Na kwa faida ya
HUNIJUI SIKUJUI na
Tmuller na wasomaji wengine, ni kuwa huu mtindo wa mafungamano huwa unafanyika duniani kote, yaani mataifa yote na uliasisiwa kutoka KANISA KATOLIKI 🇻🇦.
KANISA KATOLIKI huwa lina utaratibu wake wa mafungamano na kuna lugha ya KILATINI ambayo huwa inatumika kueleza tukio zima, hilo neno nimelisahau kidogo!
Lakini huwa inahusu WATAWA wote wa KANISA KATOLIKI. Nikisema WATAWA wote namaanisha jinsia zote za kike na kiume.
WATAWA ni wale watu waliowekwa wakfu kwa namna ya kipekee kwa kushika mashauri ya kiinjili ya KANISA KATOLIKI. Yaani ni watu waliojitenga na ulimwengu ili kuishi maisha maadilifu.
Kwahiyo kama KANISA KATOLIKI likiona kuna muumini wake limependezwa naye, huwa linatumia WATAWA kufikisha ujumbe na kuna mambo mengine huwa yanafanyika kwa masilahi ya KANISA KATOLIKI kama mafungamano na mapatano ya damu.
Kwa upande wa WATAWA WA KIUME huwa inafikia hatua mpaka wanachangia damu na wanazaa kwa masilahi ya KANISA KATOLIKI. Ndio! Huwa wanazaa halafu baadae wanafanya SAKRAMENTI YA KITUBIO.
Ndio maana unakuta kuna baadhi ya watu huwa wanaitwa MARO - hii ni ROMA [ ukiligeuza neno kinyume kinyume ]. Huyu MARO mzazi wake mmoja alikuwa ni MTAWA, ndio maana akaitwa MARO, yaani ROMA.
Na kwa upande wa WATAWA WA KIKE na wao huwa wanachangia damu na kukilimi [ SEXUAL PRESSURING ] muumini wa kiume kwa masilahi ya KANISA KATOLIKI, halafu baadae wanafanya SAKRAMENTI YA KITUBIO.
Na kama wewe ni muumini wa kiume wa KANISA KATOLIKI na haujawahi kukilimiwa [ SEXUAL PRESSURING ] na SISTA WA KIKATOLIKI, basi wewe bado hujapendezwa na KANISA KATOLIKI 😁😁
Huu ndio moja ya mtindo wa mafungamano na mapatano ya damu ulioakisiwa kutoka KANISA KATOLIKI na unaofanywa na SERIKALI za mataifa yote ya duniani.
Na sasa hivi kutokana na mabadiliko ya kiteknolojia na mitandao ya kijamii kukua na kuenea kwa kasi. Kuna baadhi ya MABINTI WENYE RASTA [ FEMALE RASTAFARIAN ] huwa hutumia mitandao ya kijamii kama INSTAGRAM na FACEBOOK kueleza mambo yanayoendelea kwenye SERIKALI husika.
Huu mfumo huwa unatumiwa na nchi nyingi za KIAFRIKA na huwa ni vigumu kuwatambua, yaani mpaka uelezwe au uwe ni miongoni mwao ndio utaweza kuelewa lugha za picha.
Huyu BINTI MWENYE RASTA [ FEMALE RASTAFARIAN ] anatumia jina la
Wayu Wayua na unaweza kumpata kwa kutumia
Login • Instagram
Hiyo picha hapo juu inaonesha BINTI MWENYE RASTA [ FEMALE RASTAFARIAN ] kutoka nchi ya KENYA 🇰🇪.
Huyo binti ni ASKARI JESHI [ KDF ] na anawakilisha SERIKALI YA KENYA 🇰🇪, yaani anatumika kama ishara ya SERIKALI YA KENYA 🇰🇪 na anapewa ulinzi wote.
Kwahiyo, haya mambo huwa yapo na yanatumika sana kutoa ishara kwa yale yanayofanyika au yanayotarajia kufanyika na SERIKALI husika.