University of Agriculture(SUA)-1971

Naona ilikuwa nzuri safi sana ..
 
Wajameni tumetoka mbali. Dah!

aaab11.jpg

Na wewe ulikuwepo miaka ya 50,60,na mwanzoni mwa 70 oops nashangaa shangaa
 
attachment.php
..Pure and clean blood... Hakuna cha 'ngoma' wala cha kutafuta 'rough rider'😛layball:... Siye wazamani tumefaidi, bana. Waliochelewa kuzaliwa watajijuuuu...
naona kulikuwa hakuana mambo ya kujikondesha etu ooh tunafanya diet ..Black beaty ,nywele nzuri no zazuu no kalikiti nywele twende Kilioni au mkungu wa ndizi
 
Nimeipenda sana hii thread sijui ilinipita wapi ..nzuri na imejaa kumbukumbu nzuri sana Nawapa Big up sana wote mlioleta Picha hata sisi wengine tumeweza kuona yaliyokuwepo miaka hiyo Tanzania ilikuwa safi Watu watulivu Mazingira tulivu na ya kuvutia Magari ye mwendo wa Kobe
 
Akuna Cha hijabu wala buibui.hawa waarabu wametuharibu sana. Wametufanya tuchukiane. Sasa mwenzetu dini gani inazidi kukua. Watanzania tupendane. Tusichukiane kwa sababu ya tofauti za kidini. Siamini kwamba kuna dini inayoweza kufikisha mtu mbinguni Kama matendo hayatoshi mbele za HAKI?kuna sehemu hakuna ukristo na kuna sehemu hakuna uislamu.mnataka kuniambia watu hawa wote hawatakuwa na mbingu kwa ajili ya dini au watahukumiwa kufuatana na matendo yao?vipi wale wa Kabla ya Urio wa Bwana Yesu? Vipi na wale wate waliokuwepo Kabla ya Muhammad ? Mungu atawapotezea tu? Take care, Love each other.


Hey..Hey..!!!.. Completely off-topic..:A S-frusty: Usitukate stimu.

Enzi hizo nchi hii ilikuwa chini ya uongozi madhubuti wa Mheshimiwa hapa..
.........Hebu sikiliza point anazozungumza...

 
Last edited by a moderator:
naona kulikuwa hakuana mambo ya kujikondesha etu ooh tunafanya diet ..Black beaty ,nywele nzuri no zazuu no kalikiti nywele twende Kilioni au mkungu wa ndizi


Na kumpata binti enzi hizo, inabidi usote kwenye kona mtaa ukitongoza mara nyingine zaidi ya miezi sita hujaona ndani.!!
 
!!!!!!!!!!!!!!! Tunashukuru sana wadawu kwa kutukumbusha matukio mbalimbali hasa kama vile picha za zamani kwa ufupi nimefurahi sana.Ushauri wangu ni kwamba endeleni hivyo hivyo kutukumbusha.!!!!!!!!!!!!!!
 
Hee!!! Kumbe Serikali haijafanya kitu tangu Uhuru. Mpaka Chadema itakapoingia madarakani.
 
321319_567560519939155_1640830906_n.jpg


Lakini sio kwa magari ya biashara, hivi nani anaweza kuagiza basi la UDA left hand drive? Dereva wa gari la abiria wengi atakuwaje kushoto, dangerous! Halafu ukiliangalia liko upande wa kulia wa barabara, wakati sisi tunaendesha upande wa kushoto, hii picha inawezekana sio Tanzania hapa.
hata jengo ni la kichina!
namwona hata konda ni mchina!
 
This page is excellent. Ukiwaambia vijana mabo yalivyokuwa wanadhani tunaongeza salt.Nadhani wanajionea wenyewe mabo yalivyokuwa. Mipango miji waende shule upya na kale ka ufisadi syndrome kapate tiba

Sasa nani kaharibu huo mfumo? Vijana ?
 
321319_567560519939155_1640830906_n.jpg


Lakini sio kwa magari ya biashara, hivi nani anaweza kuagiza basi la UDA left hand drive? Dereva wa gari la abiria wengi atakuwaje kushoto, dangerous! Halafu ukiliangalia liko upande wa kulia wa barabara, wakati sisi tunaendesha upande wa kushoto, hii picha inawezekana sio Tanzania hapa.
hata jengo ni la kichina!
namwona hata konda ni mchina!

Haya mabasi niliyakuta urusi ndio wanayatumia kwenye usafiri yamekuwa so improved yana ac caemra electronic tickets etc.. Sisi tuliyaua kumbe?
 
Buriani Ukoloni Buriani maendeleo. Tanzania nakupenda sana!
 
AM SO SO SO SO HAAAAAAAPY ULIYELETA HII THREAD UMENIFURAHSHA SANA U KNW SS WATU WA 1980's ukiona vtu kama hv ni raha tupu
 
Back
Top Bottom