Tanzania yafunguliwa Kesi ya Madai ya Tsh. Trilioni 3.2 kutoka kampuni ya Orca Energy kwa kukiuka Mkataba wa Uwekezaji

Sisi raia wa chini ndiyo tunashida mpaka basi, baadhi ya kodi tunazolipa zitakwenda kulipa fidia za kesi kama hizo. Mungu turehemu Tz.
 
Wapi nimesema ni sawa?ccm ndio janga na hizo kesi kuna viongozi wanafaidika nazo sana,ndio maana haziwezi kuisha,na mbona bado sana!!
 
Elimu tunayosoma haitusaidii zaidi yakutufanya wajinga.

Viongozi wetu wanasoma NEO COLONIALISM lakini hawana walilojifunza.
 
Kuna watu wanastahili kunyonywa ili Africa ipate maendeleo.
 
Shithole!
 
Chief kwani umesahau kwamba madai ya namna hii yamesababisha ndege zimeanza kushikiliwa wakati huyo Magu yupo ? mbona unajisahaulisha mapema sana
Ongelea issue iliyoko mbele yako hatuwezi ongelea kila kitu kwa wakati mmoja kila issue ina facts zake mkuu!
 
Hallo Wajamiii

Wales machawa wotee Lucas Mwashambwa
uvccm @@mwigulu Nchemba
Ikulu @wizara ya Fedha Bunge la Wananchi BUNGE la JMT

Maelezo hapaa

Hutowaona UVCCM hapa wala waziri akizungumzia hili

Lkn leo UVCCM Wapo Zanzibar hawatotoa hata neno moja kwa huli
 

Attachments

  • Screenshot_20240810_111803_Instagram.jpg
    865 KB · Views: 4
Kampuni ya Orca Energy Group Inc, iliyoorodheshwa katika soko la hisa la Toronto ikitokea visiwa vya Virgin vya Uingereza, imewasilisha madai ya Dola bilioni 1.2 za Marekani (Sh3.2 trilioni) dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).

Hatua hii ya kisheria ya Orca, inayomiliki kampuni za PanAfrican Energy Tanzania (PAET) na Pan African Energy Corporation Mauritius (PAEM), inaelezwa na kampuni hiyo inatokana na madai ya ukiukaji wa majukumu ya mikataba na uwekezaji.

Source: Mwananchi

My take; Mitihani wa kwanza kwa Rais wa TLS BAK Mwabukusi πŸ˜„πŸ˜„
 
Hii yote ni Jiwe, halafu eti shujaa
 
Haya ni matunda ya serikali kuwa chini ya raia feki ...kiongozi wa hiyo ajenda bwana ROSTAM AZIZI anazidi kuwa tajiri .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…