ila Lulu anajua kujali mwanaume,sijawai wekewa miguu hivyo
ila Lulu anajua kujali mwanaume,sijawai wekewa miguu hivyo
Hahaaa! Mimi sitaki Mume wangu afe kwa laana zangu, lakini huwa naiombea michepuko mabaya yawafike, nashukuru Mungu kwa kiasi fulani ni na Amani ya nafsi" na michepuko iliyojifanyaga kuloga ilishindwa, naamini Mungu alisimamia hili na Mume wangu ndiye aliyegundua kuwa mchepuko unamloga, sala kwa moyo mnyofu na majitoleo kwa Mungu ni msaada mkubwa kwa wanandoa. kwa neema za Mungu wanandoa tuzeeka tukiwa pamoja na hata ikitokea kuzikana tutazikana kwa mipango ya Mungu.
hivi wewe shuleni ulienda kusomea ujinga?kwa hiyo HunatuHambia kwamba lulu huwa Hanatoa roho za watu Hakiwa naHO kimapenzi
Shigha vichike avae....!!!!
hivi wewe shuleni ulienda kusomea ujinga?
Kanumba,komba,seki ........ who is next
Sijui michepuko ikipitia nyuzi kama hizi inajisikiaje!! Lakini itakuwa imekufa ganzi tu wala haijali mnajadili nini...michepuko ni laana tu popote ilipo.
Mwanajamiione, sikubali wala sikatai mawazo yako, ila naomba tu nikukumbushe kitu kimoja, nitakupa na mfano kua, mungu ha bipiwi. Yaani ukim beep mungu, lazima akupigie. Inategemea kilio chako kikoje wakati wa kum beep. Huyu mke wa Secky alimlilia sana mwenyezi mungu juu ya mahusiano ya mumewe na huyu mtoto. Mungu akasikia kileo, akafanya kile alichoona kitamuweka huyu mama kwenye amani. Nakupa mfano mmoja tu, japo nina mingi. Kuna ajali moja iliwahi kutokea barabara ya moshi-arusha miaka kadhaa iliyopita, akafa mama na watoto wake wane au watano, sikumbuki vizuri, baba akapona lakini alilazwa. sina hakika kama unajua story behind this tragic accident? wanandoa hawa walikua hawana uelewano mzuri, mara nyingi walikua na kesi kanisani kujaribu kusuluhisha, issue ni baba kuchepuka na kuzaa hovyo. alikua na pesa zake na maduka mengi moshi na arusha. kila siku wanapomaliza kesi zao kanisani kwa mchungaji/padre, yule neno lake lilikua "sitaki kufa niache watoto wangu wateseke, bora mungu anichukue siku moja na wanangu". Alikua akiomba hivyo kila wakati, na mungu vile hajaribiwi, alitekeleza mama alivyotaka. Ile ajali ilimuondoa yeye na watoto wake wote kama alivyokua akiomba. Padri/mchungaji ndio alichaguliwa na wanafamilia kum face yule baba akiwa hospitali kumuambia familia yake is no more, maana kutwa alikua anataka kujua wanaendeleaje. Hivyo, pamoja na kwamba tunaondoka duniani kwa ahadi, lakini kuna ahadi nyingine inabidi mwenyezi mungu azi adjust kutokana na matokeo.
Hahaaa! Mimi sitaki Mume wangu afe kwa laana zangu, lakini huwa naiombea michepuko mabaya yawafike, nashukuru Mungu kwa kiasi fulani ni na Amani ya nafsi" na michepuko iliyojifanyaga kuloga ilishindwa, naamini Mungu alisimamia hili na Mume wangu ndiye aliyegundua kuwa mchepuko unamloga, sala kwa moyo mnyofu na majitoleo kwa Mungu ni msaada mkubwa kwa wanandoa. kwa neema za Mungu wanandoa tuzeeka tukiwa pamoja na hata ikitokea kuzikana tutazikana kwa mipango ya Mungu.
ila Lulu anajua kujali mwanaume,sijawai wekewa miguu hivyo
Shigha vichike avae....!!!!
ure wedi wetu
ila Lulu anajua kujali mwanaume,sijawai wekewa miguu hivyo
cacico kinachopendwa bongomovies ni shekeli na sivinginevyo kwakuwa wanapenda kuwa na highlife wakati vyanzo vya mapato ni finyu hivyo njia rahisi ni kutafuta wenye nazo bila kujali status zao kifamiliahuyu mtoto ni kahaba kama ambavyo makahaba wengine wa bongo movies walivyo! yaani utashangaa wengi wao wameachika au kuzaa bila mume, au kuwa vimada! shame on u ladies wa bongo movies, mnapenda sana kitonga! na mama lulu ndio kabisa sina cha kumwambia, siku yake inakuja atalia na kusaga meno!
Ngoja nikashtue Tusker Moja nitarudi!hasipopata mrithi basi atarudi kwenye nyumba yake aliyejengewa na marehemu aliyepita.
ila Lulu anajua kujali mwanaume,sijawai wekewa miguu hivyo