Mkuu we mkali mi sina hata moja, nimezaliwa Tanzania nimekulia Afrika Kusini
 
EMT, wee hizi picha za Tabora kwa kweli unatisha, lohhh 🙂



Tabora Railway Station, mwaka 1966.....


Mkuu picha za Tabora enzi hizo ziko nyingi tuu. Kuna familia fulani ya kizungu nafikiri walikuwa wanaendesha kilimo cha karanga huko miaka ya 1950 wana re-collection ya picha nyingi za Tabora. Picha nyingi wanazipublishi wajukuu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…