Tanzania yanunua "ITX Bullet Trains" kutoka Korea Kusini

Kwahiyo ilo li ITAX Bullet Train wewe halikustui kwamba Magufuli anachapa kazi kweli kweli .

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mkuu sisi tunaoishi huku Mwakaleli, hizi trains zitatusaidiaje?, bora angetupa zile 50M kila kijiji kama alivyoahidi.
 
Mkuu sisi tunaoishi huku Mwakaleli, hizi trains zitatusaidiaje?, bora angetupa zile 50M kila kijiji kama alivyoahidi.
Kwangu Lissu ndio hajani shawishi. Huwezi wadanganya watu kama watoto, yaani unachukua mfano wa interchange unapeleka kuwauliza wanakijiji? sasa na ww unatak niambia lisu ndio anaweza Kufanya zaidi ya yaliofanyika?
 
Kwangu Lissu ndio hajani shawishi. Huwezi wadanganya watu kama watoto, yaani unachukua mfano wa interchange unapeleka kuwauliza wanakijiji? sasa na ww unatak niambia lisu ndio anaweza Kufanya zaidi ya yaliofanyika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi zile used DMU toka spain kila unit moja imewagharimu $ ngapi?, kwasababu inaonekana hata hizi jamaa amezipata kwa bei nzuri sana
Yaani wametoa bei ya mpya kununua rejects! Ni scandal nyingine! Zingekuwa mpya nisingetia neno!



CC: Tony254 njoo utueleze!
 
Why do you think you will get the one in the video and not this one in the picture? Cause as far as train prices are concerned, $60m can`t get you what you are wishing for. This one is also an electric Korean made train
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…