Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Mbaya zaidi x ndo anaeyemmaliza kwa kujiunga na wabaya kutupa madongo.mzungu anamwambia "find a job" what the f..k
hhhhaaahhaaa!!so sad!!Ila tulisemaga hapahapa!Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga!!
njia aliyokua anatumia kuumiza wenzie naye ameumizwa huko huko tena!!100 times harder
 
Reactions: Mit
ivi ndo uyu juzi juzi kamponda Lemutuz via instagram kwenye msiba wa mama ake?
 
In Wendy's voice"stupid wo
hhhhaaahhaaa!!so sad!!Ila tulisemaga hapahapa!Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga!!
njia aliyokua anatumia kuumiza wenzie naye ameumizwa huko huko tena!!100 times harder
Karma karma....ile blog ndo chanzo cha haya yote.najua anatamani time irudi nyuma arekebishe alipokosea.ila huyu dada anapitia maisha magumu ambayo amejitakia.sijui mara ya mwisho ni lini amelala usingizi. 24/7 anaandika magazetu.watu wanapata phd wanamaliza ye bado tu anawadanganya stupid followers on socia media(in Wendy's voice)
 
huyu si alijitapaga eti wapare hawaachwi?...si huyu alidai kwamba lance hata akicheat atacheat na ngozi nyeupe sio black tena?....
ama kweli malipo ni hapa hapa duniani!!
 
huyu si alijitapaga eti wapare hawaachwi?...si huyu alidai kwamba lance hata akicheat atacheat na ngozi nyeupe sio black tena?....
ama kweli malipo ni hapa hapa duniani!!
Mzungu alivyomshenzi kaenda kuchukua rafiki tena mweusi hasaaa..lazima ikuchome kama pasiii.mzungu nae hata huruma
 
hhahhaaaaahhhaaa!!and ever since voda wamevunja mkataba!!kapotea ndo kahamia IG!
sometimes I feel sorry for her the way she is in pain coz am a woman too,I know maumivu ya kuachwa na mwenza kukurusha roho km hv!!unless uwe umeijiandaa na una maisha Ila Kule mange ni ugenini hana ndugu supporter wake ni followers
she needs comfort to b honest Ila sasa who is helping her?wote wanamcheka vbaya mnoo!!
 
tena amwache kabisaaa!! ye adeal na nyari au kichwapanzi kama atawaweza.... aliwanangaga sana single moms leo yamemkuta....
 
Mdomo ulimponza yeye si alijifanya anajua kuongea na kulipua mabomu.hajui watu wengine huwa hawataniwi.wanajifanya wajinga huku wakuombea mabala.na ndo kinachotokea.ameumiza roho za watu wacha na yeye aonje kidogo labda atapata taste.
 
Mbona povu?
hahaaaaaa!!ukiskia paaaaaa!!!
tena amwache kabisaaa!! ye adeal na nyari au kichwapanzi kama atawaweza.... aliwanangaga sana single moms leo yamemkuta....
umeona eeehhh!!tena kwa maneno ya kashfa na karaha zote za maneno ya shombo!!
huyu si alijitapaga eti wapare hawaachwi?...si huyu alidai kwamba lance hata akicheat atacheat na ngozi nyeupe sio black tena?....
ama kweli malipo ni hapa hapa duniani!!
mpare mmakonde kaachwaa!!mwaka huu!dadadeki!chezea Mungu!!
Mungu fundiii jamaniii!!
 
Mdomo ulimponza yeye si alijifanya anajua kuongea na kulipua mabomu.hajui watu wengine huwa hawataniwi.wanajifanya wajinga huku wakuombea mabala.na ndo kinachotokea.ameumiza roho za watu wacha na yeye aonje kidogo labda atapata taste.
goes around,comes around!!!
time is a good teacher!!
 
Reactions: Mit
Mzungu alivyomshenzi kaenda kuchukua rafiki tena mweusi hasaaa..lazima ikuchome kama pasiii.mzungu nae hata huruma
mashauzi yote kwishaaa.....ooh my mzungu this my mzungu that....mwanamke alikuwa anakufuru hatari, yaani alikuwa anaponda wanaume wa kiafrika utafikiri baba ake alikuwa mzungu
 
mashauzi yote kwishaaa.....ooh my mzungu this my mzungu that....mwanamke alikuwa anakufuru hatari, yaani alikuwa anaponda wanaume wa kiafrika utafikiri baba ake alikuwa mzungu
Hapo ndo nipoanza kumwangalia kwa jicho la tatu.abawahusudu hawa watu kushinda yeye mwenyewe.wakati anacheusi mangala pembeni yake.
 
Anajifanya hata sijali...nani asiyejali kulea watoto wasio na baba.huku unasubiri food stamps. Awadanganye followers wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…