Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Kwa muendelezo wa posti namba 348, jaribu kuangalia tena hapa chini! Unaona hiyo picha hapo chini?

Sasa inabidi ufahamu kuanzia leo, kuwa hawa watu weupe huwa wana utamaduni wa kueleza hisia zao kwa ujumbe wa picha au ishara.

Na hii huwa ni taaluma kabisa, kuna watu huwa wanasomea. Hasa watu wa intelijensia huwa wanatumia ishara au picha kueleza unyeti wa mambo au tukio linaloakisi kutokea kwenye jamii kwa siku za usoni.

Sasa hiyo picha ya gari hapo juu inaonesha gari yenye rangi ya BLUU [ BLUE ] na "plate number" iliyoandikwa "HRV".

Swali linakuja kwa mwenye ujuzi wa kuweza kupembua ni nini kilikuwa kinamaanishwa kwenye hiyo picha hapo juu?

Jibu la kwanza - Rangi ya BLUU yaani "BLUE" kwa TANZANIA 🇹🇿 huwa inatumiwa na taasisi ya kiserikali hasa IKULU na idara za kiserikali ambazo huwa zinaripoti moja kwa moja kwenye OFISI YA RAIS. Baadhi ya idara hizo ni MAMLAKA YA MAJI na IDARA YA MAHAKAMA - watumishi wa hizi idara huwa wanavaa mashati ya "BLUU BAHARI" ile huwa ni ishara ya kuwa hizo idara zote zipo chini ya OFISI YA RAIS.

Jibu la pili - Hiyo "plate number" iliyoandikwa "HRV" inamaanisha "HIV" na "ARV".

Sasa hiyo picha hapo juu inamaanisha taasisi ya IKULU ipo mahututi na inafananishwa na binadamu mwenye "HIV" na anayetumia dawa za "ARV".

Hiyo picha hapo juu inaonesha gari yenye rangi nyekundu na "plate number" iliyoandikwa "CRV".

Swali linakuja kwa mwenye ujuzi wa kuweza kupembua ni nini kilikuwa kinamaanishwa kwenye hiyo picha hapo juu?

Jibu la kwanza - Rangi nyekundu yaani "RED" kwa TANZANIA 🇹🇿 inatumiwa na SIMBA yaani MWASHITA [ MWANZA SHINYANGA na TABORA ], yaani wale waliokuwa watumishi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU.

Jibu la pili - Hiyo "plat number" iliyoandikwa "CRV" inamaanisha"CONSTRUCTION REFORM VERIFIED".

Yaani hawa SIMBA yaani MWASHITA ndio wanaoleta mageuzi kwenye sekta zote binafsi na hiyo IKULU ipo mahututi, inaishi kwa matumaini.

Huo ndio ujumbe wa hizo picha hapo juu, mara nyingi hutumiwa na WAITALIANO [ ROMA 🇻🇦 ] kwa kutumia ujuzi wa lugha mbali mbali kama unavyoona hapo juu.
Yote hayo yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa ni kwa maslahi ya Nani? Chama au Taifa au Simba na chui unaowaongelea?
 
Kwa muendelezo wa posti namba 353:

Jaribu tena kupitia na kutizama hii makala ya video iliyoandaliwa na kituo cha televisheni cha KTN NEWS kinachopatikana nchini KENYA 🇰🇪.

Hiki kituo cha televisheni cha KTN NEWS ni kituo cha televisheni kinachoaminika sana kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI na MAZIWA MAKUU kwa ujumla, kwa kutoa habari sahihi na zisizofungamana na upande wowote.



Hiyo hapo juu, ni makala inayoeleza matukio ya kisiasa yaliyofanyika mwaka 1994 kwa nchi za RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮.

Sasa swali lingine, ni nani aliyekuwa nyuma ya waasi wa RWANDA PATRIOTIC FRONT [ RPF ]?

Ni nani aliyekuwa akitoa pesa za kununua silaha na pesa za kujikimu kwa waasi wa RWANDA PATRIOTIC FRONT [ RPF ]?

Ni nani yuko nyuma ya ufadhili wa chama cha kisiasa cha RPF-INKOTANYI?

Waliokuwa wanafadhili kikundi cha waasi cha RWANDA PATRIOTIC FRONT [ RPF ] na hatimaye chama cha kisiasa cha RPF-INKOTANYI wapo humu humu TANZANIA 🇹🇿 na pesa zote za kuendesha SIASA za RWANDA 🇷🇼 zinatoka TANZANIA 🇹🇿.

Na rais wa RWANDA 🇷🇼, PAUL KAGAME yeye ni mfanyakazi tu hapo KIGALI, lakini wenye nchi wapo.

Tunaweza kusema hivi - PAUL KAGAME kwa upande RWANDA 🇷🇼 ni sawa sawa kabisa na PROFESA IBRAHIM LIPUMBA kwa upande wa CUF ☀️. Kwani PROFESA IBRAHIM LIPUMBA ndio mwenye chama cha wananchi CUF ☀️? Jibu ni HAPANA! Wenye chama cha wananchi CUF ☀️ wapo! Na hali ipo hivyo hivyo kwa upande RWANDA 🇷🇼.

Na kitu kingine ambacho watu wengi sana huwa hawafahamu ni kuwa serikali ya RWANDA 🇷🇼 ni "IDEAL GOVERNMENT".

Kwa lugha ya kiingereza tunaweza kusema hivi - IDEAL GOVERNMENT is a type of government where by its highly government officials doesn't exist in REALITY.

Kwahiyo, huyu PAUL KAGAME ni wasifu wa mtu aliyetengenezwa kuuva uhusika wa mtu fulani na wala haikuwahi kuwepo na taarifa za PAUL KAGAME kabla ya mwaka 1990. Sasa ni nani yuko nyuma ya SERIKALI YA RWANDA 🇷🇼? Pigia mstari, unapoona usiulize!.

Hali hii iko hivyo hivyo kwa upande wa BURUNDI 🇧🇮. Ni nani aliyekuwa nyuma ya waasi wa NATIONAL COUNCIL FOR THE DEFENSE OF DEMOCRACY - FORCES FOR THE DEFENSE OF DEMOCRACY [ CNDD - FDD ].

Ni nani aliyekuwa akitoa pesa za kununua silaha na pesa za kujikimu kwa waasi wa NATIONAL COUNCIL FOR THE DEFENSE OF DEMOCRACY - FORCES FOR THE DEFENSE OF DEMOCRACY [ CNDD - FDD ].

Ni nani yuko nyuma ya ufadhili wa chama cha kisiasa cha NATIONAL COUNCIL FOR THE DEFENSE OF DEMOCRACY - FORCES FOR THE DEFENSE OF DEMOCRACY [ CNDD - FDD ]?

Waliokuwa wanafadhili kikundi cha waasi cha NATIONAL COUNCIL FOR THE DEFENSE OF DEMOCRACY - FORCES FOR THE DEFENSE OF DEMOCRACY [ CNDD - FDD ] na hatimaye chama cha kisiasa cha CNDD - FDD wapo humu humu TANZANIA 🇹🇿 na pesa zote za kuendesha SIASA za BURUNDI 🇧🇮 zinatoka TANZANIA 🇹🇿.

Sasa swali lingine linakuja, ni wakina nani wanaoendesha SIASA za BURUNDI 🇧🇮? Pigia mstari, unapoona usiulize!.

Na kwa muendelezo wa posti namba 354 - baada ya mauaji ya KIMBARI ya mwaka 1994. Hizi nchi mbili za RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 zilifanyika kuwa ni sehemu ya kimkakati kwa SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿.

Hizi nchi mbili za RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 zinatumika kama ni mikono ya IKULU 🔵⚪ ya TANZANIA 🇹🇿.

Yaani IKULU 🔵⚪ ya TANZANIA 🇹🇿 inazitumia hizi nchi mbili za RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 kama njia ya kufanya shughuli zake za KISIASA ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA 🇹🇿.

RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 ni hatari sana! Kiintelijensia, RWANDA 🇷🇼 huwa inaitwa REAL MADRID na BURUNDI 🇧🇮 huwa inaitwa BARCELONA. Ni watu hatari sana kwenye masuala ya kiintelijensia.

Na hizi nchi mbili za RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 huwa zinatumika kulinda masilahi ya CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM, ndio maana huwa ni vigumu sana kwa UPINZANI kushinda hata kiti cha UDIWANI.

Hata kama ikitokea CHAMA CHA UPINZANI kimeshinda iwe kiti cha UDIWANI au UBUNGE, huwa wanapewa tu ili kukamilisha sera ya MFUMO WA VYAMA VINGI, lakini hakuna CHAMA CHA UPINZANI kinachoshinda kwenye UCHAGUZI MKUU kwa nguvu zake zenyewe.

Hiyo ndio SIASA YA TANZANIA 🇹🇿.
 
Yote hayo yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa ni kwa maslahi ya Nani?
Huwa ni kwa masilahi ya SERENGETI yaani CHUI au kwa jina lingine wanaitwa RAMADHANI yaani RAMA.
Chama au Taifa
Huwa hakuna MASILAHI YA TAIFA! Huwa kuna MASILAHI YA CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM!

MASILAHI YA CHAMA CHA MAPINDUZI ndio MASILAHI YA TAIFA. Hauwezi ukatofautisha wala kutenganisha.

MASILAHI YA TAIFA ni CHAMA CHA MAPINDUZI kwanza, mengine baadae!

Tofauti na hapo, CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM kingelikuwa kimeshatoka madarakani tangu siku nyingi.
au Simba na chui unaowaongelea?
SERENGETI yaani CHUI yaani RAMADHANI au RAMA ndio wenye CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM na ndio wenye SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kupitia kwa HAYATI MWALIMU.

Na MWASHITA yaani SIMBA ndio jamii inayoonekana kuhatarisha MASILAHI YA SERENGETI au MASILAHI YA CHAMA CHA MAPINDUZI kutokana na idadi yao kuwa kubwa ukilinganisha na idadi ya jamii zingine.

Ndio maana HAYATI MWALIMU alijaribu na akafanikiwa kuiweka karibu hii jamii ya MWASHITA yaani SIMBA na kufanya kuwa ni NGOME YA CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hii mbinu aliyotumia HAYATI MWALIMU ilikuwa inaitwa "PUT YOUR ENEMIES CLOSER, THEN FINISH". Kwa lugha ya kiswahili tunaweza kusema hivi - "KUWA KARIBU NA MAADUI ZAKO, HALAFU WAMALIZE".

Lakini hawa MWASHITA yaani SIMBA wao walionekana kufanikiwa na hii mbinu ya HAYATI MWALIMU, kwa sababu walitumia muda mwingi kujinufaisha wenyewe kupitia VYAMA VYA USHIRIKA.

Sio siri, kuna mikakati na jitihada madhubuti tangu siku nyingi za kudhoofisha hii jamii ya MWASHITA yaani SIMBA na wanaidhoofisha kupitia ELIMU yaani NECTA | Home.

Kwa wale wakazi wa MWASHITA watakubaliana na mimi kuwa kipindi cha miaka ya 2005 kushuka chini, tulikuwa tunaambiwa mkoa wa SHINYANGA ulikuwa ni mkoa wa mwisho kitaifa kwa upande wa taaluma lakini mwanafunzi akiingia kwenye chumba cha mtihani na akatoka, anakataa!!

Hii jamii ya MWASHITA yaani SIMBA ingelikuwa haina tofauti na jamii za mikoa ya SINGIDA, DODOMA, IRINGA, RUVUMA, MTWARA, LINDI, KIGOMA na RUKWA.

Lakini kuna jitihada za makusudi zinazofanywa na hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU kupitia makampuni yao binafsi wanayoyamiliki - kwa kuwapatia ajira wenyeji wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA ili kuinua hali zao za kimaisha.

Ndio maana wenyeji wa hii mikoa ya MWASHITA yaani SIMBA wanaonekana kuwa juu kwenye tasnia mbali mbali licha ya kuwa kuna mikakati na jitihada madhubuti za kuwadhoofisha. Lakini sasa hivi ukienda pale TIGO kuna mkurungenzi ambaye ni SIMBA [ 😄😄😄 ]! Ukienda pale MWANANCHI COMMUNICATIONS kuna mkurungenzi ambaye ni SIMBA [ 😄😄😄 ] na kwa siku za usoni makampuni yote ya MWASHITA yataongozwa na wakurungenzi ambao ni SIMBA.

Na sasa hivi, hawa MWASHITA wako juu sana kiuchumi kuliko jamii yoyote ile TANZANIA 🇹🇿 na kuna mpango wa kupanua chuo kikuu cha ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY ili kiwe na uwezo wa kuchukua wanafunzi wa fani mbali mbali na kuwa msaada kwa wanafunzi wanaomaliza elimu ya kidato cha nne kutoka MWASHITA ili wawe na fursa ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu pale ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY.
 
Huwa ni kwa masilahi ya SERENGETI yaani CHUI au kwa jina lingine wanaitwa RAMADHANI yaani RAMA.

Huwa hakuna MASILAHI YA TAIFA! Huwa kuna MASILAHI YA CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM!

MASILAHI YA CHAMA CHA MAPINDUZI ndio MASILAHI YA TAIFA. Hauwezi ukatofautisha wala kutenganisha.

MASILAHI YA TAIFA ni CHAMA CHA MAPINDUZI kwanza, mengine baadae!

Tofauti na hapo, CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM kingelikuwa kimeshatoka madarakani tangu siku nyingi.

SERENGETI yaani CHUI yaani RAMADHANI au RAMA ndio wenye CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM na ndio wenye SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kupitia kwa HAYATI MWALIMU.

Na MWASHITA yaani SIMBA ndio jamii inayoonekana kuhatarisha MASILAHI YA SERENGETI au MASILAHI YA CHAMA CHA MAPINDUZI kutokana na idadi yao kuwa kubwa ukilinganisha na idadi ya jamii zingine.

Ndio maana HAYATI MWALIMU alijaribu na akafanikiwa kuiweka karibu hii jamii ya MWASHITA yaani SIMBA na kufanya kuwa ni NGOME YA CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hii mbinu aliyotumia HAYATI MWALIMU ilikuwa inaitwa "PUT YOUR ENEMIES CLOSER, THEN FINISH". Kwa lugha ya kiswahili tunaweza kusema hivi - "KUWA KARIBU NA MAADUI ZAKO, HALAFU WAMALIZE".

Lakini hawa MWASHITA yaani SIMBA wao walionekana kufanikiwa na hii mbinu ya HAYATI MWALIMU, kwa sababu walitumia muda mwingi kujinufaisha wenyewe kupitia VYAMA VYA USHIRIKA.

Sio siri, kuna mikakati na jitihada madhubuti tangu siku nyingi za kudhoofisha hii jamii ya MWASHITA yaani SIMBA na wanaidhoofisha kupitia ELIMU yaani NECTA | Home.

Kwa wale wakazi wa MWASHITA watakubaliana na mimi kuwa kipindi cha miaka ya 2005 kushuka chini, tulikuwa tunaambiwa mkoa wa SHINYANGA ulikuwa ni mkoa wa mwisho kitaifa kwa upande wa taaluma lakini mwanafunzi akiingia kwenye chumba cha mtihani na akatoka, anakataa!!

Hii jamii ya MWASHITA yaani SIMBA ingelikuwa haina tofauti na jamii za mikoa ya SINGIDA, DODOMA, IRINGA, RUVUMA, MTWARA, LINDI, KIGOMA na RUKWA.

Lakini kuna jitihada za makusudi zinazofanywa na hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU kupitia makampuni yao binafsi wanayoyamiliki - kwa kuwapatia ajira wenyeji wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA ili kuinua hali zao za kimaisha.

Ndio maana wenyeji wa hii mikoa ya MWASHITA yaani SIMBA wanaonekana kuwa juu kwenye tasnia mbali mbali licha ya kuwa kuna mikakati na jitihada madhubuti za kuwadhoofisha. Lakini sasa hivi ukienda pale TIGO kuna mkurungenzi ambaye ni SIMBA [ 😄😄😄 ]! Ukienda pale MWANANCHI COMMUNICATIONS kuna mkurungenzi ambaye ni SIMBA [ 😄😄😄 ] na kwa siku za usoni makampuni yote ya MWASHITA yataongozwa na wakurungenzi ambao ni SIMBA.

Na sasa hivi, hawa MWASHITA wako juu sana kiuchumi kuliko jamii yoyote ile TANZANIA 🇹🇿 na kuna mpango wa kupanua chuo kikuu cha ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY ili kiwe na uwezo wa kuchukua wanafunzi wa fani mbali mbali na kuwa msaada kwa wanafunzi wanaomaliza elimu ya kidato cha nne kutoka MWASHITA ili wawe na fursa ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu pale ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY.
Kwahiyo ndio Mana Kuna mahali Fulani pale Tanga mjini ila ni nje kidogo ya mji , Kuna sehemu hao unaowaita wanasimba wako wengi sana...
 
Kwahiyo ndio Mana Kuna mahali Fulani pale Tanga mjini ila ni nje kidogo ya mji , Kuna sehemu hao unaowaita wanasimba wako wengi sana...
Ndio! Mimi mwenyewe nilishawahi kuishi RASKAZONE na tulifanikiwa kurudi SHINYANGA baada ya kifo cha HAYATI MWALIMU, mwaka 1999.

Hao ni SIMBA kutoka SHINYANGA waliohamia huko TANGA tangu miaka ya tisini.

Unaambiwa hivi, hizo familia za SIMBA zinatunzwa na kuhudumiwa kila kitu mpaka pesa ya matibabu.

Miongoni mwa wale SIMBA waliohamia TANGA, wamo MAWAZIRI wawili kwenye baraza la mawaziri la Rais SAMIA SULUHU HASSAN.

Halafu hawa SIMBA wa TANGA ndio wafanyakazi wa viwanda vya SIMBA CEMENT, TANGA FRESH, TANGA PHARMACEUTICAL & PLASTICS LTD na ndio madereva wa malori ya SIMBA MTOTO, mabasi ya SIMBA MTOTO, TASHRIFF pamoja na TAHMEED.
 
Kwahiyo ndio Mana Kuna mahali Fulani pale Tanga mjini ila ni nje kidogo ya mji , Kuna sehemu hao unaowaita wanasimba wako wengi sana...​

3395ea625a8f5c376660b8d839f33c3d.png

Unaona hii APARTMENT iliyokuwa inamilikiwa na MIKE TYSON halafu baadae 50 CENT.

Hii APARTMENT, 50 CENT aliiuza SHILINGI USD 10.9 MILLION sawa na SHILINGI BILIONI 25 za KITANZANIA.

Na waliokuwa nyuma ya haya manunuzi ya hii APARTMENT walikuwa ni MWASHITA yaani SIMBA.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA huwa wanatabia ya kununua halafu wanauza kwa faida. Kwahiyo, hii APARTMENT watauza kwa faida na pesa itakayopatikana watatumia kujenga CHUO KIKUU CHA ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY.
 
Kwa muendelezo wa posti namba 362, hapa wakina MK254 na wenzie kutoka KENYA 🇰🇪 watahusika:


Hapo juu kwenye picha, hakuna cha MKAMBA wala MKIKUYU wala MLUO [ 😂😂😂 ]. Huyo ni SIMBA yaani MWASHITA yaani MSUKUMA. Na yeye ni miongoni mwa wale SIMBA waliohamia KENYA 🇰🇪, sema kwa upande wake hali ilikuwa ni tofauti na wengine.

Mama NGINA KENYATTA, yaani mke wa rais wa kwanza wa KENYA 🇰🇪 alimtafutia mke, mwanae UHURU KENYATTA na hii ilifanya kuwa na mahusiano ya kindugu na kikabila kati ya kabila la WAKIKUYU na WASUKUMA waishio TANZANIA 🇹🇿 na KENYA 🇰🇪.

Na hiki ndio chanzo cha makampuni ya kibiashara ya SIMBA yaani MWASHITA ya KENYA 🇰🇪 kuwa na mafungamano ya kisiasa na UHURU KENYATTA pamoja na CHAMA CHA JUBILEE.

Na baada ya mfumo wa vyama vingi nchini KENYA 🇰🇪, hawa SERENGETI yaani CHUI na MWASHITA yaani SIMBA waliamua kuwa tofauti na Rais wa kipindi hicho, HAYATI DANIEL ARAP MOI kwa sababu HAYATI DANIEL ARAP MOI alikuwa hana upinzani wa kutosha kutoka kwa mahasimu wake wa kisiasa.

Kwahiyo hawa SERENGETI yaani CHUI waliamua kuwa upande wa familia ya Makamu wa rais wa kwanza wa KENYA 🇰🇪, yaani HAYATI JARAMOGI OGINGA na hata kabla ya vuguvugu la mabadiliko ya kisiasa, hizi familia mbili za HAYATI MWALIMU na HAYATI JARAMOGI OGINGA zilikuwa na mahusiano mazuri ya kifamilia na hata kisiasa.

Na kwa upande wa MWASHITA yaani SIMBA waliamua kuwa upande wa mjane wa rais wa kwanza wa KENYA 🇰🇪, MAMA NGINA KENYATTA kwa sababu MAMA NGINA KENYATTA aliamua kutafuta mafungamano ya kifamilia nje ya KENYA 🇰🇪 kutokana na usalama na hali ya kisiasa kwa kipindi hicho. Ndio maana MAMA NGINA KENYATTA aliamua kumtafitia mke, mwanae wa kiume nje ya mipaka ya KENYA 🇰🇪.

Kwahiyo SERENGETI yaani CHUI waliamua kuwa na mafungamano ya kisiasa na WALUO kupitia familia ya HAYATI JARAMOGI OGINGA na MWASHITA yaani SIMBA waliamua kuwa na mafungamano ya kisiasa na WAKIKUYU kupitia familia ya HAYATI JOMO KENYATTA.

Na kilichofuata hapo, hawa SERENGETI yaani CHUI na MWASHITA yaani SIMBA waliigawa KANU kwa misingi ya kikabila. Bila ya SERENGETI na MWASHITA, hakuna MWANASIASA wa KENYA 🇰🇪 aliyekuwa na nguvu ya kupambana na KANU. Hii ni kama ilivyo leo kwa upande wa CCM, hakuna MWANASIASA wa TANZANIA 🇹🇿 mwenye uwezo wa kupambana na CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM na akashinda, huyo MWANASIASA bado hajapatikana!.

SERENGETI yaani CHUI waliamua kuwa upande wa WALUO na MWASHITA yaani SIMBA waliamua kuwa upande wa WAKIKUYU, huku wakiwaacha WAKALENJINI pekee yao ndani ya CHAMA CHA TAWALA cha KANU.

Kipindi hicho SIASA za TANZANIA 🇹🇿 nazo zilitawaliwa na vyama vya CCM na CUF ☀️. SERENGETI yaani CHUI ndio wenye CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM na SIMBA yaani MWASHITA ndio wenye CHAMA CHA WANANCHI yaani CUF ☀️. Kwahiyo mtifuano ulikuwa mkali kwa upande wa KENYA 🇰🇪, ukizingatia hawa MWASHITA yaani SIMBA na SERENGETI yaani CHUI walikuwa na vyama vyao kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿.



Tazama historia ya VYAMA VINGI nchini KENYA 🇰🇪

Kilichofuata baada ya hapo ni HISTORIA ya chama cha KANU kuondoka madarakani, lakini ukweli utabaki kuwa ukweli ya kwamba - Rais Mstaafu MWAI KIBAKI hakuwa na uwezo wa KISIASA wala uwezo wa KIFEDHA wa kupambana na CHAMA CHA KANU kilichokuwa kinaongozwa na HAYATI DANIEL ARAP MOI.

Mafanikio ya kisiasa ya Rais Mstaafu MWAI KIBAKI yalichagizwa na nguvu ya kiuchumi ya MWASHITA yaani SIMBA kuwa na mafungamano ya kisiasa na jamii ya WAKIKUYU.

Na hivi ndivyo hawa MWASHITA yaani SIMBA na SERENGETI yaani CHUI wanavyohusika na SIASA ZA MAZIWA MAKUU.

Hali iko hivyo hivyo kwa upande wa UGANDA 🇺🇬, hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio wako nyuma ya UTAWALA WA YOWERI KAGUTA MUSEVENI. Hakuna cha SERENGETI hapo! Wala WATUSI sijui WAHUTU! Wala BAGANDA sijui WANYANKOLE!. Hizi jamii zote ni WALALA HOI tu kwa MWASHITA yaani SIMBA yaani WASUKUMA 😂😂

Hawa SIMBA yaani MWASHITA ndio wako nyuma ya UTAWALA WA YOWERI KAGUTA MUSEVENI, tofauti na hapo, huo UTAWALA WA YOWERI KAGUTA MUSEVENI ungelikuwa umeshatoka madarakani siku nyingi.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio wanaongoza intelijensia ya rais, yaani PRESIDENTIAL SECURITY UNIT [ PSU ] ya UGANDA 🇺🇬.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio jamii yenye MAJENERALI TISA KATIKA JESHI LA UGANDA 🇺🇬, yaani UPDF.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio wanaongoza KOMANDI YA JESHI LA ANGA KATIKA JESHI LA UGANDA 🇺🇬, yaani UPDF.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio waliofunga barabara zote za kuingia na kutoka UGANDA 🇺🇬 kwa kumiliki makampuni ya usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kupitia makampuni ya SIMBA COACH, MASHCOOL, TAHMEED na FRIENDS.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio waliofanikisha kuumaliza uwezo wa kisiasa wa KIZA BESIGYE kwa kuandaa upinzani wao wenyewe, unaongozwa na ROBERT KYAGULANYI wa chama cha NUP.



ROBERT KYAGULANYI au maarufu kama BOBI WINE wa chama cha NUP na yeye ni MWASHITA yaani SIMBA aliyehamia UGANDA 🇺🇬.

Kwahiyo katika kipindi ambacho UTAWALA WA YOWERI KAGUTA MUSEVENI hauna wasiwasi ni kipindi hiki ambacho chama cha NUP kinachoongozwa na ROBERT KYAGULANYI, ni chama kikuu cha upinzani nchini UGANDA 🇺🇬.

Jaribu tena kupitia na kutizama hii makala ya video iliyoandaliwa na kituo cha televisheni cha KTN NEWS kinachopatikana nchini KENYA 🇰🇪.



Hiyo ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM. Na CCM inafanana kabisa na KANISA KATOLIKI, kimfumo na kiuendeshaji - ndio maana wengine huwa wanadiliki kusema TANZANIA 🇹🇿 ni MFUMO KATOLIKI.

Kwenye KANISA KATOLIKI huwa kuna SHERIA ZA KANISA [ MATRIMONI ] na AMRI KUMI ZA MUNGU lakini SHERIA ZA KANISA [ MATRIMONI ] ndio zinapewa kipaumbele kuliko hata AMRI KUMI ZA MUNGU kwa sababu SHERIA ZA KANISA [ MATRIMONI ] ndio zimebeba MISINGI YA KANISA.

Kwahiyo, kwenye KANISA KATOLIKI unaweza kuvunja AMRI KUMI ZA MUNGU na ukasamehewa! Lakini kuna SHERIA ZA KANISA [ MATRIMONI ] ambazo ukivunja unafukuzwa UUMINI WA KANISA KATOLIKI. Hii yote inafanyika ili kulinda MISINGI YA KANISA KATOLIKI.

Kwahiyo, kwenye KANISA KATOLIKI unaweza kuua, kuzini, kusema uongo na hata kufanya dhambi nyingine lakini iwe ni kwa MASILAHI YA KANISA KATOLIKI, utasamehewa. Na hata unaweza kutangazwa kuwa ni MTAKATIFU.

Hali hii iko hivyo hivyo kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM. Huwa kuna KATIBA YA NCHI na KATIBA YA CCM lakini KATIBA YA CCM ndio inapewa kipaumbele kuliko hata KATIBA YA NCHI kwa sababu KATIBA YA CCM ndio imebeba UHAI WA CHAMA CHA MAPINDUZI.

Ukiwa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI unaweza ukavunja KATIBA YA NCHI na ukapeta! Lakini kuna MIIKO YA CHAMA ambayo ukiivunja unafukuzwa UANACHAMA. Na hii yote inafanyika ili kulinda MISINGI YA CHAMA CHA MAPINDUZI.

Kwahiyo, mambo yote yanayofanyika chini ya SERIKALI INAYOONGOZWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM ni kwa ajili ya MASILAHI YA CHAMA CHA MAPINDUZI.

Narudia tena, mambo yote yanayofanyika chini ya SERIKALI INAYOONGOZWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM ni kwa ajili ya MASILAHI YA CHAMA CHA MAPINDUZI. Iwe ni kuteka na kuua watu! Iwe ni kukandamiza uhuru wa kujieleza na habari! Iwe ni kupika matokeo ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari! Iwe ni kutumia nguvu ya DOLA kwenye chaguzi za serikali! Iwe ni kufanya kila aina ya uchafu! Hiyo ndio CCM!!

Kwahiyo, VYAMA SHINDANI vinatakiwa vikabiliane na aina ya SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM ndio vinaweza angalau kuleta mabadiliko ya kweli.

Halafu pia, hawa VIONGOZI WA UPINZANI tulionao, wajaribu kuongeza mahusiano ya siasa zenye tija na mataifa ya KONGO 🇨🇩, BURUNDI 🇧🇮, RWANDA 🇷🇼 na KENYA 🇰🇪 kwa sababu wao wanaweza kuwa na msaada, ukizingatia CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM kilileta mabadiliko ya kisiasa kwenye hizo nchi husika.
 
Kwa muendelezo wa posti namba 343, posti namba 345, posti namba 349, posti namba 350, posti namba 351, posti namba 352, posti namba 353, posti namba 354, posti namba 358, posti namba 359, posti namba 360 na posti namba 361. Hawa MWASHITA yaani SIMBA yaani WASUKUMA baada ya kutoka kwenye hizi nchi mbili za RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 waliekea nchi ya KONGO 🇨🇩 na walifanikiwa kushika au kuongoza SERIKALI YA KONGO 🇨🇩 kwa kipindi cha miaka ishirini kupitia kwa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo JOSEPH KABILA KABANGE.

Na hata baada ya JOSEPH KABILA KABANGE kutoka madarakani kwa njia ya kidemokrasia - uchaguzi wa KONGO 🇨🇩 utabaki kuwa na kipaumbele kwa MWASHITA yaani SIMBA yaani WASUKUMA, tofauti na hapo yatatokea MAPINDUZI kama yale ya mwaka 2001.

Kwa lugha ya kiingereza wanasema hivi - CONGO 🇨🇩 elections must remain absolute priority to MWASHITA alias as SIMBA or SUKUMA, otherwise REVOLUTION will occur as that of 2001.

Baada ya kufanikiwa kuwa na ushawishi kwa hizi nchi za RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮 na KONGO 🇨🇩, hawa MWASHITA yaani SIMBA walielekeza mashambulizi yao kwa nchi za KENYA 🇰🇪 na UGANDA 🇺🇬.

Mashambulizi yaliyokuwa yakifanyika kwa mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO yaliendelea hadi kwa nchi za KENYA 🇰🇪 na UGANDA 🇺🇬.

Kwa kutumia RAMANI hapo chini utapata ufahamu wa hawa MWASHITA yaani SIMBA jinsi walivyotumia mipaka ya nchi hizi za AFRIKA YA MASHARIKI.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA yaani WASUKUMA walitumia mipaka ya HOLILI - TAVETA, HOROHORO - LUNGA LUNGA, NAMANGA - KAJIADO, SIRARI - ISEBANIA na MUTUKULA - MASAKA.

Kwa mipaka ya HOLILI - TAVETA, HOROHORO - LUNGA LUNGA na NAMANGA - KAJIADO, hawa MWASHITA yaani SIMBA walitumia mabasi ya SIMBA COACH, TAHMEED na RAHA LEO kuelekea nchi ya KENYA 🇰🇪.

Na kwa mipaka ya SIRARI - ISEBANIA na MUTUKULA - MASAKA, hawa MWASHITA yaani SIMBA walitumia mabasi ya SHERATON kuelekea nchi za KENYA 🇰🇪 kwa upande wa KISUMU na UGANDA 🇺🇬.

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA walivyofika KENYA 🇰🇪, walifikia na kuweka kambi maeneo ya MACHAKOS, MAKUENI, KITUI na MLIMA KENYA yaani kwa WAKAMBA na kuakisi majina na tamaduni za WAKAMBA.

Yaani hii oparesheni ya KAMBI POPOTE ilikuwa inafananishwa kabisa na historia ya wana wa ISRAELI kwenye kitabu cha BIBLIA, hawa watu walikuwa hata hawafamu wanakwenda wapi na walikuwa hawafamu maisha yao yataendaje lakini kwa sababu iliwapasa kuhama na wao walifanya hivyo.

Kwa upande wa HAYATI MWALIMU yaani SERENGETI wao walikuwa vizuri kwa sababu ndio wenye DOLA YA TANZANIA 🇹🇿 na hata kipindi wanahama kwa kutumia mabasi yao walikuwa wanapewa "POLICE ESCORT" na huko kwenye hizi jirani walikuwa wanathaminika sana na kupewa huduma zote za kijamii ikiwa ni pamoja na UJIRANI MWEMA. Siunafahamu mtu akisema UJIRANI MWEMA anamaanisha nini?

UJIRANI MWEMA ilikuwa inamaanisha ndoa baina ya jinsia mbili tofauti wenye uraia wa nchi mbili tofauti. Kwa mfano, unakuta MKENYA na MTANZANIA wanafunga ndoa na kuwa na familia, kwa nia ya kudumisha UJIRANI MWEMA. Vivyo hivyo, unakuta MGANDA na MTANZANIA wanafunga ndoa na kuwa na familia, kwa nia ya kudumisha UJIRANI MWEMA.

Sasa cha kushangaza, hawa MWASHITA yaani SIMBA na wao walifanikiwa kufanya hivyo hivyo kama SERENGETI walivyokuwa wakifanya kwa kutumia uwezo wao wa KIFEDHA maana ilikuwa sio kazi ndogo kupeleka watu KENYA 🇰🇪 na UGANDA 🇺🇬 na kuwasimamia kwa kila kitu mpaka kufikia hatua ya kuwa na familia na hao watoto waliozaliwa na SIMBA bado wanaendelea kusimamiwa kwa kufanya kazi kwenye makampuni yanayomilikiwa na SIMBA yaani MWASHITA.



Hiki kituo cha televisheni kinaitwa KTN na kinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA na wanafanyakazi wa hii kampuni ya STANDARD MEDIA ni SIMBA yaani MWASHITA yaani WASUKUMA waliohamia KENYA 🇰🇪



Hiki ni kituo cha televisheni cha NBS na kinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA na wanafanyakazi wa hii kampuni ya NEXT MEDIA ni SIMBA yaani MWASHITA yaani WASUKUMA waliohamia UGANDA 🇺🇬

Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA walikuja kuwa vizuri kiuchumi kuliko hata hawa SERENGETI yaani CHUI waliokuwa wakisimamiwa na HAYATI MWALIMU.

Na leo ukizungumzia WATANZANIA waliowekeza mitaji mikubwa [ zaidi ya shilingi bilioni hamsini za kitanzania ] kwa nchi ya KENYA 🇰🇪, utakuwa unawazungumzia hawa MWASHITA yaani SIMBA yaani WASUKUMA.

Vile vile, ukizungumzia WATANZANIA waliowekeza mitaji mikubwa [ zaidi ya shilingi bilioni hamsini za kitanzania ] kwa nchi ya UGANDA 🇺🇬, utakuwa unawazungumzia hawa MWASHITA yaani SIMBA yaani WASUKUMA.

Kwa hali hiyo, hawa MWASHITA yaani SIMBA yaani WASUKUMA kupitia kwa wale waliokuwa watumishi na wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliofanya WASUKUMA kuwa na uchumi mkubwa kuliko SERIKALI YA ZANZIBAR na viunga vyake. Yaani hawa WASUKUMA wana uchumi mkubwa kuliko uchumi wa UNGUJA na PEMBA kwa pamoja.

Kwa muendelezo wa posti namba 359 - kuhusu UJIRANI MWEMA.

Kwa upande wa KENYA 🇰🇪, watoto wenye ushawishi waliopatikana baada ya UJIRANI MWEMA, miongoni mwao ni MUHOHO KENYATTA yaani mtoto wa UHURU KENYATTA.

MUHOHO KENYATTA anatazamiwa kuwa MWANASIASA MKUBWA kwa siku za usoni na wanao cheza karata hii ni TANZANIA 🇹🇿 kwa sababu MUHOHO KENYATTA mama yake, yaani MAMA MARGARET KENYATTA ni MTANZANIA wa kuzaliwa na hata atakayekuja kuwa mke wa MUHOHO KENYATTA atakuwa ni mwanamke mwenye asili ya TANZANIA 🇹🇿. MUHOHO KENYATTA ndiye anayedhaniwa kufuata nyao za baba yake, UHURU KENYATTA.

Na kwa upande wa UGANDA 🇺🇬, watoto wenye ushawishi waliopatikana baada ya UJIRANI MWEMA, miongoni mwao ni ERICK KAMBALE na TADDEO LWANGA. Hawa wote ni wacheza mpira wa timu ya taifa ya UGANDA 🇺🇬 - ERICK KAMBALE ni mcheza mpira wa klabu ya EXPRESS FC na TADDEO LWANGA ni mcheza mpira wa timu ya SIMBA SC.

ERICK KAMBALE na TADDEO LWANGA, wote hawa ni SIMBA yaani MWASHITA ambao wazazi wao walihamia UGANDA 🇺🇬. Kwahiyo, msishangae kuona siku moja ERICK KAMBALE naye amekuja kucheza SIMBA SC kwa sababu wengi wao huwa wanatamani kurudi nyumbani kwa namna moja ama nyingine.

Na kwa upande wa KONGO 🇨🇩 - wapo wanasiasa wengi, wasanii wa nyimbo za dansi na injili wengi, wacheza mpira wengi na kitu kingine ambacho WATANZANIA wengi huwa hawafahumu ni kuwa wacheza mpira wengi [ asilimia themanini - 80% ] wa klabu ya TP MAZEMBE 🏁 ni wacheza mpira wenye asili ya TANZANIA 🇹🇿 na KONGO 🇨🇩. Na hata huyu mfungaji bora wa timu ya RAJA CASABLANCA anayejulikana kwa jina la BEN MALANGO ni MKONGOMANI mwenye asili ya TANZANIA 🇹🇿. Hawa wote walipatikana kutokana na UJIRANI MWEMA.

Sasa hii ya UJIRANI MWEMA, siku hizi vijana wa kileo tumerahisisha - inakuwa sio lazima ndoa lakini kunaweza kuwa na makubaliano ya kupata mtoto na kulea ikiwa inamaanisha kufanya mapatano ya damu baina ya raia wa nchi mbili tofauti.

Inaweza kutokea kwa JINSIA YA KIKE kutaka mtoto kutoka kwa JINSIA YA KIUME! Au JINSIA YA KIUME kutaka mtoto kutoka kwa JINSIA YA KIKE. Kwa mazingira haya, inakuwa sio TABIA MBAYA wala sio UMALAYA bali inakuwa ni ishara ya mafungamano ya UJIRANI MWEMA ambayo hayatakuja kuvunjwa milele na milele.
 
Kwa muendelezo wa posti namba 359 - kuhusu UJIRANI MWEMA.

Kwa upande wa KENYA 🇰🇪, watoto wenye ushawishi waliopatikana baada ya UJIRANI MWEMA, miongoni mwao ni MUHOHO KENYATTA yaani mtoto wa UHURU KENYATTA.

MUHOHO KENYATTA anatazamiwa kuwa MWANASIASA MKUBWA kwa siku za usoni na wanao cheza karata hii ni TANZANIA 🇹🇿 kwa sababu MUHOHO KENYATTA mama yake, yaani MAMA MARGARET KENYATTA ni MTANZANIA wa kuzaliwa na hata atakayekuja kuwa mke wa MUHOHO KENYATTA atakuwa ni mwanamke mwenye asili ya TANZANIA 🇹🇿. MUHOHO KENYATTA ndiye anayedhaniwa kufuata nyao za baba yake, UHURU KENYATTA.

Na kwa upande wa UGANDA 🇺🇬, watoto wenye ushawishi waliopatikana baada ya UJIRANI MWEMA, miongoni mwao ni ERICK KAMBALE na TADDEO LWANGA. Hawa wote ni wacheza mpira wa timu ya taifa ya UGANDA 🇺🇬 - ERICK KAMBALE ni mcheza mpira wa klabu ya EXPRESS FC na TADDEO LWANGA ni mcheza mpira wa timu ya SIMBA SC.

ERICK KAMBALE na TADDEO LWANGA, wote hawa ni SIMBA yaani MWASHITA ambao wazazi wao walihamia UGANDA 🇺🇬. Kwahiyo, msishangae kuona siku moja ERICK KAMBALE naye amekuja kucheza SIMBA SC kwa sababu wengi wao huwa wanatamani kurudi nyumbani kwa namna moja ama nyingine.

Na kwa upande wa KONGO 🇨🇩 - wapo wanasiasa wengi, wasanii wa nyimbo za dansi na injili wengi, wacheza mpira wengi na kitu kingine ambacho WATANZANIA wengi huwa hawafahumu ni kuwa wacheza mpira wengi [ asilimia themanini - 80% ] wa klabu ya TP MAZEMBE 🏁 ni wacheza mpira wenye asili ya TANZANIA 🇹🇿 na KONGO 🇨🇩. Na hata huyu mfungaji bora wa timu ya RAJA CASABLANCA anayejulikana kwa jina la BEN MALANGO ni MKONGOMANI mwenye asili ya TANZANIA 🇹🇿. Hawa wote walipatikana kutokana na UJIRANI MWEMA.

Sasa hii ya UJIRANI MWEMA, siku hizi vijana wa kileo tumerahisisha - inakuwa sio lazima ndoa lakini kunaweza kuwa na makubaliano ya kupata mtoto na kulea ikiwa inamaanisha kufanya mapatano ya damu baina ya raia wa nchi mbili tofauti.

Inaweza kutokea kwa JINSIA YA KIKE kutaka mtoto kutoka kwa JINSIA YA KIUME! Au JINSIA YA KIUME kutaka mtoto kutoka kwa JINSIA YA KIKE. Kwa mazingira haya, inakuwa sio TABIA MBAYA wala sio UMALAYA bali inakuwa ni ishara ya mafungamano ya UJIRANI MWEMA ambayo hayatakuja kuvunjwa milele na milele.

images.jpeg

Kwa muendelezo wa posti hapo juu - HAYATI MWALIMU mpaka umauti unamkuta alikuwa tayari ameshasambaza SERENGETI kwa nchi zote za KIAFRIKA. Hawa SERENGETI yaani CHUI walikuwa ni wake kwa waume na wenye sifa ya kuolewa na kuoa.

Hii yote ilifanyika kwa nia ya kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mbali mbali dhidi ya CHAMA CHA MAPINDUZI na TANZANIA 🇹🇿 kwa ujumla.

Vile vile hawa watu wa mataifa mengine ya AFRIKA na hata nje ya AFRIKA nao walifanya hivyo hivyo kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 kwa kukubali kuja na kuishi TANZANIA 🇹🇿 ikiwa ni pamoja na kuoa au kuolewa na WATANZANIA. Hiki kitendo kwa lugha ya kiingereza wanaita ni "INTERMARRIAGE".

Sasa CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM walijidhatiti kupitia mfumo huu wa mahusiano ya kijinsia, kiudugu na hata kidiplomasia dhidi ya mataifa mengine. Kwahiyo CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM kimejiimalisha na kujidhatiti sana kupitia sera ya mambo ya nje.

Ndio maana inakuwa ni vigumu kwa VYAMA VYA UPINZANI kukubalika ndani ya nchi na hata nje ya nchi, kwa sababu CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM wao walijiimarisha sana kupitia UTU yaani HUMANITY kwa kuwa na kauli mbiu inayosema "BINADAMU WOTE NI SAWA NA KILA MTU ANASTAHILI HESHIMA".

Na mpaka sasa hivi kuna watu wanaendelea kunufaika na uwepo wa CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM kuendelea kuwepo madarakani. Kwahiyo inakuwa ni vigumu kwa VYAMA VYA UPINZANI kuweza kukubalika, kuwa na nguvu ya ushawishi na hata kushinda UCHAGUZI.

Kwahiyo VYAMA VYA UPINZANI kama vinataka kuleta mabadiliko ya kweli ni lazima wategue mitego yote iliyofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM, tofauti na hapo watakuwa wanapaka rangi upepo.

Na hawa VYAMA VYA UPINZANI wala wasitegemee taasisi za dini, kwa sababu hizi taasisi za dini hazina madhara yoyote zaidi ya kufanya maombi na sala. Hizi taasisi za dini zote zilishadhibitiwa, kwahiyo hazina madhara kwa watawala yaani CHAMA CHA MAPINDUZI.

Na watu wenye madhara ambao walikuwa wanaweza kuitingisha CCM ni MWASHITA yaani SIMBA pekee yao, wengine ni SAMBULA MATE tu yaani ni WATU WASIOJIWEZA yaani ni WATU WANAOHITAJI MSAADA.

Na wala msitegemee MWASHITA yaani SIMBA watakuja kuitingisha CCM, kwa sababu wao ndio wanaokula na kufurahia keki ya taifa. Hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio jamii yenye uchumi mkubwa inayonufaika na uwepo wa CHAMA CHA MAPINDUZI madarakani.

Jamii nyingine zisipoamka, zitaendelea kuwa ni jamii za kuajiriwa na kufanya biashara ndogo ndogo, yaani "PETTY TRADE".

Hiyo ndio SIASA YA TANZANIA! Hiyo ndio HALI HALISI YA TANZANIA! Na hiyo ndio CCM aliyoiacha HAYATI MWALIMU!
 
HAYATI MWALIMU na aliyekuwa Rais wa serikali ya wanafunzi ya CoHSS, mwaka 2012/13 ni Pete na Kidole - hauwezi kuwatofautisha wala kuwatenganisha. Sema HAYATI MWALIMU ni CHUI na yule mwingine ni SIMBA.

Tuachane na hayo! Kila awamu ya kipindi cha Urais kwa nchi ya Tanzania, kiongozi wa nchi - yaani Rais analazimika kuandaa upinzani wake na hii imekuwa ni kama desturi tangu kipindi cha HAYATI MWALIMU.

Sasa kipindi cha HAYATI MWALIMU kulikuwa hakuna mfumo wa vyama vingi, kulikuwa na mfumo wa chama kimoja tu.

Na kipindi ambapo HAYATI MWALIMU anakabidhiwa uhuru kutoka kwa Mwingereza kulikuwa na mshindani wake wa kipindi hicho, alikuwa anajulikana kwa jina la MAKWAIA. Huyu MAKWAIA alikuwa ni CHIFU anayetoka maeneo ya KISHAPU, mkoa wa SHINYANGA.

Huyu CHIFU alikuwa na elimu nzuri sana [ MASTERS ], alipata elimu yake kutoka Uingereza. Familia ya huyu CHIFU ilikuwa na ukwasi wa kutisha na ilikuwa ikiongoza kwa upande wa Afrika ya Mashariki kutokana na biashara ya almasi na biashara ya zao la pamba.

Baada ya HAYATI MWALIMU kupewa nafasi ya kufuatilia uhuru na kufanikisha kupewa uhuru kutoka kwa Mwingereza, wale waliokuwa washindani wake aliwafanya kuwa marafiki na kuwapa nyadhifa mbalimbali serikalini.

Vile vile HAYATI MWALIMU alifanikiwa kuua hizi tawala za kichifu kwa upande wa Tanzania bara kwa kuwapa nafasi serikalini wale waliokuwa na elimu kutoka familia za kichifu.

Lakini ushindani hafifu uliendelea kuwepo na ushindani ulikuja kushika kasi hasa baada ya kuanzishwa kwa vyama vya ushirika.

Kulikuwa na vyama vya ushirika kwa upande wa Tanzania Bara vilivyokuwa vikisimamia mazao ya biashara kwa kila mkoa husika.

Na vyama vya ushirika vilivyokuwa na nguvu ya kiuchumi kwa kipindi hicho, vilikuwa ni vyama vya ushirika kutoka mkoa wa Mwanza [ NCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba, mkoa wa Shinyanga [ SHIRECU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba na mkoa wa Tabora [ WETCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la tumbaku.

Lakini baadae kulikuja kutokea anguko kubwa sana la hivi vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha kutokana na kuwa na wafanyakazi wasiokuwa waaminifu - wizi na ubadhirifu wa mali ya umma ulikithiri, hivyo kupelekea vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha.

Lakini hii yote, kulikuwa na baraka kutoka kwa HAYATI MWALIMU, kwa sababu hivi vyama vya ushirika vilikuwa vinatishia uhai wa CHAMA CHA MAPINDUZI. Kungelitokea vyama vya ushirika vimejiunga na kuunda chama kimoja cha siasa, vingeliweza kukitoa CHAMA CHA MAPINDUZI madarakani kwa sababu ya kupata uungwaji mkono mkubwa sana kutoka kwa vyama vya wafanyakazi pamoja na vyama vya wakulima.

Hivyo basi, wale watumishi wa vyama vya ushirika kutoka mikoa mingine walifikishwa mahakamani kutokana na wizi wa mali ya umma, wengine walifilisiwa na hata kufungwa lakini hawa wafanyakazi wa Chama Cha Ushirika Cha Mwanza [ NCU ], Chama Cha Ushirika Cha Shinyanga [ SHIRECU ] na Chama Cha Ushirika Cha Tabora [ WETCU ] walikuwa huru, sema kuna baadhi yao walifukuzwa kazi bila hata ya kuchukuliwa hatua yoyote. Na hii ilifanyika chini ya uangalizi wa HAYATI MWALIMU mwenyewe.

Hawa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU walikuja kuwa na ukwasi wa kutisha na wengine walikuwa na uchumi mkubwa kuliko hata aliyekuwa kiongozi wao wa kimila, yaani CHIFU MAKWAIA.

Na hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio watanzania weusi wenye uchumi mkubwa mpaka leo hii, ukiondoa wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa wafanyakazi waliofanya ubadhirifu kwenye vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuja kuwa washindani wakubwa wa HAYATI MWALIMU kwa miaka iliyosalia kabla ya umauti kumkuta HAYATI MWALIMU. Na hawa ndio wapinzani halali wa CHUI yaani SERENGETI iwe ni kielimu, kiuchumi, kisiasa, kimichezo na burudani.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima. Narudia tena - "Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima".

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo kwa kumiliki viwanda vikubwa vya sukari vya KAGERA SUGAR na MTIBWA SUGAR kwa pamoja. Vile vile hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wameshikilia mazao ya biashara kama pamba, tumbaku na alizeti kwa kumiliki viwanda vya kuchambua na kukamua mafuta ya pamba pamoja na alizeti. Kwa lugha ya Kiingereza wanaita - Ginneries.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo cha ngano kwa kumiliki viwanda vya AZANIA WHEAT FLOUR, MeTL, CAMEL WHEAT FLOUR na PEMBE WHEAT FLOUR.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa viwanda vya SAYONA INDUSTRIES.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha TANGA PHARMACEUTICAL & PLASTICS LTD kinachotengeneza HERBAL PETROLEUM JELLY na mafuta ya kutumia mwilini yanayoitwa VESTLINE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza maziwa freshi kinachoitwa TANGA FRESH kinachopatikana mkoani Tanga.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya mafuta ya kupikia, sabuni za kuogea na kufulia kwa kumiliki viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA.

Tofauti na viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya MURZAH WILMAR EAST AFRICA LIMITED inayotengeneza mafuta ya kupikia ya KORIE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya uagizaji wa mafuta ya petroli, dizeli pamoja na mafuta ya taa kwa kumiliki makampuni ya LAKE OIL, MOIL, PETRO AFRICA, MSN, SIMBA OIL, KILIMANJARO OIL, BIG BON, AFROIL, OILCOM, KOIL, MERU OIL, PRIME FUELS, UKOO PETROLEUM LTD na DALBIT PETROLEUM LTD [ Hizi ni kampuni za usafirishaji wa mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa ], OLYMPIC OIL pamoja na CAMEL OIL.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha SIMBA CEMENT na CAMEL CEMENT kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha MMM STEEL na KIOO INDUSTRY kwa pamoja.

Tofauti na viwanda vya MMM STEEL na KIOO INDUSTRY, hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza rangi kinachoitwa GOLDSTAR PAINTS TANZANIA LIMITED.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya ukandarasi ya NYANZA ROAD pamoja na makampuni mengine yanayoshughulika na madini kama KILIMANJARO MINING na KASCO MINING.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya SIMBA GROUP na SIMBA TRAILERS.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa makampuni yanayotengeneza na kuunganisha mabodi ya mabasi pamoja na malori. Makampuni hayo ni DAR COACH kwa upande wa TANZANIA🇹🇿, BANBROS LTD na MASTER FABRICATORS LTD kwa upande wa KENYA🇰🇪. Hii ndio sababu inayopelekea kushika sekta ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwa kipindi kirefu sana.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa benki za DIAMOND TRUST BANK [ DTB ], AKIBA COMMERCIAL BANK [ ACB ] na AZANIA BANK [ AB ] kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO [ Tanzania ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya uchapishaji ya magazeti inayoitwa Mwananchi Communications Limited [ MCL ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza pipi za IVORI kinachopatikana Iringa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wanaomiliki shule nyingi binafsi hapa nchini. Yaani wanamiliki shule nyingi sana kwa upande wa Tanzania bara kuliko hata taasisi za kidini yaani KANISA KATOLIKI, KKKT na ANGLIKANI.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Hoteli ya KEMPINSKI na wana hoteli nyingi sana za kitalii kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mbeya, Iringa, Morogoro, Kigoma na Zanzibar.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, yaani FGBF. Pale FGBF, Askofu Zakaria Kakobe ni mfanyakazi tu kama ilivyo kwa Profesa Ibrahim Lipumba, upande wa CUF.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya michezo hususani mpira wa miguu kwa kumiliki timu kadhaa zinazoshiriki ligi kuu. Timu hizo ni SIMBA SC ya mkoa wa Dar Es Salaam, BIASHARA MARA UNITED ya mkoa wa Mara, COASTAL UNION SC ya mkoa wa Tanga, KAGERA SUGAR FC ya mkoa wa Kagera pamoja na MTIBWA SUGAR FC ya mkoa wa Morogoro. Kuna timu nyingine za daraja la kwanza, daraja la pili na timu zinazoshiriki ligi ya mikoa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kundi la wasanii la Wasafi Classic yaani WCB, kituo cha televisheni pamoja na kituo cha redio. Na ndio hao hao waliokuwa wamiliki halali wa kundi la HipHop la Nako2Nako Soldiers linalopatikana Arusha. Na kuna wasanii wengine wengi tu, ndani na nje ya nchi ya TANZANIA 🇹🇿 kama vile UGANDA 🇺🇬, KENYA 🇰🇪, KONGO 🇨🇩, ZAMBIA 🇿🇲, KAMERUNI 🇨🇲 na AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa vyama vya siasa vya CUF - Chama Cha Wananchi na ACT - Wazalendo.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Chuo Kikuu cha ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY. Kwahiyo, hawa watu sio watu wa mchezo mchezo! Ni watu wanaofahamu nini wanafanya. Hakuna ujanja ujanja wala uhuni uhuni! Elimu ni kipaumbele cha kwanza kwa MWASHITA yaani SIMBA.

Hao ndio SIMBA! Hao ndio SIMBA waliokuwa na baraka zote kutoka kwa HAYATI MWALIMU tangu miaka ya 1984! Au kwa jina lingine wanaitwa MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ]. Wapinzani halisi wa CHUI yaani SERENGETI au kwa jina jingine wanaitwa RAMADHANI au RAMA yaani MARA.

Hawa SIMBA ni tofauti kabisa na hiki kikundi kinachojiita SUKUMA GANG. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa wahuni wahuni tu, tena walionawili kipindi cha Marehemu Rais John Pombe Magufuli. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI wasiokuwa hata na utashi wa kisiasa na wasiokuwa na maono ya kuona mbali. Hii SUKUMA GANG hata uchumi wa kuendesha chama cha kisiasa bado hawana.

Sasa tujiulize maswali mengine, ni kwanini CUF - Chama Cha Wananchi kimepoteza umaarufu ilhali watu walionyuma yake wana uwezo mkubwa kiuchumi? Jibu, ni kuwa hawa SIMBA waliokuwa nyuma ya CUF - Chama Cha Wananchi walipoteza muda mwingi sana kushindana na CHUI kiuchumi, yaani SIMBA na CHUI walikuwa wanashindana sana kuwekeza kiuchumi nje ya nchi.

Lakini sote yatupasa kufahamu kuwa, CHUI ndio mwenye CHAMA CHA MAPINDUZI na ndio mwenye DOLA YA TANZANIA. Kwahiyo kushindana na mwenye dola yataka moyo! Narudia tena - kushindana na mwenye dola yataka moyo! Sio kazi rahisi kama watu wengi wanavyofikiria.

SIMBA kuendelea kushindana na CHUI kuwekeza nje ya nchi kulimfanya kupoteza nafasi ya Chama Kikuu Cha Upinzani bungeni na nafasi yake kuchukuliwa na CHADEMA mwaka 2010 mpaka mwaka 2020. Hawa CHADEMA walipata uungwaji mkono mkubwa sana wa kisiasa kwa mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na baadhi ya sehemu za Tanzania. Vile vile wenyeji wa hii mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wanajulikana kwa jina la NYATI au kwa jina lingine la utani wanaitwa NYUMBU [ 😁😁😁 ]. Na ndivyo jinsi walivyo!

Katika kuwekeza nje ya nchi, ilifikia hatua CHUI akimiliki Esperance de Tunis ya Tunisia, hawa SIMBA wanamiliki Raja Club de Athletic ya Moroko.

Hawa CHUI wakimiliki AlAhly ya Misri, SIMBA wanamiliki Zamalek ya Misri vile vile.

CHUI akimiliki Asec Mimosas ya Ivory Coast, SIMBA wanamiliki Horoya AC ya Guinea.

CHUI akimiliki Stellenbosch FC ya Afrika ya Kusini, hawa SIMBA wanamiliki Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini vile vile.

SIMBA akimiliki Tout Puissant Englebert Mazembe ya Kongo - Lubumbashi, hawa CHUI wanamiliki Wydad Club de Athletic ya Moroko.

Yaani ni tafrani! Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi yuko hai. Watangulizi wake wakina Ali Hassan Mwinyi, wakina Marehemu Benjamin Mkapa, wakina Mrisho Khalifani, wakina Marehemu John Magufuli na hatimaye Mama Samia Suluhu wote wameshindwa kuidhibiti SIMBA mpaka inakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR.

Lakini huo ndio upinzani alioutengenza na kuuacha HAYATI MWALIMU na ndio unaosumbua mamlaka za kiintelijensia mpaka leo hii, kwa sababu hao ndio wameshika uchumi wa Tanzania, mbali na wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa SIMBA wameenda mbali zaidi hadi kutawala SOKA LA AFRIKA KWA UPANDE WA VILABU. Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa mpaka nje ya mipaka ya TANZANIA. Hawa SIMBA ndio wamiliki halali wa timu ya FC PLATINUM ya ZIMBABWE 🇿🇼, KAIZER CHIEFS ya AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦, NKANA FC ya ZAMBIA 🇿🇲, BIG BULLETS ya MALAWI 🇲🇼, PRIMEIRO DE AGOSTO ya ANGOLA 🇦🇴, ASANTE KOTOKO ya GHANA 🇬🇭, AKWA UNITED ya NAIJERIA 🇳🇬, TP MAZEMBE ya KONGO 🇨🇩, TOWNSHIP ROLLERS ya BOTSWANA 🇧🇼, KARIOBANGI SHARKS ya KENYA 🇰🇪, EXPRESS FC ya UGANDA 🇺🇬, RAYON SPORTS ya RWANDA 🇷🇼, VITAL'O ya BURUNDI 🇧🇮, AL HILAL OMDURMAN ya SUDANI 🇸🇩, AC HOROYA ya GUINEA 🇬🇳, COTONSPORTS ya KAMERUNI 🇨🇲, RAJA CLUB DE ATHLETIC ya MOROKO 🇲🇦, ETOILE SPORTIVE DU SAHEL ya TUNISIA 🇹🇳, ENTENTE SPORTIVE SETIFIENNE [ ES SETIF ] ya ALGERIA 🇩🇿, ZAMALEK ya MISRI 🇪🇬 pamoja na SIMBA SC ya TANZANIA 🇹🇿.

Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa sana hata kwa upande wa nje ya mipaka ya TANZANIA.

Kama ilivyo kwa CHUI au jina lingine SERENGETI kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja. Ndivyo ilivyo kwa upande wa SIMBA au jina lingine wanaitwa MWASHITA kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja.

Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi cha uhai wake, upinzani alioutengenza yeye HAYATI MWALIMU, watangulizi wake wameshindwa kuudhibiti. Na ndio wanaoligharimu taifa mpaka wanakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR. Na wakimaliza DOLA YA ZANZIBAR, hawa SIMBA wanageukia TANZANIA BARA.

8dba37e1ee309c4c45639851e50e301d.png

Ukiangalia posti niliyonukuu hapo juu, kwenye orodha ya timu za mpira wa miguu zinazomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA hakuna timu ya mpira wa miguu kutoka MSUMBIJI 🇲🇿.

Sasa basi, hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa mizigo inayoitwa ALISTAIR. Hii kampuni inafanya vizuri sana kwa upande wa KENYA 🇰🇪, TANZANIA 🇹🇿, KONGO 🇨🇩, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦 na MSUMBIJI 🇲🇿 yenyewe.

Kwa upande wa MSUMBIJI 🇲🇿, hawa MWASHITA yaani SIMBA watamiliki timu ya mpira wa miguu kupitia kampuni yao ya usafirishaji ya ALISTAIR.

Halafu pia, hii ALISTAIR kama imepunguza uwezo wake wa kufanya kazi kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 kwa sababu tenda zake nyingi zimechukuliwa na makampuni wenza ya CONVOY HAULAGE, SIMBA MTOTO, BLUE COAST, TEXAS na BIG BULLETS.

Vile vile wale SIMBA yaani MWASHITA waliohamia TANGA ndio wafanyakazi na madereva wa malori ya SIMBA MTOTO, BLUE COAST, TEXAS, BIG BULLETS, CONVOY HAULAGE, SIMBA LOGISTICS pamoja na ALISTAIR.

Baada ya kufanikiwa kuwekeza kwenye nchi ya MSUMBIJI 🇲🇿, hawa MWASHITA yaani SIMBA watakuwa wamefanikiwa kuizunguka nchi yote ya TANZANIA 🇹🇿 kwa kufanikiwa kuwekeza kwenye nchi zote nane zinazoizunguka TANZANIA 🇹🇿.
 
Ukiangalia posti niliyonukuu hapo juu, kwenye orodha ya timu za mpira wa miguu zinazomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA hakuna timu ya mpira wa miguu kutoka MSUMBIJI 🇲🇿.

Sasa basi, hawa MWASHITA yaani SIMBA ndio wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji wa mizigo inayoitwa ALISTAIR. Hii kampuni inafanya vizuri sana kwa upande wa KENYA 🇰🇪, TANZANIA 🇹🇿, KONGO 🇨🇩, RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮, ZAMBIA 🇿🇲, MALAWI 🇲🇼, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦 na MSUMBIJI 🇲🇿 yenyewe.

Kwa upande wa MSUMBIJI 🇲🇿, hawa MWASHITA yaani SIMBA watamiliki timu ya mpira wa miguu kupitia kampuni yao ya usafirishaji ya ALISTAIR.

Halafu pia, hii ALISTAIR kama imepunguza uwezo wake wa kufanya kazi kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 kwa sababu tenda zake nyingi zimechukuliwa na makampuni wenza ya CONVOY HAULAGE, SIMBA MTOTO, BLUE COAST, TEXAS na BIG BULLETS.

Vile vile wale SIMBA yaani MWASHITA waliohamia TANGA ndio wafanyakazi na madereva wa malori ya SIMBA MTOTO, BLUE COAST, TEXAS, BIG BULLETS, CONVOY HAULAGE pamoja na ALISTAIR.

Baada ya kufanikiwa kuwekeza kwenye nchi ya MSUMBIJI 🇲🇿, hawa MWASHITA yaani SIMBA watakuwa wamefanikiwa kuizunguka nchi yote ya TANZANIA 🇹🇿 kwa kufanikiwa kuwekeza kwenye nchi zote nane zinazoizunguka TANZANIA 🇹🇿.

Baada ya kufanikiwa kuwekeza kwenye nchi za AFRIKA YA MASHARIKI pamoja na nchi ya MSUMBIJI 🇲🇿 - hawa MWASHITA yaani SIMBA watakuja na mradi wa tatu. Huu mradi wa tatu utaanza kufanya kazi kuanzia mwaka 2025.

Huu mradi utakuwa ni mradi unaonganisha majiji yote ya nchi zote za SADC [ SOUTHERN AFRICAN DEVELOPMENT COUNTRIES ] kwa njia ya barabara.

images.jpeg

Kutakuwa na kampuni moja ya usafirishaji wa abiria itakayounganisha nchi zote za SADC, kama unavyoona hapo juu kwenye ramani.

Hii kampuni itakuja na jina litakalojulikana kama SADC ROAD LINK itakayounganisha nchi za KENYA 🇰🇪, UGANDA 🇺🇬, RWANDA 🇷🇼, BURUNDI 🇧🇮, KONGO 🇨🇩, ANGOLA 🇦🇴, NAMIBIA 🇳🇦, BOTSWANA 🇧🇼, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦, LESOTHO 🇱🇸, ESWATINI 🇸🇿, ZIMBABWE 🇿🇼, ZAMBIA 🇿🇲, MALAWI 🇲🇼, MSUMBIJI 🇲🇿 na TANZANIA 🇹🇿 yenyewe.

18505e39457a5e71e09ffd86656b33f8.png

Kama unavyoona hapo juu! Huu mradi utakuwa unajumuisha gari aina ya SCANIA TURISMO kama unavyoona hapo kwenye picha, hizi ni gari zinazotengenezwa na kampuni ya Banbros Limited inayopatikana nchini KENYA 🇰🇪. Hii kampuni ya Banbros Limited inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA.

Kwahiyo hii itakuwa ni fursa ya kibiashara kwa kampuni ya Banbros Limited kutangaza bidhaa zake kwenye nchi za SADC.

Na awamu hii itakuwa inachukua wafanyakazi wote yaani SIMBA au MWASHITA wa mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA kwenda kufanya kazi kwenye hizi nchi za SADC.

Na hii ndio SIASA inayofanywa na MWASHITA yaani SIMBA yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU kuwainua kiuchumi hawa wakazi wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Hiyo ndio SIASA inayofanywa na MWASHITA yaani SIMBA dhidi ya SERIKALI INAYOONGOZWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI YAANI CCM.
 
Huyo Kambona ni mjinga Kama wajinga wengine.. Mwalimu ni rais bora hapa Tanzania na afrika
Ndio! Hana tofauti na ADAM SAPI MKWAWA aliyekuwa SPIKA WA BUNGE mstaafu! Angalia SAFARI CHANNEL na TBC1, kuna makala ya video inaelezea familia na maisha ya aliyekuwa SPIKA WA BUNGE mstaafu, ADAM SAPI MKWAWA. Ile ni FEDHEA wala sio uongo.

Hivi unafahamu kipindi wanajeshi wa JWTZ walivyoamua kumjengea nyumba HAYATI MWALIMU, walimwambia hivi - Ni aibu kwa BABA WA TAIFA kuwa na nyumba ndogo ambayo hata tembo hatoshi!

Unafahamu HAYATI MWALIMU alivyowajibu wale waliokuwa wanajeshi wa JWTZ? Aliwajibu hivi - Nyinyi ni wajinga, mimi nina uwanja mkubwa unaoweza kuchukua tembo zaidi elfu moja.

Sasa swali lingine linakuja, huo uwanja aliokuwa akiusema HAYATI MWALIMU ulikuwa ni uwanja upi? Huo uwanja ni ule uliokuwa ukitumiwa na timu ya mpira ya UJERUMANI 🇩🇪, iliyokuwa ikijulikana kwa jina la BAYERN MUNICH.

Tangia hapo, sura yenye picha ya HAYATI MWALIMU iliwekwa kwenye NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].

images (1).jpeg


images (3).jpeg


images.jpeg

Hiyo ndio historia ya NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].
 
HAYATI MWALIMU na aliyekuwa Rais wa serikali ya wanafunzi ya CoHSS, mwaka 2012/13 ni Pete na Kidole - hauwezi kuwatofautisha wala kuwatenganisha. Sema HAYATI MWALIMU ni CHUI na yule mwingine ni SIMBA.

Tuachane na hayo! Kila awamu ya kipindi cha Urais kwa nchi ya Tanzania, kiongozi wa nchi - yaani Rais analazimika kuandaa upinzani wake na hii imekuwa ni kama desturi tangu kipindi cha HAYATI MWALIMU.

Sasa kipindi cha HAYATI MWALIMU kulikuwa hakuna mfumo wa vyama vingi, kulikuwa na mfumo wa chama kimoja tu.

Na kipindi ambapo HAYATI MWALIMU anakabidhiwa uhuru kutoka kwa Mwingereza kulikuwa na mshindani wake wa kipindi hicho, alikuwa anajulikana kwa jina la MAKWAIA. Huyu MAKWAIA alikuwa ni CHIFU anayetoka maeneo ya KISHAPU, mkoa wa SHINYANGA.

Huyu CHIFU alikuwa na elimu nzuri sana [ MASTERS ], alipata elimu yake kutoka Uingereza. Familia ya huyu CHIFU ilikuwa na ukwasi wa kutisha na ilikuwa ikiongoza kwa upande wa Afrika ya Mashariki kutokana na biashara ya almasi na biashara ya zao la pamba.

Baada ya HAYATI MWALIMU kupewa nafasi ya kufuatilia uhuru na kufanikisha kupewa uhuru kutoka kwa Mwingereza, wale waliokuwa washindani wake aliwafanya kuwa marafiki na kuwapa nyadhifa mbalimbali serikalini.

Vile vile HAYATI MWALIMU alifanikiwa kuua hizi tawala za kichifu kwa upande wa Tanzania bara kwa kuwapa nafasi serikalini wale waliokuwa na elimu kutoka familia za kichifu.

Lakini ushindani hafifu uliendelea kuwepo na ushindani ulikuja kushika kasi hasa baada ya kuanzishwa kwa vyama vya ushirika.

Kulikuwa na vyama vya ushirika kwa upande wa Tanzania Bara vilivyokuwa vikisimamia mazao ya biashara kwa kila mkoa husika.

Na vyama vya ushirika vilivyokuwa na nguvu ya kiuchumi kwa kipindi hicho, vilikuwa ni vyama vya ushirika kutoka mkoa wa Mwanza [ NCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba, mkoa wa Shinyanga [ SHIRECU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba na mkoa wa Tabora [ WETCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la tumbaku.

Lakini baadae kulikuja kutokea anguko kubwa sana la hivi vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha kutokana na kuwa na wafanyakazi wasiokuwa waaminifu - wizi na ubadhirifu wa mali ya umma ulikithiri, hivyo kupelekea vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha.

Lakini hii yote, kulikuwa na baraka kutoka kwa HAYATI MWALIMU, kwa sababu hivi vyama vya ushirika vilikuwa vinatishia uhai wa CHAMA CHA MAPINDUZI. Kungelitokea vyama vya ushirika vimejiunga na kuunda chama kimoja cha siasa, vingeliweza kukitoa CHAMA CHA MAPINDUZI madarakani kwa sababu ya kupata uungwaji mkono mkubwa sana kutoka kwa vyama vya wafanyakazi pamoja na vyama vya wakulima.

Hivyo basi, wale watumishi wa vyama vya ushirika kutoka mikoa mingine walifikishwa mahakamani kutokana na wizi wa mali ya umma, wengine walifilisiwa na hata kufungwa lakini hawa wafanyakazi wa Chama Cha Ushirika Cha Mwanza [ NCU ], Chama Cha Ushirika Cha Shinyanga [ SHIRECU ] na Chama Cha Ushirika Cha Tabora [ WETCU ] walikuwa huru, sema kuna baadhi yao walifukuzwa kazi bila hata ya kuchukuliwa hatua yoyote. Na hii ilifanyika chini ya uangalizi wa HAYATI MWALIMU mwenyewe.

Hawa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU walikuja kuwa na ukwasi wa kutisha na wengine walikuwa na uchumi mkubwa kuliko hata aliyekuwa kiongozi wao wa kimila, yaani CHIFU MAKWAIA.

Na hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio watanzania weusi wenye uchumi mkubwa mpaka leo hii, ukiondoa wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa wafanyakazi waliofanya ubadhirifu kwenye vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuja kuwa washindani wakubwa wa HAYATI MWALIMU kwa miaka iliyosalia kabla ya umauti kumkuta HAYATI MWALIMU. Na hawa ndio wapinzani halali wa CHUI yaani SERENGETI iwe ni kielimu, kiuchumi, kisiasa, kimichezo na burudani.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima. Narudia tena - "Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima".

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo kwa kumiliki viwanda vikubwa vya sukari vya KAGERA SUGAR na MTIBWA SUGAR kwa pamoja. Vile vile hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wameshikilia mazao ya biashara kama pamba, tumbaku na alizeti kwa kumiliki viwanda vya kuchambua na kukamua mafuta ya pamba pamoja na alizeti. Kwa lugha ya Kiingereza wanaita - Ginneries.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo cha ngano kwa kumiliki viwanda vya AZANIA WHEAT FLOUR, MeTL, CAMEL WHEAT FLOUR na PEMBE WHEAT FLOUR.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa viwanda vya SAYONA INDUSTRIES.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha TANGA PHARMACEUTICAL & PLASTICS LTD kinachotengeneza HERBAL PETROLEUM JELLY na mafuta ya kutumia mwilini yanayoitwa VESTLINE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza maziwa freshi kinachoitwa TANGA FRESH kinachopatikana mkoani Tanga.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya mafuta ya kupikia, sabuni za kuogea na kufulia kwa kumiliki viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA.

Tofauti na viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya MURZAH WILMAR EAST AFRICA LIMITED inayotengeneza mafuta ya kupikia ya KORIE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya uagizaji wa mafuta ya petroli, dizeli pamoja na mafuta ya taa kwa kumiliki makampuni ya LAKE OIL, MOIL, PETRO AFRICA, MSN, SIMBA OIL, KILIMANJARO OIL, BIG BON, AFROIL, OILCOM, KOIL, MERU OIL, PRIME FUELS, UKOO PETROLEUM LTD na DALBIT PETROLEUM LTD [ Hizi ni kampuni za usafirishaji wa mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa ], OLYMPIC OIL pamoja na CAMEL OIL.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha SIMBA CEMENT na CAMEL CEMENT kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha MMM STEEL na KIOO INDUSTRY kwa pamoja.

Tofauti na viwanda vya MMM STEEL na KIOO INDUSTRY, hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza rangi kinachoitwa GOLDSTAR PAINTS TANZANIA LIMITED.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya ukandarasi ya NYANZA ROAD pamoja na makampuni mengine yanayoshughulika na madini kama KILIMANJARO MINING na KASCO MINING.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya SIMBA GROUP na SIMBA TRAILERS.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa makampuni yanayotengeneza na kuunganisha mabodi ya mabasi pamoja na malori. Makampuni hayo ni DAR COACH kwa upande wa TANZANIA🇹🇿, BANBROS LTD na MASTER FABRICATORS LTD kwa upande wa KENYA🇰🇪. Hii ndio sababu inayopelekea kushika sekta ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwa kipindi kirefu sana.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa benki za DIAMOND TRUST BANK [ DTB ], AKIBA COMMERCIAL BANK [ ACB ] na AZANIA BANK [ AB ] kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO [ Tanzania ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya uchapishaji ya magazeti inayoitwa Mwananchi Communications Limited [ MCL ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza pipi za IVORI kinachopatikana Iringa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wanaomiliki shule nyingi binafsi hapa nchini. Yaani wanamiliki shule nyingi sana kwa upande wa Tanzania bara kuliko hata taasisi za kidini yaani KANISA KATOLIKI, KKKT na ANGLIKANI.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Hoteli ya KEMPINSKI na wana hoteli nyingi sana za kitalii kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mbeya, Iringa, Morogoro, Kigoma na Zanzibar.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, yaani FGBF. Pale FGBF, Askofu Zakaria Kakobe ni mfanyakazi tu kama ilivyo kwa Profesa Ibrahim Lipumba, upande wa CUF.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya michezo hususani mpira wa miguu kwa kumiliki timu kadhaa zinazoshiriki ligi kuu. Timu hizo ni SIMBA SC ya mkoa wa Dar Es Salaam, BIASHARA MARA UNITED ya mkoa wa Mara, COASTAL UNION SC ya mkoa wa Tanga, KAGERA SUGAR FC ya mkoa wa Kagera pamoja na MTIBWA SUGAR FC ya mkoa wa Morogoro. Kuna timu nyingine za daraja la kwanza, daraja la pili na timu zinazoshiriki ligi ya mikoa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kundi la wasanii la Wasafi Classic yaani WCB, kituo cha televisheni pamoja na kituo cha redio. Na ndio hao hao waliokuwa wamiliki halali wa kundi la HipHop la Nako2Nako Soldiers linalopatikana Arusha. Na kuna wasanii wengine wengi tu, ndani na nje ya nchi ya TANZANIA 🇹🇿 kama vile UGANDA 🇺🇬, KENYA 🇰🇪, KONGO 🇨🇩, ZAMBIA 🇿🇲, KAMERUNI 🇨🇲 na AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa vyama vya siasa vya CUF - Chama Cha Wananchi na ACT - Wazalendo.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Chuo Kikuu cha ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY. Kwahiyo, hawa watu sio watu wa mchezo mchezo! Ni watu wanaofahamu nini wanafanya. Hakuna ujanja ujanja wala uhuni uhuni! Elimu ni kipaumbele cha kwanza kwa MWASHITA yaani SIMBA.

Hao ndio SIMBA! Hao ndio SIMBA waliokuwa na baraka zote kutoka kwa HAYATI MWALIMU tangu miaka ya 1984! Au kwa jina lingine wanaitwa MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ]. Wapinzani halisi wa CHUI yaani SERENGETI au kwa jina jingine wanaitwa RAMADHANI au RAMA yaani MARA.

Hawa SIMBA ni tofauti kabisa na hiki kikundi kinachojiita SUKUMA GANG. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa wahuni wahuni tu, tena walionawili kipindi cha Marehemu Rais John Pombe Magufuli. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI wasiokuwa hata na utashi wa kisiasa na wasiokuwa na maono ya kuona mbali. Hii SUKUMA GANG hata uchumi wa kuendesha chama cha kisiasa bado hawana.

Sasa tujiulize maswali mengine, ni kwanini CUF - Chama Cha Wananchi kimepoteza umaarufu ilhali watu walionyuma yake wana uwezo mkubwa kiuchumi? Jibu, ni kuwa hawa SIMBA waliokuwa nyuma ya CUF - Chama Cha Wananchi walipoteza muda mwingi sana kushindana na CHUI kiuchumi, yaani SIMBA na CHUI walikuwa wanashindana sana kuwekeza kiuchumi nje ya nchi.

Lakini sote yatupasa kufahamu kuwa, CHUI ndio mwenye CHAMA CHA MAPINDUZI na ndio mwenye DOLA YA TANZANIA. Kwahiyo kushindana na mwenye dola yataka moyo! Narudia tena - kushindana na mwenye dola yataka moyo! Sio kazi rahisi kama watu wengi wanavyofikiria.

SIMBA kuendelea kushindana na CHUI kuwekeza nje ya nchi kulimfanya kupoteza nafasi ya Chama Kikuu Cha Upinzani bungeni na nafasi yake kuchukuliwa na CHADEMA mwaka 2010 mpaka mwaka 2020. Hawa CHADEMA walipata uungwaji mkono mkubwa sana wa kisiasa kwa mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na baadhi ya sehemu za Tanzania. Vile vile wenyeji wa hii mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wanajulikana kwa jina la NYATI au kwa jina lingine la utani wanaitwa NYUMBU [ 😁😁😁 ]. Na ndivyo jinsi walivyo!

Katika kuwekeza nje ya nchi, ilifikia hatua CHUI akimiliki Esperance de Tunis ya Tunisia, hawa SIMBA wanamiliki Raja Club de Athletic ya Moroko.

Hawa CHUI wakimiliki AlAhly ya Misri, SIMBA wanamiliki Zamalek ya Misri vile vile.

CHUI akimiliki Asec Mimosas ya Ivory Coast, SIMBA wanamiliki Horoya AC ya Guinea.

CHUI akimiliki Stellenbosch FC ya Afrika ya Kusini, hawa SIMBA wanamiliki Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini vile vile.

SIMBA akimiliki Tout Puissant Englebert Mazembe ya Kongo - Lubumbashi, hawa CHUI wanamiliki Wydad Club de Athletic ya Moroko.

Yaani ni tafrani! Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi yuko hai. Watangulizi wake wakina Ali Hassan Mwinyi, wakina Marehemu Benjamin Mkapa, wakina Mrisho Khalifani, wakina Marehemu John Magufuli na hatimaye Mama Samia Suluhu wote wameshindwa kuidhibiti SIMBA mpaka inakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR.

Lakini huo ndio upinzani alioutengenza na kuuacha HAYATI MWALIMU na ndio unaosumbua mamlaka za kiintelijensia mpaka leo hii, kwa sababu hao ndio wameshika uchumi wa Tanzania, mbali na wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa SIMBA wameenda mbali zaidi hadi kutawala SOKA LA AFRIKA KWA UPANDE WA VILABU. Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa mpaka nje ya mipaka ya TANZANIA. Hawa SIMBA ndio wamiliki halali wa timu ya FC PLATINUM ya ZIMBABWE 🇿🇼, KAIZER CHIEFS ya AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦, NKANA FC ya ZAMBIA 🇿🇲, BIG BULLETS ya MALAWI 🇲🇼, PRIMEIRO DE AGOSTO ya ANGOLA 🇦🇴, ASANTE KOTOKO ya GHANA 🇬🇭, AKWA UNITED ya NAIJERIA 🇳🇬, TP MAZEMBE ya KONGO 🇨🇩, TOWNSHIP ROLLERS ya BOTSWANA 🇧🇼, KARIOBANGI SHARKS ya KENYA 🇰🇪, EXPRESS FC ya UGANDA 🇺🇬, RAYON SPORTS ya RWANDA 🇷🇼, VITAL'O ya BURUNDI 🇧🇮, AL HILAL OMDURMAN ya SUDANI 🇸🇩, AC HOROYA ya GUINEA 🇬🇳, COTONSPORTS ya KAMERUNI 🇨🇲, RAJA CLUB DE ATHLETIC ya MOROKO 🇲🇦, ETOILE SPORTIVE DU SAHEL ya TUNISIA 🇹🇳, ENTENTE SPORTIVE SETIFIENNE [ ES SETIF ] ya ALGERIA 🇩🇿, ZAMALEK ya MISRI 🇪🇬 pamoja na SIMBA SC ya TANZANIA 🇹🇿.

Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa sana hata kwa upande wa nje ya mipaka ya TANZANIA.

Kama ilivyo kwa CHUI au jina lingine SERENGETI kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja. Ndivyo ilivyo kwa upande wa SIMBA au jina lingine wanaitwa MWASHITA kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja.

Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi cha uhai wake, upinzani alioutengenza yeye HAYATI MWALIMU, watangulizi wake wameshindwa kuudhibiti. Na ndio wanaoligharimu taifa mpaka wanakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR. Na wakimaliza DOLA YA ZANZIBAR, hawa SIMBA wanageukia TANZANIA BARA.




Kwahiyo HUNIJUI SIKUJUI hali halisi ndio hiyo! Hapo ni moja ya makampuni ya MWASHITA yaani SIMBA inayomilikiwa na waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU.





Hiyo ni AZANIA, kampuni ambayo inaongoza kwa kulipa kodi TANZANIA 🇹🇿, inalipa kiasi cha shilingi bilioni tano kwa mwezi [ 5,000,000,000 ] na jumla ya shilingi bilioni sitini kwa mwaka [ 60,000,000,000 ] pesa taslimu za KITANZANIA.





Hii ni muendelezo wa kampuni ya AZANIA inayomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA. Lakini kuna kiwanda kingine kinachotengeneza vilainishi kilicho chini ya kampuni tanzu ya LAKE GROUP.





Hii ni kampuni ya LAKE GROUP yenye vituo vya mafuta vya LAKE OIL, pia inatengeneza vilainishi [ LUBRICANTS ] vinavyotumika viwandani.





Na kama unafanya biashara ya matunda na bidhaa za matunda nchini TANZANIA 🇹🇿, fahamu kuwa kuna kiwanda kikubwa kabisa nchini TANZANIA 🇹🇿 na AFRIKA YA MASHARIKI kwa ujumla chenye miundombinu ya kisasa ya kusindika matunda kwa muda mrefu bila kuharibika. Kiwanda hiki kinaitwa SAYONA na kipo chini ya makampuni ya MOTISUN GROUP na kinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA na wafanyakazi wengi wanaofanya kazi kwenye hiki kiwanda ni SIMBA yaani wale wenyeji wa mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Kwa leo inatosha! Maana kuna mengi ya kueleza, lakini hivi ni baadhi ya viwanda vinavyomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU.
 
Ndio!

Hivi unafahamu kipindi wanajeshi wa JWTZ walivyoamua kumjengea nyumba HAYATI MWALIMU, walimwambia hivi - Ni aibu kwa BABA WA TAIFA kuwa na nyumba ndogo ambayo hata tembo hatoshi!

Unafahamu HAYATI MWALIMU alivyowajibu wale waliokuwa wanajeshi wa JWTZ? Aliwajibu hivi - Nyinyi ni wajinga, mimi nina uwanja mkubwa unaoweza kuchukua tembo zaidi elfu moja.

Sasa swali lingine linakuja, huo uwanja aliokuwa akiusema HAYATI MWALIMU ulikuwa ni uwanja upi? Huo uwanja ni ule uliokuwa ukitumiwa na timu ya mpira ya UJERUMANI 🇩🇪, iliyokuwa ikijulikana kwa jina la BAYERN MUNICH.

Tangia hapo, sura yenye picha ya HAYATI MWALIMU iliwekwa kwenye NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].


Hiyo ndio historia ya NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].

3a65b0eee1e2ee0a130ca188d984b3b5.png

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo hadi ULAYA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa uwanja wa VELTINS ARENA pamoja na timu ya FC SCHALKE 04 iliyoshiriki ligi kuu nchini UJERUMANI 🇩🇪 msimu uliopita na sasa hivi ipo daraja la kwanza.
 



Kwahiyo HUNIJUI SIKUJUI hali halisi ndio hiyo! Hapo ni moja ya makampuni ya MWASHITA yaani SIMBA inayomilikiwa na waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU.





Hiyo ni AZANIA, kampuni ambayo inaongoza kwa kulipa kodi TANZANIA 🇹🇿, inalipa kiasi cha shilingi bilioni tano kwa mwezi [ 5,000,000,000 ] na jumla ya shilingi bilioni sitini kwa mwaka [ 60,000,000,000 ] pesa taslimu za KITANZANIA.





Hii ni muendelezo wa kampuni ya AZANIA inayomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA. Lakini kuna kiwanda kingine kinachotengeneza vilainishi kilicho chini ya kampuni tanzu ya LAKE GROUP.





Hii ni kampuni ya LAKE GROUP yenye vituo vya mafuta vya LAKE OIL, pia inatengeneza vilainishi [ LUBRICANTS ] vinavyotumika viwandani.





Na kama unafanya biashara ya matunda na bidhaa za matunda nchini TANZANIA 🇹🇿, fahamu kuwa kuna kiwanda kikubwa kabisa nchini TANZANIA 🇹🇿 na AFRIKA YA MASHARIKI kwa ujumla chenye miundombinu ya kisasa ya kusindika matunda kwa muda mrefu bila kuharibika. Kiwanda hiki kinaitwa SAYONA na kipo chini ya makampuni ya MOTISUN GROUP na kinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA na wafanyakazi wengi wanaofanya kazi kwenye hiki kiwanda ni SIMBA yaani wale wenyeji wa mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Kwa leo inatosha! Maana kuna mengi ya kueleza, lakini hivi ni baadhi ya viwanda vinavyomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU.


071f86f53e3c4ec3f3b976b717ef53ff.png

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo hadi ULAYA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa uwanja wa VISIT MALLORCA pamoja na timu ya REAL MALLORCA inayoshiriki ligi kuu nchini UHISPANIA 🇪🇸.
 
Ndio!

Hivi unafahamu kipindi wanajeshi wa JWTZ walivyoamua kumjengea nyumba HAYATI MWALIMU, walimwambia hivi - Ni aibu kwa BABA WA TAIFA kuwa na nyumba ndogo ambayo hata tembo hatoshi!

Unafahamu HAYATI MWALIMU alivyowajibu wale waliokuwa wanajeshi wa JWTZ? Aliwajibu hivi - Nyinyi ni wajinga, mimi nina uwanja mkubwa unaoweza kuchukua tembo zaidi elfu moja.

Sasa swali lingine linakuja, huo uwanja aliokuwa akiusema HAYATI MWALIMU ulikuwa ni uwanja upi? Huo uwanja ni ule uliokuwa ukitumiwa na timu ya mpira ya UJERUMANI 🇩🇪, iliyokuwa ikijulikana kwa jina la BAYERN MUNICH.

Tangia hapo, sura yenye picha ya HAYATI MWALIMU iliwekwa kwenye NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].


Hiyo ndio historia ya NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].

8de99019ddb9c1b46b71d7a69a78ed0c.png

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo hadi ULAYA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa uwanja wa CELTIC PARK pamoja na timu ya CELTIC FC inayoshiriki ligi kuu nchini USKOCHI 🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿.
 
Ndio!

Hivi unafahamu kipindi wanajeshi wa JWTZ walivyoamua kumjengea nyumba HAYATI MWALIMU, walimwambia hivi - Ni aibu kwa BABA WA TAIFA kuwa na nyumba ndogo ambayo hata tembo hatoshi!

Unafahamu HAYATI MWALIMU alivyowajibu wale waliokuwa wanajeshi wa JWTZ? Aliwajibu hivi - Nyinyi ni wajinga, mimi nina uwanja mkubwa unaoweza kuchukua tembo zaidi elfu moja.

Sasa swali lingine linakuja, huo uwanja aliokuwa akiusema HAYATI MWALIMU ulikuwa ni uwanja upi? Huo uwanja ni ule uliokuwa ukitumiwa na timu ya mpira ya UJERUMANI 🇩🇪, iliyokuwa ikijulikana kwa jina la BAYERN MUNICH.

Tangia hapo, sura yenye picha ya HAYATI MWALIMU iliwekwa kwenye NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].


Hiyo ndio historia ya NOTI YA SHILINGI ELFU MOJA [ 1000 ].

b8d592a25ce5ea3b2c2965cfab4583b0.png

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo hadi ULAYA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa uwanja wa THE VALLEY pamoja na timu ya CHARLTON FC inayoshiriki daraja la kwanza nchini UINGEREZA 🇬🇧.
 
Ngoja kuna kitu nataka nikuoneshe, vumilia mpaka mwisho utaelewa, sasa hivi umeanza kuelewa japo kidogo!

Ndio maana nasema hivi - Mahesabu yanagoma! Namba zinakataa! UPINZANI tulionao TANZANIA 🇹🇿 sio wenyewe! Hao ni sehemu ya CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM.

Tuvumilie mpaka 2025, labda tunaweza kupata UPINZANI mwingine lakini huu uliopo sasa hivi mahesabu yanagoma kabisa.

Hawa UPINZANI waliopo sasa hivi, walianza kufanya SIASA MASILAHI mapema sana ndio maana wamekataliwa.

Hivi unafahamu kuwa TANZANIA 🇹🇿 kuna CHAMA CHA KISIASA kinamiliki uwanja wa SANTIAGO BERNABEU na timu ya mpira ya REAL MADRID inayoshiriki ligi kuu nchini UHISPANIA 🇪🇸? Haya mambo mnayafahamu? Jamani CCM ni zaidi ya chama 😂😂
 
Back
Top Bottom