Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

hii ndo mikataba ya kijinga am,bayo ccm kwa mgongo wa serikali wanasaini, sasa hii cha mtoto subiri ule wa bandari usainiwe tutalimia meno
 
Halafu bado wapo wengi wanaotaka CCM itawale milele kisa eti “hakuna upinzani makini” nchini. Eti kuliko Lissu au Mbowe awe Rais hata kwa awamu moja bora tuendelee na hawa hawa.

Ni ujinga uliokithiri kuipa mijizi gerentii ya kufisidi nchi kupitia CCM. Huo ndio MSIBA mkuu wa taifa hili. Na bado.
 
Sakata la bandari ni ‘blessings in disguise’ kwa Tanzania.

Lipo wazi kwanini awashindi hizo kesi; ata walimu wao wa sheria hao hakina Shivji hawana fundamentals za contract law.

Kwa wanasheria mbali mbali niliowasikia kwenye sakata la bandari, Tanzania aishindi kesi ya biashara nje ya mipaka yake.
 
Si mnasapoti mikataba mibovu wajukuu watatucheka sana
 
Lakini kiini cha yote ni kuingia mikataba mibovu.
 
Kwani Tanzania ilikuwa inanufaikaje na uwekezaji wao
 
Wakati mwingine ni heri kuumia mara moja ukaachana naye, kuliko kuishi katika mateso milele
 
Hawatuwezi na hawatatuyumbisha kwa kesi zao na mahakama zao, sisi tutatumia sheria na mahakama zetu.
 
Kuna kitu wanakiita standard
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…