Nakubali. Nyerere alikuwa Genius.Tuseme ukweli, Mwalimu Nyerere ni Moja ya akili kubwa mno kuwahi kutokea duniani na sio rahisi kueleweka Kwa watu wasiotazama mbali na siku upinzani wakimulewa Kwa walau asilimia 30 ,siku hiyo watakuwa wamekomaa kisiasa na watastahili kuongoza nchi Lakini Cha kusikitisha mpaka Sasa hakuna yeyote aliyepo upinzani aliyepata kumuelewa Mwalimu Kwa walau asilimia 5.
Acha kushikwa akili na DJ wewe, hakuna serikali ya Tanganyika na hata waingereza ukiwauliza ni lipi jina la serikali tuliyonayo watakuambia ni serikali ya JMT. Kwa hiyo wewe unajua Zaidi ya mwingireza aliyeipatia uhuru Tanganyika lakini Sasa anaiita Tanzania na serikali ya JMT?Mama anaimaliza Tanganyika. Tujipange kumtoa kwa mwendo wa haraka. Akiachwa mpaka 2025 hali itakuwa mbaya sana.
Kama ni Mungu kwako endelea na upotofu wako. Mimi najua Mwalimu alikuwa ni binadamu aliyejaliwa kipaji Cha ajabu na Mungu. Kumuita Nyerere ni Mungu hiyo ni kufuru Kwa Imani yanguNakubali. Nyerere alikuwa Genius.
Nyerere ni Mungu
we wa Imani gani? Kutomuita Mungu ni kufuru kwa Imani yanguKama ni Mungu kwako endelea na upotofu wako. Mimi najua Mwalimu alikuwa ni binadamu aliyejaliwa kipaji Cha ajabu na Mungu. Kumuita Nyerere ni Mungu hiyo ni kufuru Kwa Imani yangu
Hahahahaha Mpwa Wacha tuoneSwali Bora sana hili, la Karne!
Punguza ukali MpwaMliwaona wapuuzi bashiru, PM na ndugai walitaka kumpindua matokea baada jpm kututoka. Na bado. Tunaye Rais anayeendekeza u Zanzibar kwanza. Zanzibar kuna madini gani
Akili kubwa sana. Swali hili halijibiki kwa akili ndogo ya CCM
Sorry, hili sio Size Yako, subiri mada za size Yako!Serikali ya Tanganyika ndio Serikali ya nchi Gani duniani? Maana mkiambiwa hamjitambui mnapiga makelele
Wewe ni mmoja waoFuta comment yako hii kabla mtoto wako hajaijua hii akaunti yako akaanza kukudharau maana unajidhalilisha sana.
Maalim nakuja hukoMama Fatuma niongezee kikombe cha gahawa,
Wallahi napata raha mimi.
Sijibugi swali la kipumbavu Mimi,hayo unayoyaona Yako Kwa mujibu wa Makubaliano ya Kimuungano hutaki achaJibu swali acha utoto! Learn to grow 🪴
Siku mkiacha kuwa wajinga na wendawazimu
Huwa sibishani, naongea na Mwenye Mbwa please 🙏Sijibugi swali la kipumbavu Mimi,hayo unayoyaona Yako Kwa mujibu wa Makubaliano ya Kimuungano hutaki acha
Acha kushikwa akili na DJ wewe, hakuna serikali ya Tanganyika na hata waingereza ukiwauliza ni lipi jina la serikali tuliyonayo watakuambia ni serikali ya JMT. Kwa hiyo wewe unajua Zaidi ya mwingireza aliyeipatia uhuru Tanganyika lakini Sasa anaiita Tanzania na serikali ya JMT?
Kumuelewa Mwalimu ni kazi sana sio jambo jepesi binadamu maisha yake kufanywa ni kozi ya kupatia degree.
Mwenye mbwa ananweza kuwa akili sisimizi kama wewe vile vile mama hata wapumbavu wanazeekaHuwa sibishani, naongea na Mwenye Mbwa please 🙏
Tanzania kuendelea ikiwa na watu kama wewe tusahau kabisa, ndio maana Hitler alikuwa anawapunguza watu ambao hawana msaada Kwa Ujerumani. Sorry Kwa kukuambia hayo.Sorry, hili sio Size Yako, subiri mada za size Yako!
Kwa ccm ni dhambi kuitaja Tanganyika. Ukiitaja tu Tanganyika wanasema unataka kuvunja muungano.Huu muungano mbona siuelewi kwanini isiwe tanganyika na zanzibar
Samahani, this is not for you! Umewapunguza wangapi?? Pumbavu kweli weweTanzania kuendelea ikiwa na watu kama wewe tusahau kabisa, ndio maana Hitler alikuwa anawapunguza watu ambao hawana msaada Kwa Ujerumani. Sorry Kwa kukuambia hayo.