RASHIDI OMARY
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 524
- 498
Kazi ya Mungu haina makosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mimi ni mwanafamilia sitoruhusu hata kiongozi mmoja wa serikali kuja hapo,au kutoka lumumbaa kuhudhuria mazishiUTASHANGAAAA WANAPELEKAA VINGORAA SEMANINI NA MAGARIYAKIFAHARI NAKUMBUKA NDUGU WALISHAWATOA RESI JAMA WAKADAI WATAMTUNZANNDUGUYAK AWAITAJIMSAADA WAMTU
Mzee Jumbe aliwekwa kizuizini(Kifungo cha nyumbani) tangu 1984.Sidhani kama alikuwa kifungoni ila mzee yule nadhani alikuwa na matatizo ya macho...
mpwaaWaanguuu yaan achatu amejifiaa nachamoyoni apumzikekwa Amani tuKama mimi ni mwanafamilia sitoruhusu hata kiongozi mmoja wa serikali kuja hapo,au kutoka lumumbaa kuhudhuria mazishi
Ova
mshaanza kumgombea?Alipo apa kuwa Rais/Makamu wa Rais alipoteza haki hizo zote. Haki hizo kwa sasa ni za Taifa, na taifa litaamua kama alivyojikabidhi kwa taifa kipindi anaapishwa.Full stop.
Allah ampumzishe kwa aman.Waliojifanya mungu watu wameelewaKwani kile kifungo chake kule Kigamboni kiliisha?
Ndugu TU wakomae wamzike wenyewe mbwembwe ya madini ya kinafk ya ser wasikubaliNasubiria nione,nani atashinda kati ya serikali na ndugu wa marehemu katika maziko ya marehemu!
Kwani wameshaanza kushindana??Nasubiria nione,nani atashinda kati ya serikali na ndugu wa marehemu katika maziko ya marehemu!