ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Huko daslama kila mtu ni maarufu?
Apumzike anapostahili.
Vingine ni shida ya kupumuaR.I.P
Si kila kifo ni Corona
Msiba wowote ni majaribu achilia mbali mtu unayemheshimu.Kufariki kwake ni jaribu kwako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Warehouse ni ghala la chakula?mnatuchosha watoa shule
asante kwa huduma mchungajiNi kweli tumempoteza Mwl Dr.mitimingi usiku huu Mungu ampe pumziko la milele
wanasema alikuwa karantinKafa kwa #covid19?
Sijui nini kimesababisha kifo chake.Ndo iliomuua?
OMG. Duh basi Coronavirus haitaki kabisa kusikia wanaojidai kuwaambia wenzao wasiwe na Hofu. Kuna video moja YouTube ya Peter Mitimingi anasema ukiwa na Hofu ndo Coronavirus inakuua.Jiwe atawamaliza watanzania nakuhakikishia. Koona na aliipatia pale Mikocheni kwa maza!
Hadi kwenye misiba watu wanaleta stress zao. Enhe na wanaume mnaowaliza tusemeje?????R. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.
Wenye uzito wa kupitiliza covid19 inasumbua sanaDuh!. Shocking!.
RIP Pastor Miti Mingi
P
Hadi kwenye misiba watu wanaleta stress zao. Enhe na wanaume mnaowaliza tusemeje?????
huu mwaka mpaka uisheee tutakuwa nyakanyaka kwa kuvurugwa maana tunavurugwaa haswa mara hili mara ukikaa kidogo RIP huku yaaani...