Tanzania ya enzi hizo katika picha
Hujasema "miaka 47".... umesema enzi hizo 1947. Tunavyosema? Tunavyosema wewe na nani? Umeandika fixi halafu unataka kuzuga na "tunavyosema miaka 47." Miaka 47 ya nini, ya Muungano?

Na hata uki assume kwamba kweli hukumaanisha 1947. Ina maana unakiri kwamba miaka ya kwenye hizi picha haimaanishwi kama ilivyoandikwa, ni ya kubuni tu, ya kuzuga, sio?

Nilikuwa nimeipanda sana hii thread maana it was a powerful vehicle to a different era, kumbe miaka yenyewe famba...

Wa wapi wewe? Unaonekana umezaliwa kizazi cha mulugo ungekua kizazi cha Nyerere mwaka 47 au 1947 ungejua maana yake inawakilisha nini,hyo miaka mingine ni ya kweli acha kuaribu uzi bwana wewe....Mwaka 1947 it represents unknown year kama wewe unajua huo mwaka just put there na sio kutoa povu tu,malumbano closed
 
View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966
Iko wapi hiyo clock tower? Picha nyingine na caption zake ni famba ile mbaya, picha inasema Arusha Clock Tower halafu kwenye picha clock tower hakuna!

....Mwaka 1947 it represents unknown year
sio kweli kwamba 1947 ina maanisha unknown year, '47 ikitumika inavyotakiwa inamaanisha kitu cha zamani ya enzi ya miaka ya 1940's, 50's, and maybe 60's the latest, sasa huwezi kutuwekea picha ya the 2000's ukatamka kwamba ni ya 1947 badae unabadili story eti oooh sijamanisha hivyo, hizo ni fixi. Gazeti la Mzalendo wala Uhuru hayakuwepo mwaka 47; miaka unayoweka kwenye caption za picha hizi nyingine ni kamba!

 
486669_450457578362457_124579603_n.jpg
 
Humu ndani tunavyodanganywa wakati mwengine, noma

Tuliwekewa picha hii tukaambiwa ni Bi.Kidude

Kumbe imepigwa 1890 huko, Bi.Kidude hata hajazaliwa seuze kuwa "Mjakazi mzima na watoto juu"

Zanzibar_woman.jpg


(Photograph of woman from Zanzibar by Coutinho brothers, c. 1890)
 
Mkuu wangu MJA hapo siyo Moshi. Hapo ni Arusha. Huo ni mlima Meru. Kuna wakati unakuwa na barafu kidogo. Mlima meru ndo mlima wa pili kwa urefu Tz, zaidi ya mita 4000. Kilimanjaro ni mita 5895. Hiyo picha ya Arusha si ya zamani, ni miaka hii ya karibuni mdau.
 
nchi ilikuwa inang'aa sana. nimepitia picha hizo zote sijaona hata ganda la ndizi barabarani. lakini sasa hivi vululu. pita mtaa kongo uone kivumbi
 
nchi ilikuwa inang'aa sana. nimepitia picha hizo zote sijaona hata ganda la ndizi barabarani. lakini sasa hivi vululu. pita mtaa kongo uone kivumbi

... Na kulikuwa hakuna hata "Matonya' mmoja..!! Tukienda Mombasa na kukutana na ombaomba tulikuwa tunapigwa na butwaa..!
 
tulianza kutembea siku nyingi sijui tulisimama wapi!!

Wenyewe(CCM) wanadai ni vita ya Kagera ndiyo ilitumaliza b'se ndiyo kwanza tulikuwa tumetoka kwenye mtikisiko wa uchumi wa dunia wa 1970s, tukiwa bado tunachechemea tukajiingiza kumng'oa nduli ili mjamaa mwenzetu Obote arudi madarakani.

Baada ya hapo ikatangazwa kujifunga mikanda kwa miezi 18-mpaka leo hawajasema tufungue mikanda bali nimewasikia hao wasanii wakitangaza kupaa kwa ndege ya uchumi, na leo kuna yule mjinga mwingine anadai sasa tunaenda kujenga uchumi endelevu baada ya bomba za gesi kushushwa hapo bandari salama...

...tumekuwa kama wehu vile!!!!!

No wonder Rais wa dunia alikuja na kila kitu chake, maana utamwamini vipi mwehu kufanya cha maana????!!!!
 

hapa napata taswira ya mtu simple aliyependa kuishi maisha simple akijisomea sana na kufikiri kwingi.

mtu simple.....tazama mavazi yake, tazama samani anazotumia; mninga asili wa tabora siyo hii ya kichina iliyojaaa kuanzia magogoni mpaka manzese. lau angetaka mafomeika angenunua, mbona yalikuwepo enzi hizo!!

kujisomea...tazama hilo rundo la vitabu hapo nyuma yake. si ajabu leo ukipata picha mfano wa hiyo kwa hawa wanasesere wetu ukaona li-TV kubwa hapo nyuma na ma-DVD kibao. Watapata wapi muda wa kutafakari??? Ujinga na upuuzi ni fesheni kwao, subiri waskie kuna tamasha, utawaona wanavyopigana vikumbo....eti kioo cha jamii, hao wanaojichubua mpaka mishipa ya damu ikawatoka watakuwa kioo cha nani??? nji imeoza hii!!!
 
Tofauti ninayoiona kati ya zamani na sasa ni usafi ktkt miji yetu,enzi hizo walikuwa smart sio sasa hivi uchafu kila kona ya miji yetu nashindwa kuelewa elimu inatukomboaje!!
 
Tofauti ninayoiona kati ya zamani na sasa ni usafi ktkt miji yetu,enzi hizo walikuwa smart sio sasa hivi uchafu kila kona ya miji yetu nashindwa kuelewa elimu inatukomboaje!!
Raiya aliyekata tamaa ya maisha hawezi kuyathamini mazingira yake kamwe.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Iko wapi hiyo clock tower? Picha nyingine na caption zake ni famba ile mbaya, picha inasema Arusha Clock Tower halafu kwenye picha clock tower hakuna!

Utoto unakusumbuwa enzi hizo kung'amua picha ilikuwa moja ya topic katika jiografia unaletewa mzigo afu unaulizwa
mpigaji alipiga mchana au asubuhi alikaa upande gani, afu unaweza kuyumbishwa vil vile hiki ni klimo cha nini?
Mi niliyekaa A-town napaona NAAZI paleeeeeee! Kwataarifa yako hilo eneo linaitwa Clock Tower sio lazima uone hiyo tower katika picha.
Pumbbbaaafuuu!
 
Wa wapi wewe? Unaonekana umezaliwa kizazi cha mulugo ungekua kizazi cha Nyerere mwaka 47 au 1947 ungejua maana yake inawakilisha nini,hyo miaka mingine ni ya kweli acha kuaribu uzi bwana wewe....Mwaka 1947 it represents unknown year kama wewe unajua huo mwaka just put there na sio kutoa povu tu,malumbano closed

Ndugu yangu ukimuuliza huyo mulugos generation hata neno "arobaina sabaaaa" lilianzia wapi hajuwi!
Nakumbuka ile jingle ya lile tangazo Redioni ilifanywa na Mzee Kipara hivi kitu kama hiko! Alikuwa ana sauti ya kibabe hivi!
 
Back
Top Bottom