Tanzania ya viwanda yageuka kuwa Tanzania ya vituo vya mafuta

Kama vile umeona mji ninaoishi ukitoka nyumbani Hadi ufike sokon mjini sehem ya nusu saa unazipita sheli za mafuta 7 zipo kwenye makazi ya watu zimekaribiana hua nawaza siku moja ikilipuka sijui itakuaje.
Vituo havilipuki kirahisi hivyo
 
Una point kubwa sana, ila kwa upande mwingine kibiashara anaweza kuwa anajua usemacho ila baada ya hio miaka 20/30 atakuwa kashantengeneza pesa ya kutosha na hali ikilazimisha atahamia huko kwenye nishati mpya.
 
Vituo vya mafuta mpaka njia ya kuelekea msakuzi,Acha watu wafanye tu

Ova
 
Hayo ndio mafisadi yenyewe mkuu yanayotufanya tuhenyeshwe na tozo.

Yenyewe hayalipi kodi tunabanwa sisi vidagaa.
 
500m = urefu viwanja 5 vya mpira. Shida iko wapi sasa

 
Hayo ndio mafisadi yenyewe mkuu yanayotufanya tuhenyeshwe na tozo.

Yenyewe hayalipi kodi tunabanwa sisi vidagaa.
Utalia sana, utalalamika sana, si ndio chama chako kinayabariki
 
Tanzania watu wengi Wana mitaji lakini ubunifu ZIRO kabisa...... biashara zinafanywa kwa fasheni na mihemko.......mtu yoyote tu akibuni biashara na kuonekana inalipa kila mtu anaanza kuiga.....ndio maana ulaya wameweka sheria ya haki miliki....ili kila avune matunda ya ubunifu wake na wengine waumize vichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…