Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA BARIADI ndiyo waliokuwa wameshikilia CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] na walihamisha watu wao wengi sana, akiwemo ELIZABETH na familia yake yote walihamia MAREKANI.

4ee247ef718123d008e030d66ea9530d.png

Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA BARIADI ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa MERU OIL na ndiyo waliokuwa wakiitumia kama "BACK UP" kwa watu wao wa BARIADI.

af927c6b17ce7afb6464a5983a3ffb8c.png

Sasa hivi ELIZABETH ni MEDIA RELATIONS SPECIALIST pale MAREKANI na ana familia yake yenye watoto kadhaa!

f2075c8177aef0340dfaa30735b6e80c.png

UJERUMANI na MATAIFA YOTE YA MAGHARIBI yanaamini katika IDADI YA WATU. Hivyo na wao wanahamasisha kuzaliana kama ilivyo kwa MFUMO WA KIINGEREZA.

FB_IMG_1732010710195.jpg

Pia kulikuwa kuna FAMILIA YA BRANDY na wazazi wake ambao ni WATANZANIA wenye uraia wa MAREKANI walikuwa wanafuatilia kila kitu kinachojiri TANZANIA, hasa katika MKOA WA SHINYANGA.

FB_IMG_1732011111495.jpg

Wao walikuwa wanataka kuona MWANAFUNZI BORA anatoka pale katika SHULE YA SEKONDARI YA UHURU! Wale DIASPORA wa asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walikuwa wanaona kama tayari wamekwisha fanikiwa, baada ya kuhamia nje ya nchi na majukumu mengi ya kujijenga KISIASA waliwaachia wale waliobaki TANZANIA.

FB_IMG_1731669418308.jpg

Kulikuwa kuna familia ya kina CHRIS TUCKER ambaye ni muigizaji maarufu wa FILAMU ZA RUSH HOUR.



CHRIS TUCKER pamoja na wazazi wake wote wawili ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

IMG-20241122-WA0001.jpg

Hawa wote waligeuka kuwa watazamaji kwa yale mambo yaliyokuwa yanafanyika TANZANIA na walikuwa wanafuatilia ile SHULE YA SEKONDARI YA UHURU.

FB_IMG_1732010927464.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina DENZEL WASHINGTON pamoja na familia yake. Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA ambapo DENZEL WASHINGTON amejizolea umaarufu kupitia TASNIA YA UIGIZAJI WA FILAMU.



Kwahiyo jukumu kubwa lilibaki kwa WHITEY HAIR pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

FB_IMG_1733994426987.jpg

Kusema ukweli WHITEY HAIR pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walitumia MALI ZA UMMA kwa matumizi yao binafsi na walifanikiwa kujijenga KIUCHUMI kupitia WAJERUMANI, WAITALIANO na WARUSI.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa mbali sana na ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya kutengeneza BIA ZA GOLDBERG kwa asimilia mia moja [100 %].

baccd12f1b02135db41c82e48103f944.png

Hivyo UCHIFU WA BUSIA walikuwa na UCHUMI MKUBWA na hata watu waliokuwa nyuma yao walikuwa hawana shida! Shida ilikuwepo kwa wale wenyeji wengine wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA.

FB_IMG_1731248257834.jpg

Hawa wakina DAMON WAYANS pamoja na mtoto wake DAMON WAYANS JR walikuwa ni watazamaji tu.

FB_IMG_1731249778653.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina CUBA GOODING JR na baba yake ambao wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na wana uraia wa MAREKANI.

CUBA GOODING JR ni muigizaji mzuri sana wa FILAMU pale HOLLYWOOD na anamiliki vitu vyake na yeye pia ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafuatilia kinachojiri TANZANIA.

FB_IMG_1731249448447.jpg

Pia kulikuwa kuna MSANII kama DULÉ HILL pamoja na familia yake, ambapo DULÉ HILL alishaanza kurudi TANZANIA. Pia walikuwa wanashangaa kinachojiri kwao, SHINYANGA.

FB_IMG_1731442613116.jpg

Pia kulikuwa kuna MSANII WA KONGO aliyekuwa anaitwa AWILO LONGOMBA, ambapo dada yake ndiyo aliyemzaa CLAUDE MAKELELE.

3825a5e246ed2d1871b6a4eeba804a35.png

CLAUDE MAKELELE na AWILO LONGOMBA ni mtu na mjomba wake! Wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU. Hivyo hawa DIASPORA walikuwa juu sana.



Wale wenyeji wengine wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA walianza kujijenga KIUCHUMI na kuwekeza ELIMU katika watu wao kwa nia ya kupata WANAFUNZI BORA na waliwekeza kupitia WAJERUMANI, WAITALIANO pamoja na WARUSI.

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ~ WAJERUMANI walikuwa wanachukua hata milioni kumi [Tsh. 10,000,000] na kufanya biashara kwa niaba.

FB_IMG_1732104557690.jpg

Kwahiyo ilikuwa kama ni ndoto, lakini ndiyo SIASA hiyo! Na iliwapasa kutafuta FEDHA kwa bidii kwa nia ya kuwekeza katika MATAIFA YA ULAYA pamoja na AMERIKA.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliokuwa nyuma ya UCHIFU WA BUSIA na wao walifanikiwa kujijenga KIUCHUMI.

FB_IMG_1731249398703.jpg

Ndio hawa waliokuwa wanaigiza TAMTHILIA YA "THE PARENT HOOD" iliyokuwa inarushwa hewani na kituo cha televisheni kinachoitwa WB [1995 - 1999].

Yaani waigizaji wote wa TAMTHILIA YA "THE PARENT HOOD" ni WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, kasoro wazungu.

FB_IMG_1731248603941.jpg

Pia kulikuwa kuna KUNDI LA NAUGHTY BY NATURE, hili KUNDI lilikuwa linajumuisha WASANII WA HIP HOP kutoka MAREKANI wenye asili ya TANZANIA kutoka katika MKOA WA SHINYANGA.


Hawa NAUGHTY BY NATURE ni ASKARI na waliondoka TANZANIA kipindi kile WING B inaitwa WINGABO, pale OLD SHINYANGA.

FB_IMG_1731248224832.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina MARTIN LAWRENCE ambao ni wacheza FILAMU pale HOLLYWOOD, nchini MAREKANI.

FB_IMG_1731248908722.jpg

Hawa DIASPORA kwa umoja wao, ndiyo walifanikiwa kuanzisha kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa [...] na ilikuwa inapatikana DODOMA.

FB_IMG_1731250648913.jpg

Ile kampuni ya usafirishaji ilikuwa inatumia gari aina ya TORINO kwa safari za DAR ES SALAAM hadi MOROGORO.

Pia ile kampuni ilikuwa inatumia gari aina ya SCANIA MARCOPOLO kwa safari za DODOMA hadi DAR ES SALAAM, halafu ARUSHA hadi MBEYA.

FB_IMG_1732034521532.jpg

Hata IDRIS ALBA ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA anayefanya vizuri katika TASNIA YA FILAMU pale HOLLYWOOD.

FB_IMG_1733741603058.jpg

Kwahiyo wale wenyeji wengine wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA walikuwa wana kazi kubwa ya kufanya.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's], pale DAR ES SALAAM kwenye BARAZA LA WAZEE WA MKOA kulikuwa kuna jina moja ambalo huwa halitajwi mara kwa mara. Jina hilo lilikuwa ni MORI.

Pale SINZA kulikuwa kuna mzee mmoja maarufu aliyekuwa anaitwa MZEE MORI! MZEE MORI alikuwa ni SWAHIBA MKUBWA wa MZEE MTEMVU.

Pale SINZA MORI ndiyo alikuwa anaishi MZEE MORI na kile kituo cha SINZA MORI kiliitwa jina lake kutokana na mchango aliouonesha kwa WAZEE WA DAR ES SALAAM.

MZEE MORI alikuwa ni mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA na DAR ES SALAAM alifanya kuhamia kipindi cha SIASA ZA TANU. Baadae kizazi chake kilihamia MAREKANI.

FB_IMG_1732364459836.jpg

Ndiyo hawa wakina TIA MORI na TAMARA MORI na wanafanya vizuri sana kwa upande wa FILAMU, nchini MAREKANI.

FB_IMG_1732860912030.jpg

TIA MORI, sasa hivi ana familia yake na watoto.

FB_IMG_1732443429298.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina EVELYN BRAXTON na mwanae TONI BRAXTON. Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

FB_IMG_1732447995603.jpg

TONI BRAXTON bado anaendelea kufanya vizuri katika TASNIA YA MUZIKI WA R&B.

FB_IMG_1732443340719.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina TARAJI HENSEN, MARY J BLIDGE, ANGELA BASSETT, LYNN WINFIELD, HALLE BERRY pamoja na KIMBERLY ELISE ~ hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

FB_IMG_1732364283752.jpg

Hawa DIASPORA, hasa DIASPORA wanaoishi MAREKANI walikuwa wanaona wamefanikiwa kuliko wale ndugu zao wengine waliokuwa wamewaacha TANZANIA.

Of course, yes! Wale DIASPORA walikuwa wamefanikiwa sana na UCHIFU WA BUSIA aliwahi kuwaambia wakina WHITEY HAIR pamoja na KHALFANI kuwa hizo PESA walizokuwa nazo ni sawa na WASANII WA KUNDI LA BOYZ II MEN.

IMG-20241124-WA0000.jpg

Ule ndiyo ukawa mwanzo wa WHITEY HAIR na KHALFANI kuitwa KUNDI LA BOYZ II MEN katika SIASA ZA TANZANIA.



BOYZ II MEN lilikuwa ni KUNDI LA MUZIKI linalomilikiwa na UCHIFU WA BUSIA na wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

Kwahiyo WHITEY HAIR na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walitumia nafasi zao vizuri na walijilimbikizia MALI ZA UMMA.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
bd13a1d4894e4ee55051e5e21764dff5.png

Hawa DIASPORA wa kutoka katika MKOA WA SHINYANGA ~ huwa wanasema wakirudi SHINYANGA, SHINYANGA itakuwa JIJI.

FB_IMG_1731249891493.jpg

Miaka hiyo ya tisini [1996's], pale MAREKANI kulikuwa kuna watu kama wakina GARCELLE BEAUVAIS na JAMIE FOXX katika kipindi cha JAMIEFOXX SHOW. Hawa DIASPORA walikuwa wana hela na walifahamu namna ya kutengeneza hela kutokana na EXPOSURE.

FB_IMG_1732081559547.jpg

Baadae ndiyo wakaja kuzaliwa watoto kama wakina FOX BROWN na CHRIS BROWN. FOX BROWN ni MSANII pale MAREKANI na pia ni mjukuu wa [...].

FB_IMG_1731247795507.jpg

Pia CHRIS BROWN ni CHOTARA, hana uzito kama DIASPORA wengine sababu hajui maisha ya kiafrika. Lakini mzazi wake mmoja ambaye ni baba ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

FB_IMG_1731248536505.jpg

Pia kuna MONICA BROWN na mama yake, hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na wana uraia wa MAREKANI.

FB_IMG_1731247872998.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina SHERYL LEE RALPH ambaye ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA anayeishi MAREKANI.



Hawa DIASPORA, hasa DIASPORA WA KITANZANIA wanaoishi MAREKANI walikuwa wanaamini kuwa tayari wameshafanikiwa na kilichokuwa kimebaki ni kuwaangalia wale ndugu zao waliobaki TANZANIA.

Ijapokuwa miaka ya hivi karibuni, kuna baadhi ya DIASPORA walianza kuwachukua ndugu zao na kuwapeleka ng'ambo na inasadikika hata miaka ya nyuma kuna DIASPORA walikuwa wanafanya hivyo.

FB_IMG_1732615307514.jpg

Mfano mzuri, mwaka jana TYRESSE alikuwa MBEYA katika WILAYA YA CHUNYA [maeneo ya MAKONGOROSI] na alikuwa anapendelea maeneo ya MJ.

FB_IMG_1732790002797.jpg

Pia wakina CIARA walikuwa wanaenda TANGA katika WILAYA YA HANDENI ambapo wenyeji wengi wa asili wa MKOA WA SHINYANGA walihamia.

IMG-20241123-WA0004.jpg

Kwahiyo ile hali ya KISIASA ya miaka ya tisini [1990's] ilikuwa imechagizwa na moja ya sababu ya DIASPORA WA KITANZANIA kufanya mambo makubwa nje ya taifa lao. Yaani WAINGEREZA walikuwa wanasema ~ "living to the fullest".
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
23d2d6df209f0ea1d0573a9e844a5270.png

Hawa wakina FOX BROWN ndiyo wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU na ndugu yao ndiyo RAIS WA TANZANIA kwa wakati huu.


Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walijijenga KIUCHUMI tangu siku nyingi na wamefanikiwa kuzaliana sana.

IMG_20241126_202932.jpg

Hawa ndiyo wamiliki halali wa kituo cha televisheni kinachoitwa FOX NEWS kinachopatikana nchini MAREKANI.

Hivyo WHITEY HAIR na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa na kazi kubwa ya kufanya ili angalau kuwa kama UCHIFU WA BUSIA.

IMG-20241126-WA0012.jpg

Kwani UCHIFU WA BUSIA walikuwa na wanaendelea kujengwa na UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI.

FB_IMG_1732789979114.jpg

Kwahiyo WHITEY HAIR na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walielekea UJERUMANI, ITALIA na URUSI.

WAINGEREZA walikuwa wanatamba na mwanasayansi wao, SIR ISAAC NEWTON! WAJERUMANI walikuwa wanatamba na mwanasayansi wao, ALBERT EINSTEIN.

Huku ITALIA walikuwa wanatamba na mwanasayansi wao, GALILEO GALILEI! WARUSI walikuwa wanatumia wanasayansi wa BULGARIA na walikuwa wanasema wao ndiyo waliogundua SAA YA MSHALE ~ hivyo wanasayansi wote wanatumia saa kufahamu muda, nyakati na majira ya mwaka.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Kipindi kile cha miaka ya themanini [1980's] ambapo VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA vinaanza kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, kulikuwa tayari kuna DIASPORA ambao wanafanya vizuri katika MATAIFA YA AMERIKA pamoja na ULAYA kama KUNDI LA LIVING COLOUR.

IMG-20241121-WA0007.jpg

Hawa KUNDI LA LIVING COLOUR ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA ambao walipata fursa ya kuhamia nchini MAREKANI kipindi cha miaka ya sitini [1960's].


Hawa UCHIFU WA BUSIA walikuwa wamepiga hatua kubwa sana na ndiyo waliokuwa wakiitumia nafasi ya KIDIPLOMASIA kuhamisha watu wao. Hivyo MKOA WA SHINYANGA ukajikuta una DIASPORA wengi sana kuliko MIKOA yote ya TANZANIA.

IMG-20241121-WA0006.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina GRANDMASTER DEE, JALIL HUTCHENS na ECSTASY ambao walikuwa wanaunda KUNDI LA HIP HOP lililoitwa WHODINI.

WHODINI wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA waliohamia nchini MAREKANI kipindi cha miaka ya sitini [1960's].


Yaani wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walikuwa wanatumia nafasi za KIDIPLOMASIA tangu TANGANYIKA inapata UHURU wake kutoka katika UKOLONI WA KIINGEREZA.

IMG-20241121-WA0005.jpg

Hata hawa KUNDI LA SILK ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA waliohamia nchini MAREKANI kipindi cha miaka ya sitini [1960's].



Kwahiyo WHITEY HAIR pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walielezwa ukweli, kuwa hawawezi kuwafikia wale UCHIFU WA BUSIA iwe ni KIUCHUMI na hata KISIASA. Hivyo wanatakiwa kuanza kujijenga wao wenyewe ili kuwa ROYAL FAMILY.
 
Mzee naomba usinikwoti kwa kwenda mbele
Hebu nipe updates za Shinyanga
Najua Phantom, hatupo nae, vipi ile international school yake alileta mpaka walimu kutoka UK, bado ipo au inapulimia mashine?
na na Maderefa nae hayupo
Vipi familia ya kina Ng'wani, walirudi tena kwenye chati?
Na Mohamed Transport, walikuja juu sana sijui walivuruga wapi?
Kuna wale kina Mabruki wa Stendi wakata tiketi, bado wapo ?
Vipi shule yetu ya Buluba, dogo wangu alisoma pale
Wale wenye kiwanda cha vinywaji ni kina nani, mbona nimepoteza chaneli, ni familia ya Salum mbuzi?
Nilimmisi sana Azizi Shakur pale video centre, kuazima mikanda ya Blue Prints na kukuunganisha na Mnet ya makanjanja......nasikia Mnet walimuibukia, akahama mji, huwezi kuamini nilikutana nae kariakoo,
 
Ukiwa TANZANIA, DIASPORA wengi ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Na unapozungumzia WIZARA YA MAMBO YA NJE ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, hasa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU.

Hawa walijengwa na wanaendelea kujengwa na UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI.

Hakuna KITENGO wala IDARA! Ni UINGEREZA pekee ndiyo iliyowajenga hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA hadi kufikia kuwa viongozi kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI, KONGO, SUDANI YA KUSINI na hata LIBERIA.


Hata aliyekuwa FIRST LADY wa ZIMBABWE, GRACE MUGABE ni MTANZANIA mwenye asili MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.


Kwahiyo utaona ni kwa namna gani UINGEREZA ilivyohusika katika kuwajenga hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na sasa hivi wanamiliki UCHUMI MKUBWA.
Huyu jamaa kutoka Wilaya ya Kishapu kaamua kuujaza huu Uzi historia yao.
 
Huyu jamaa kutoka Wilaya ya Kishapu kaamua kuujaza huu Uzi historia yao.
Ndiyo! Hata kwenye masuala ya kijamii mara nyingi huwa inafanyika hivyo na WASWAHILI huwa tunasema ~ "Kila muwamba ngoma, huvutia kwake".

Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU wapo mbali sana katika masuala ya KIUCHUMI na KISIASA.

Walianza kutumika na UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI na walivyokuwa wakitumika katika nyanja mbalimbali, idadi yao ikaonekana kuwa ni ndogo. Hivyo UINGEREZA waliamua kutanua wigo wao hadi kwa wenyeji wa asili MASWA, MEATU na BARIADI.

Huu mjumuiko wa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU, MASWA, MEATU na BARIADI ~ UINGEREZA waliita CD na kwa LUGHA YA KISWAHILI walikuwa wanaita CHANGUDOA.

CHANGUDOA ni neno ambalo lilikuwa maarufu kipindi cha miaka ya tisini [1990's], likimaanisha CD na hawa CD ndiyo wanatawala DRC kwa miaka ya hivi karibuni.

_20241128_170047.JPG

Ukiwa pale SHINYANGA MJINI kuna barabara inaitwa RWAGASORE, jina la WAZIRI MKUU WA PILI kwa upande wa TAIFA LA BURUNDI.

7129793d43f83e1a50076ac317246a20.png

RWAGASORE alikuwa ni MTANGANYIKA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU na ndiyo sababu iliyopelekea kuuawa akiwa madarakani.

_20241128_165916.JPG

Hata HAYATI MWALIMU na yeye alikuwa kama RWAGASORE, sema alifanikiwa kuwa kiongozi wa kitaifa hadi pale alipong'atuka madarakani.

c18c88700151c05482e5e25cfcbb84e0.png

WAINGEREZA wamefanikiwa kuwatumia wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU! Baadae wakajumuisha wenyeji wa asili wa WILAYA YA MASWA, MEATU na BARIADI! Hatimaye sasa hivi wanawatumia wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kulingana na mahitaji kuwa mengi.

Kwahiyo sasa hivi hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wanamiliki UCHUMI MKUBWA kutokana na mahusiano mazuri na UINGEREZA.
 
Ndiyo! Hata kwenye masuala ya kijamii mara nyingi huwa inafanyika hivyo na WASWAHILI huwa tunasema ~ "Kila muwamba ngoma, huvutia kwake".

Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU wapo mbali sana katika masuala ya KIUCHUMI na KISIASA.

Walianza kutumika na UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI na walivyokuwa wakitumika katika nyanja mbalimbali, idadi yao ikaonekana kuwa ni ndogo. Hivyo UINGEREZA waliamua kutanua wigo wao hadi kwa wenyeji wa asili MASWA, MEATU na BARIADI.

Huu mjumuiko wa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU, MASWA, MEATU na BARIADI ~ UINGEREZA waliita CD na kwa LUGHA YA KISWAHILI walikuwa wanaita CHANGUDOA.

CHANGUDOA ni neno ambalo lilikuwa maarufu kipindi cha miaka ya tisini [1990's], likimaanisha CD na hawa CD ndiyo wanatawala DRC kwa miaka ya hivi karibuni.

Ukiwa pale SHINYANGA MJINI kuna barabara inaitwa RWAGASORE, jina la WAZIRI MKUU WA PILI kwa upande wa TAIFA LA BURUNDI.


RWAGASORE alikuwa ni MTANGANYIKA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU na ndiyo sababu iliyopelekea kuuawa akiwa madarakani.

Hata HAYATI MWALIMU na yeye alikuwa kama RWAGASORE, sema alifanikiwa kuwa kiongozi wa kitaifa hadi pale alipong'atuka madarakani.

WAINGEREZA wamefanikiwa kuwatumia wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU! Baadae wakajumuisha wenyeji wa asili wa WILAYA YA MASWA, MEATU na BARIADI! Hatimaye sasa hivi wanawatumia wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kulingana na mahitaji kuwa mengi.

Kwahiyo sasa hivi hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wanamiliki UCHUMI MKUBWA kutokana na mahusiano mazuri na UINGEREZA.
Haya bhana kijana wa Kishapu....
 
Haya bhana kijana wa Kishapu....
"Go Home or Go Big". Ukifanikiwa kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA, haya yote tunayojadili hapa utayaona!

6ffb4d9f9eac38d49b41e3fdeae33608.png

Hata RAIS WA SENEGAL, MARCKY SALLY ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

b6a08e3a81e4b5fb02e0049ecee3641d.png

Hii yote ni kazi ya UINGEREZA! UINGEREZA amewatumia sana hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kutokana na kuwa ni watu waaminifu.

c3958158359faf6bbae412cf24005d47.png

Ilipelekea ile nafasi ya WAAMERIKA WEUSI au NEGRO ambayo ilikuwa imetawaliwa na WAAFRIKA kutoka MATAIFA YA AFRIKA YA MAGHARIBI, kupewa hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na kwa mbali wenyeji wa asili wa MATAIFA YA KENYA na UGANDA.

f366446433d3e5dacd03a7e03ae3c4d4.png

Yaani sasa hivi, nafasi ya MTU MWEUSI katika TAIFA LA MAREKANI imeshikiliwa na WAAFRIKA kutoka MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI.

FB_IMG_1731248315229.jpg

Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, pia wenyeji wa asili wa MATAIFA YA KENYA na UGANDA ndiyo wameshikilia NAFASI YA MTU MWEUSI kwa upande wa TAIFA LA MAREKANI.


Watu kama wakina CAPPADONNA ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na anawakilisha KUNDI LA WU-TANG CLAN.

FB_IMG_1731248343303.jpg

Watu kama wakina OL' DIRTY BASTARD ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.


Kwahiyo sasa hivi hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, pia wenyeji wa asili wa MATAIFA YA KENYA na UGANDA ndiyo wameshikilia nafasi ya MTU MWEUSI kwa upande wa TAIFA LA MAREKANI. Hii yote ni kazi ya UINGEREZA.

FB_IMG_1732790584203.jpg

Hizi fursa zote wanazozipata hawa DIASPORA kwa upande wa TAIFA LA MAREKANI, ni jitihada za UINGEREZA.

FB_IMG_1732789049981.jpg

Hata wakina WHITEY HAIR pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walipata fursa ya kuwekeza katika TAIFA LA MAREKANI na wanamiliki VIWANDA.
 
Haya bhana kijana wa Kishapu....
Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walijengwa na wanaendelea kujengwa na UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI.

6fde4d405cf44f865b5642a9533f295e.png

Hata hii rangi ya "ORANGE" wanayotumia wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA ni RANGI YA KIFALME, yaani ROYAL COLOUR ambayo kwa mara ya kwanza ilianza kutumika na MALKIA ELIZABETH, 26 Julai 1965 alipotembelea katika TAIFA LA BURMA.

aa3a4dc68372159fba12e58b8464b053.png

UFALME WA KIINGEREZA huwa wana RANGI ZA KIFALME na ikitokea wana mahusiano na jamii fulani, huwa wana utamaduni wa kushea RANGI YA KIFALME mojawapo.

74041322480ea638f4ee492b9afcbc86.png

Mara ya pili, ilikuwa ni 29 Oktoba 1966 ambapo MALKIA ELIZABETH alivaa vazi la RANGI YA ORANGE akiwa ametembelea kijiji cha ABERFAN, WALES.

d0d53655780df08fb58a98565bd5dae7.png

Mara ya tatu, ilikuwa ni 14 Machi 1982 ambapo PRINCESS DIANA alivaa vazi la RANGI YA ORANGE akiwa ametembelea ROYAL ALBERT HALL, nchini UINGEREZA.

4ddc98470450017a7f8cc03ba1051306.png

Baadae, 16 MEI 1991 ambapo MALKIA ELIZABETH alivaa vazi la RANGI YA ORANGE akiwa anahutubia BARAZA LA SENETI LA MAREKANI.

6e93f19beaaec9985ab604209fe3d9a5.png

Baadae RANGI YA ORANGE ilianza kutumika na WANASIASA mbalimbali waliokuwa na mafungamano na TAIFA LA UINGEREZA. Ikiwemo familia ya WILLIAM CLINTON.

e646de039e27562cc3816edf27ec79fc.png

Hata KAMARA HARRIS! Ndiyo huyo aliyevaa vazi la RANGI YA ORANGE, yeye pia ana mafungamano makubwa na TAIFA LA UINGEREZA.

8827e02ac74acc74cfb6da1bdc83b7a7.png

Sasa baada ya wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kutumika na UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI walipewa RANGI YA ORANGE kama UTAMBULISHO RASMI wa mahusiano mazuri na TAIFA LA UINGEREZA.

c812e35c0e31e39c2cc427d6465cdcfe.png

Hii RANGI YA ORANGE inatumika pia na aliyekuwa WAZIRI MKUU MSTAAFU WA KENYA, RAILA ODINGA kama UTAMBULISHO wa CHAMA CHA ODM.

edcf08152ebbca499ad52d6a21255810.png

RANGI YA ORANGE inatumika na UFALME WA KIINGEREZA kama RANGI YA KIFALME, yaani ROYAL COLOUR.

2a6695e0e01f199548c433b7b5129b0c.png

Hivyo hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wanatumia RANGI YA ORANGE kama RANGI YA KIFALME inayotambulisha mahusiano mazuri na TAIFA LA UINGEREZA.

ddd0ef8702b50a97bec2bf15dfb5dab5.png

Huyu binti anaitwa GABRIELLA WILSON, ni MTANZANIA mwenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

FB_IMG_1732010791388.jpg

Hii ni familia ya LUPITA NYONG'O, WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wanaoishi nchini KENYA.

0e91a594c2e36c55e13bbf1d089ec409.png

Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo walengwa wakuu kwa hapa TANZANIA na ndiyo watumiaji wazuri wa RANGI YA ORANGE.

17b9a6014a7adab11bb997c9141e76f6.png

Hawa ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa [...] inayopatikana katika WILAYA YA SHINYANGA MJINI na inatumia RANGI YA ORANGE kama rangi rasmi ya kibiashara.

c5063796c551537cc311cf2d02cae12c.png

Kwahiyo wale UCHIFU WA BUSIA wapo mbali sana KIUCHUMI na KISIASA ~ WHITEY HAIR na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wanajaribu kuwa kama UCHIFU WA BUSIA, lakini hao UCHIFU WA BUSIA ndiyo wasimamizi wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na wanamiliki UCHUMI MKUBWA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.
 
Haya bhana kijana wa Kishapu....

DJ TARICO ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU.

Pale KISHAPU walihama watu wengi sana na wakahamia watu wengine, ambao ni WALOWEZI.

FB_IMG_1732789470286.jpg

Kuna watu kama wakina JOHN AMOS na mwanae, ambao ni waigizaji pale HOLLYWOOD nchini MAREKANI.

FB_IMG_1732789659918.jpg

Pia huwa kuna watu kama wakina DJIMON HOUNSOU, ambaye alicheza FILAMU YA BLOOD DIAMOND au wengine huwa wapenda kuita DIAMOND FROM SIERRA LEONE.

FB_IMG_1732789583660.jpg

Pia huwa kuna watu kama wakina JALEEL WHITE pamoja na mpenzi wake KELLIE SHANYGNE WILLIAMS. Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA, ambapo JALEEL WHITE alipata umaarufu sana kwa kupitia kazi yake ya SANAA YA VICHEKESHO.

FB_IMG_1732789636901.jpg

Pia kulikuwa kuna kama wakina DANNY GLOVER ambaye na yeye ni MCHEZA FILAMU pale HOLLYWOOD, nchini MAREKANI.

FB_IMG_1733170301872.jpg

DANNY GLOVER ana binti yake wa kike ambaye na yeye yupo kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

FB_IMG_1732789710145.jpg

Pia kuna watu kama wakina NIECY na DIA NASH! Hawa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA waliyahama maeneo yao ya asili na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi kutokana na UCHIFU WA BUSIA kuwa wasimamizi wa SERIKALI YA TANZANIA na walikuwa wanatumia nafasi za KIDIPLOMASIA.

FB_IMG_1732791030631.jpg

Pia huwa kuna watu kama wakina REGINA KING! Kwahiyo wale waliokuwa wamebaki TANZANIA, ndiyo walishuhudia mambo mengi sana, wakiwemo WANASIASA wa zamani. Hivyo na wao walifanikiwa kujijenga KIUCHUMI.

FB_IMG_1733993946256.jpg

Kwahiyo hawa DIASPORA walikuwa watazamaji kwa kile kilichokuwa kinaendelea TANZANIA.
 
Haya bhana kijana wa Kishapu....
2400cef0ea77abe0a54d9cf2a5203143.png

Baadae, wale WATANZANIA waliofanikiwa kubaki TANZANIA ndiyo wakaanzisha kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ABOOD BUS SERVICE.

9e7fc6def751c7b5f44037430dcab860.png

MKURUNGENZI wa kampuni ya ABOOD GROUP OF COMPANIES ni MRUSI na wale wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA walianza kutumia WARUSI katika kufanya biashara kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

d3d17c97d12fbb6c23480f6370b85baa.png

Yaani wale watu wa SHINYANGA MJINI waliokuwa wanatumiwa kuficha ficha umiliki wa kampuni ya usafirishaji yenye RANGI YA ORANGE, ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya ABOOD GROUP OF COMPANIES.

6e5ef628a2fde851f2bd23a595a13048.png

Pia ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa MA CARGO na wanamiliki kampuni ya mafuta ya APEL.

46551e798ec53baccabc6bf40f5843ae.png

Hawa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ABOOD BUS SERVICE, ndiyo wamiliki halali wa mtandao wa kijamii unaoitwa BADOO.

c9fbccc9e4966b7f6fbca1df80965b8d.png

BADOO ni mtandao wa kijamii wenye jina lililotokana na kutohoa herufi za jina la ABOOD.

8ac7d9bfdd1eb18465879a31bad4234a.png

Kwahiyo wamiliki halali wa mtandao wa kijamii unaoitwa BADOO ni WATANZANIA wanaomiliki kampuni ya usafirishaji ya abiria inayoitwa ABOOD.
 
Haya bhana kijana wa Kishapu....
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ABOOD BUS SERVICE inaanza, kulikuwa kuna DIASPORA kama wakina LORETTA DEVINE na mumewe ambao wote walikuwa watazamaji.

FB_IMG_1733170415369.jpg

LORETTA DEVINE na mumewe ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA waliohamia nchini MAREKANI kwa sababu za KIDIPLOMASIA.

FB_IMG_1732790862037.jpg

Pia huwa kuna watu kama wakina KYM WHITLEY na mtoto wake wa kiume anayeitwa JOSHUA ambapo wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA waliohamia nchini MAREKANI kwa sababu za KIDIPLOMASIA.

FB_IMG_1732789901212.jpg

Pia huwa kuna watu kama wakina JENNIFER HUDSON na familia yake ambao wote walikuwa watazamaji.

Sasa ilibidi wale WATANZANIA waliofanikiwa kubaki TANZANIA kukaza mkanda kweli kweli na moja ya hatua kubwa ilikuwa ni kununua na kumiliki CHUO KIKUU CHA PORTSMOUTH [UOP] kinachopatikana nchini UINGEREZA.

88b845a5934adafe72e828c43c56627d.png

CHUO KIKUU CHA PORTSMOUTH [UOP] kinamilikiwa na wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa ABOOD GROUP OF COMPANIES inayopatikana MOROGORO, nchini TANZANIA.

FB_IMG_1731249982695.jpg

Baada ya hapo, DIASPORA walianza kuwa na heshima kwa wale WATANZANIA waliokuwa wamebaki TANZANIA kwa kipindi kile.
 
Hawa wamiliki halali wa CHUO KIKUU CHA PORTSMOUTH [UOP], ndiyo wamiliki halali wa timu ya mpira wa miguu iliyokuwa inashiriki LIGI KUU YA UINGEREZA inayoitwa PORTSMOUTH.

d015cfc1b698b5fe2b202904bb7fed31.png

Hivyo sasa hivi wale wenyeji wengine wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wanamiliki VYUO VIKUU VYA BIRMINGHAM pamoja na PORTSMOUTH, ukiwa pale UINGEREZA.

850ba725b7cfa2d4f1f203b148cc4190.png

Hawa wenyeji wengine wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA ndiyo inasadidika kuwa wanakwenda vizuri na kuwa ROYAL FAMILY nzuri kuliko hata wale waliondoka na kuhamia nje ya nchi.

c4dc99847b67c6458120c216a2cd5490.png

Hadi kwa wakati huu, hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA ndiyo wamefanikiwa kuwa mfumo mzuri wa KIINGEREZA kwa kufuata ule mfumo wa "CANALETTO AND THE ART OF VENICE".



Hawa wenyeji wengine wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA wamefanikiwa kuwa na WANAFUNZI BORA, tofauti na UCHIFU WA BUSIA ~ ambao hawajawahi kuwa na WANAFUNZI BORA ukiachilia mbali ile SIFA YA KIMILA.

Utasikia fulani ni KIZAZI CHA CHIFU FULANI au fulani ni MTOTO WA FULANI, lakini inakuwa haina uzito wala nafasi katika masuala ya KIJAMII.

c689e05d044b56b5eee66ba31e057a62.png

Hawa wenyeji wengine wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wanabebwa na SIFA YA KITAALUMA, ambayo ni wakati wake katika dunia inayotawaliwa na SAYANSI NA TEKNOLOJIA.

FB_IMG_1731248756239.jpg

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walioamua kuwa DIASPORA, wataendelea kuwa DIASPORA na kujijenga katika nyanja mbalimbali. Lakini wale waliobaki TANZANIA ndiyo wanajijenga vizuri na kuwa ROYAL FAMILY kwa kufuata MTINDO WA KIINGEREZA.
 
Haya bhana kijana wa Kishapu....
Wale UCHIFU WA BUSIA walifanikiwa kuwabeba watu wao, hata hawa KUNDI LA S.O.S BAND [SOUNDS OF SUCCESS] ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

FB_IMG_1731248874635.jpg

Hili KUNDI LA S.O.S BAND ni KUNDI LA MUZIKI WA R&B na ELECTRO - FUNK lililoundwa, 1977 katika JIJI LA ATLANTA nchini MAREKANI.


Yaani kipindi ambacho CHAMA CHA TANU na CHAMA CHA AFRO SHIRAZ vinaungana na kuzaa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], ilikuwa ni kipindi ambacho kinahusishwa na kuzaliwa kwa KUNDI LA S.O.S, ikiwa na maana ya SOUNDS OF SUCCESS kwa LUGHA YA KIINGEREZA na SAUTI YA MAFANIKIO kwa LUGHA YA KISWAHILI.

Ile hali ya kuungana kwa CHAMA CHA TANU na CHAMA CHA AFRO SHIRAZ ilikuwa ni MAFANIKIO YA KISIASA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

FB_IMG_1731249156208.jpg

Pia kulikuwa kuna MSANII kama GLADYS KNIGHT na wenzie ambao walikuwa wakiimba "BACK STAGE" na tayari walikuwa wameshaanza kutunga na kurekodi nyimbo tangu miaka ya sitini [1960's], sabini [1970's] hadi themanini [1980's].



Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU na ilikuwa ni taswira kamili ya UCHIFU WA BUSIA na kipindi hicho walikuwa wanatamba na nyimbo yao moja iliyokuwa ikiitwa "LICENSE TO KILL".. 😁

d2b0cafb6e24713abefd83ee1f1bbacd.png

Hawa UCHIFU WA BUSIA walipewa LESENI YA KUFANYA MAUAJI [LICENSE TO KILL] na UINGEREZA - hadi leo hiyo LESENI YA KUFANYA MAUAJI inafanya kazi kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo wenyewe kwa upande wa SIASA YA TANZANIA.

Kwahiyo wamefanikiwa kuwa MATAJIRI kutokana na kuendelea kutumika na UINGEREZA, hata baadhi ya DIASPORA wao wapo vizuri KIUCHUMI na wengine walishaanza kurudi na kuwekeza TANZANIA.

FB_IMG_1733425451050.jpg

Mfano mzuri, ni wakina OMAR EPPS waliofanikiwa kuwekeza pale CHUNYA MJINI 🏨. OMAR EPPS ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na ana uraia wa MAREKANI.

FB_IMG_1733994412964.jpg

Kwahiyo hawa DIASPORA wamejitahidi kuwekeza kwa upande wa TANZANIA na wao wanajijenga kuwa ROYAL FAMILY.
 
Haya bhana kijana wa Kishapu....
Wenzenu wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU wapo juu sana, hata ukiwa kwa upande wa MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA ~ hawa ndiyo wenye vyeo vikubwa.

IMG_20241206_191811.png

Hawa DIASPORA wa kutoka MKOA WA SHINYANGA katika WILAYA YA KISHAPU wamefanikiwa sana, hata huyu WILL SMITH ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

FB_IMG_1732790801799.jpg

WILL SMITH pamoja na MARTIN LAWRENCE wote kwa pamoja wanaunda KUNDI LA BAD BOYS kwa upande wa FILAMU.


Hawa KUNDI LA BAD BOYS kwa upande wa FILAMU wana mafanikio makubwa sana kwa upande wa FILAMU, pale HOLLYWOOD na kazi zao zinauzwa ulimwengu mzima.

FB_IMG_1732789779080.jpg

Pia kuna KUNDI LA MUZIKI WA R&B na POP linaloitwa BELL BIV DEVOE [kifupi chake ni BBD] ambalo linajumuisha wasanii kama wakina RICKY BELL, MICHAEL BIVINS na RONNIE DEVOE.



Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na wanafanya vizuri sana katika MUZIKI WA R&B nchini MAREKANI.

FB_IMG_1732790105737.jpg

Pia kuna WASANII WA HIP HOP kama wakina PETE ROCK na CL SMOOTH ambao pia wanafanya vizuri nchini MAREKANI.

FB_IMG_1732790541841.jpg

Pia kuna MSANII WA HIP HOP anayeitwa COMMON na yeye ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA anayefanya vizuri nchini MAREKANI.

FB_IMG_1732790350604.jpg

Pia kuna MSANII WA HIP HOP anayeitwa TALIB KWELI, ambapo alipiga picha ya pamoja na aliyekuwa mpenzi wake anayeitwa DJ EQUE FILES.

Lakini kubwa kuliko yote ilikuwa ni KUNDI LA MUZIKI WA R&B kutoka ATLANTA, nchini MAREKANI linaloitwa 112.

FB_IMG_1733170680319.jpg

KUNDI LA 112, wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU na walijasiliwa na BAD BOYS RECORDS mwishoni mwa miaka ya tisini [1990's].



Ukiachilia mbali DIASPORA WA kutoka katika MIKOA YA MWANZA na TABORA! Hawa DIASPORA wa kutoka katika MKOA WA SHINYANGA, wengi huwa wanajiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kwa upande wa RWANDA [tangu 1994].

FB_IMG_1733585821353.jpg

Kwahiyo hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kwa ujumla wao wanaendelea kutumika na UINGEREZA na hawa ndiyo waliouza UHURU WA TANGANYIKA kupitia kwa UCHIFU WA BUSIA.

FB_IMG_1733994596101.jpg

Yaani UCHIFU WA BUSIA ndiyo waliouza UHURU WA TANGANYIKA, siyo HAYATI MWALIMU ~ kwa sababu HAYATI MWALIMU alikuwa chini ya UCHIFU WA BUSIA na kila kitu alikuwa anafanya kama TABAKA LA TATU LA UONGOZI linalopokea maelekezo kutoka ngazi za juu.
 
Haya bhana kijana wa Kishapu....
Hata baada ya MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBARI, wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU kupitia UCHIFU WA BUSIA walipiga hatua baada ya kufanikiwa kumuweka HAYATI MWALIMU kuwa RAIS WA KWANZA WA TANZANIA.

FB_IMG_1732790152676.jpg

Kipindi kile cha MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI, wale UCHIFU WA BUSIA walifanikiwa kuanzisha KUNDI LA MUZIKI LA THE FOUR TOPS.


THE FOUR TOPS wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA waliohamia nchini MAREKANI kwa sababu za KIDIPLOMASIA.

Hivyo HAYATI KAMBONA alikuwa anashangaa sana, kuona DIASPORA wa tabaka fulani kunufaika na vipaumbele vya SERIKALI YA TANZANIA.

FB_IMG_1732789528544.jpg

Hata hawa COSBY SHOW walikuwa ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na walianza kurusha vipindi vyao kwa njia ya televisheni mwaka 1984.

FB_IMG_1732790651682.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina MOS DEF, anayejulikana kwa jina halisi la YASIIN BEY.


MOS DEF ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA anayefanya shughuli za muziki, nchini MAREKANI.

FB_IMG_1732790478350.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina 702. 702 ni KUNDI LA MUZIKI WA R&B linalojumuisha wakina KAMEELAH WILLIAMS, IRISH GRINSTEAD na LEMISHA GRINSTEAD.


Hawa KUNDI LA 702 ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na wanafanya vizuri sana katika MUZIKI WA R&B.

Kwahiyo HAYATI KAMBONA alikuwa sahihi na HAYATI MWALIMU alikosea sana, sema na yeye [HAYATI MWALIMU] alikuwa hamna namna kwa sababu alikuwa kwenye harakati za kujijenga KIUCHUMI na KISIASA.
 
Back
Top Bottom