Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Msaada wa kikombe kutoka kwa babu wa Madagascar!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wizara ya afya itueleze je kable haijatumika hapa nchini itatgibitushwa na TMDA kama inavyotakiwa kisheria. Wasiue watu wetu kwa dawa ambazo hazijathibitishwa hapa nchini.Serikali ya Tanzania leo imepokea kutoka Serikali ya Madagascar msaada wa dawa zinazofubaza virusi vya corona ikiwa ni siku tano tu toka Rais Magufuli aseme ——-> “Nimewasiliana na Madagascar kuna dawa ya corona wameipata nitatuma Ndege hiyo dawa ije hapa” View attachment 1443810
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbna bdo kavaa barakoa Mkuu??GTs,
Kwa hakika nchi yetu kwa kipindi hiki imekuwa na maadui wengi, hasa wanaotuonea wivu kwa msimamo wa rais wetu, utajili wetu na amani tuliyonayo. Majirani zetu wanatamani tufe wengi.
Sasa nimeona zile dawa za madagascar, waziri anakunywa.
Je zimehakikiwa ni salama na vyombo vyetu vya husika????
Kama havijahakikiwa nashauri tusitumie.
Zithibitishwe mara ngapi na wameshaonja?Wizara ya afya itueleze je kable haijatumika hapa nchini itatgibitushwa na TMDA kama inavyotakiwa kisheria. Wasiue watu wetu kwa dawa ambazo hazijathibitishwa hapa nchini.
Hivi hao watanzania walipa kodi kuijari awamu ya tanoAsante awamu ya tano kwa kuwajali Watanzania
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watanzania nnavyowajua wazee wa kuchangamkia fursa kesho utazikuta pale kariakoo wametengeneza copy ya hiyo Dawa
Sent From Galaxy S20 Ultra
Kua profesa hakuondoi upumbavu kichwani, sio tu kilaza maana ukilaza unatibika ni stupid yeye na aliyempanga, profesa mzima uprofesa wote anaweza pembeni anaamini ushenzi kama huu? Hawa maprofesa waliokaa wakakariri hadi wakapata PhD nimeanza kuhisi hizo research walizofanya waliibia sana kwa wengine au zilikua zile research za kijinga tu ukimaliza hata professor wak hataki kukuona anaona ulipoteza muda tu. He’s stupid 100%😂😂😂😂😂
Unamuita Profesa Kabudi kilaza?
Ukijichanganya tu. Yaani wakipewa chupa tu, contents watajiongeza.Watanzania nnavyowajua wazee wa kuchangamkia fursa kesho utazikuta pale kariakoo wametengeneza copy ya hiyo Dawa
Sent From Galaxy S20 Ultra
Watanzania nnavyowajua wazee wa kuchangamkia fursa kesho utazikuta pale kariakoo wametengeneza copy ya hiyo Dawa
Sent From Galaxy S20 Ultra
Ukijichanganya tu. Yaani wakipewa chupa tu, contents watajiongeza.
Asante awamu ya tano kwa kuwajali Watanzania
hapo watagawana viongozi na familia zao tuu...zitatutosha hizo ? au kila mtanzania tone moja