Nop si huyu mkuu, jamaa naona katika watumishi ambao walikuwa balanced ni huyu jamaa. May his soul rest in Peace in heaven! I hope we meet there some other day.Huyu ndo alikuwa anawakosha wanawake kwa kuponda wanaume? Au sio huyu?
Inadaiwa alisumbuliwa na sukari mkuu, dah so sad about the news. Sijui kwanini watu tunaowapenda ndio huondolewa mapema. I wonder man!Mkuu chanzo cha mauti yake ni nini ?
Huwa wengine wanapata vyeo kama hivyo kisha wanayoa 'o' na kunyoa panki? ... OK R.I.Pmkuu ndiyo hivyo tutafanyaje
Demu akiwa na mambo ya kishamba kama kutuma tuma status za majungu Social Media kila mkikwazana huyo ni wa kuacha tu. Kazi nzuri mkuu hamna kuvumilia upuuzi 🤣🤣🤣Nilikuwa na demu wangu mmoja alikuwa ananitumia clip za huyo jamaa whatsapp mpaka nikawa sizifungui maana ilikuwa kero,hata hivyo nashukuru mungu tumeachana
Pumzika kwa amani mtumishi[emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe acha tu nyaka nyaka tuhuu mwaka mpaka uisheee tutakuwa nyakanyaka kwa kuvurugwa maana tunavurugwaa haswa mara hili mara ukikaa kidogo RIP huku yaaani...
Mkila nauli zetu Sasa tunyamazetuR. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]et jamaa anashukuruDemu akiwa na mambo ya kishamba kama kutuma tuma status za majungu Social Media kila mkikwazana huyo ni wa kuacha tu. Kazi nzuri mkuu hamna kuvumilia upuuzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AmuR. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.
Inaonekana demu alikuwa mpuuzi 🤣[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]et jamaa anashukuru
Waliachana[emoji3][emoji3][emoji3]
stidy
Yeah alikuwa karantini
Ee hilo sio la kushangaa. Kama umetoka kusex na mwenye mimba halafu hujajisafisha wala kukojoa, kwa vyovyote vile kwasababu ya contamination vipimo vitasema hivyo tu.R.I.P
ᴴᵃᵗᵃ ᵏⁱᵖⁱᵐᵒ ᶜʰᵃ ᵐⁱᵐᵇᵃ ᵏⁱⁿᵃʷᵉᶻᵃ ᵏᵘˢᵒᵐᵃ ᵐᵏᵒʲᵒ ʷᵃ ᵐʷᵃⁿᵃᵘᵐᵉ "ᴾᵒˢⁱᵗⁱᵛᵉ"
Mh
Wakati nyie mnawapenda wao wanapenda fedha zenu.Inadaiwa alisumbuliwa na sukari mkuu, dah im so sad about the news. Sijui kwanini watu tunaowapenda ndio huondolewa mapema. I wonder man!
Ondoa kwanza huu utata then mada itaendeleaJikite kwenye mada, achana na ishu zingine
Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.
Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.
Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
R. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.
R. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.