TANZIA: Ali Mufuruki afariki dunia Afrika Kusini. Aagwa katika Ukumbi wa JNICC. Kuzikwa Makaburi ya Kisutu, Dar

TANZIA: Ali Mufuruki afariki dunia Afrika Kusini. Aagwa katika Ukumbi wa JNICC. Kuzikwa Makaburi ya Kisutu, Dar

Pumzika kwa amani mzee! Daah watu wema hadumu jamani.....
 
Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Infotech investment Group ambaye aliwahi pia kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania, Ali Mufuruki, amefariki Dunia akiwa Afrika Kusini.
#RIPNduguYetu🙏🏽
Infotech wanauza nini?
 
Wahaya mna mambo,hawa wakina Mufuruki ingawa ni wahaya ila wanajiona zaidi kama wasukuma,maana wamezaliwa na kukulia Geita na mama yao pia ni Musukuma.
Kile kiwanja chake kikubwa pale Geita alichokijengea tu ukuta bila kukiendeleza miaka na miaka nadhani ni wakati muafaka kikagawiwa kwa wananchi
Huyo mufuruki unayemwongelea ndo huyu?
Maana wapo wahaya wengi wanaitwa hivyo.


Huyu mufuruki anamiliki kiwanda cha chai Bora na yetu chai huko bukoba vijijin
 
Kweli duniani tunapita tu kila mtu ajifunze. Wakunyanyua mabega wajifunze na kuheshimu wenzao. Kwamba njia hii ni ya wote hakuna atakayebakia.

Duuh mwaka umeenda na watu wakubwa waliofanya mabadiliko kwenye sekta ya uchumi, Mengi na sasa Mufuruki.

Mufuruki umefanya mengi katika sekta ya uchumi.

RIP.
Sorry unaweza kutueleza Infotech wanauza nini.

RIP A. MUFURUKI
 
Wahaya mna mambo,hawa wakina Mufuruki ingawa ni wahaya ila wanajiona zaidi kama wasukuma,maana wamezaliwa na kukulia Geita na mama yao pia ni Musukuma.
Kile kiwanja chake kikubwa pale Geita alichokijengea tu ukuta bila kukiendeleza miaka na miaka nadhani ni wakati muafaka kikagawiwa kwa wananchi
Mkuu apo kuna kosa gani?
Mnakatazwa kujua utamaduni wenu ...eti ni ukabila. Nani kawadanganya nyie
 
Huu mwaka sio kabisa ma hili ni pigo jingine. Natumai aliweka succession plan yake vizuri [emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]

R.I.P boss
 
Usipende vya kugawiwa bure. Mwanaume pambana
Wahaya mna mambo,hawa wakina Mufuruki ingawa ni wahaya ila wanajiona zaidi kama wasukuma,maana wamezaliwa na kukulia Geita na mama yao pia ni Musukuma.
Kile kiwanja chake kikubwa pale Geita alichokijengea tu ukuta bila kukiendeleza miaka na miaka nadhani ni wakati muafaka kikagawiwa kwa wananchi
 
Back
Top Bottom