TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

Kweli mkuu unafiki kwa kwenda mbele, hata kumtembelea walikuwa hawaendi wakati ni hapo Kigamboni tu.

RIP mzee wetu mtakutana nao huko huko kwa hakimu wa Haki.
Haswaa huko kwa asiye na upendeleo.
 
Utasikia mapambioo n'a kuanza kumsifiaaa
Muda wote mlikuwa kimyaa..

Apumzike kwA amani
Hata kwa marehemu Wangwe walisema hivyohivyo wakati akina a.k.a walipinga na kupuuza mawazo kuntu slokuwa akitoa ndani ya chama. Lakini kwa mstaafu huyu anahaki ya kumtakia RIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…