Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,061
nimekumbuka na zile mashine za tiketi walizokuwa wanatumia makonda.Na ukikutwa na inspector huna tiketi i.e ulitaka kusafiri bure bila kulipa nauli adhabu yake ni kwenda kuosha mabasi depot kurasini
Palikuwa swadakta sana1947?????????????