Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

huyu mtoto ni kahaba kama ambavyo makahaba wengine wa bongo movies walivyo! yaani utashangaa wengi wao wameachika au kuzaa bila mume, au kuwa vimada! shame on u ladies wa bongo movies, mnapenda sana kitonga! na mama lulu ndio kabisa sina cha kumwambia, siku yake inakuja atalia na kusaga meno!
 
Hahaaa! Mimi sitaki Mume wangu afe kwa laana zangu, lakini huwa naiombea michepuko mabaya yawafike, nashukuru Mungu kwa kiasi fulani ni na Amani ya nafsi" na michepuko iliyojifanyaga kuloga ilishindwa, naamini Mungu alisimamia hili na Mume wangu ndiye aliyegundua kuwa mchepuko unamloga, sala kwa moyo mnyofu na majitoleo kwa Mungu ni msaada mkubwa kwa wanandoa. kwa neema za Mungu wanandoa tuzeeka tukiwa pamoja na hata ikitokea kuzikana tutazikana kwa mipango ya Mungu.

I like this,wanadamu tumeshindwa kuelewa kuwa Mungu anaweza yote
 
Sijui michepuko ikipitia nyuzi kama hizi inajisikiaje!! Lakini itakuwa imekufa ganzi tu wala haijali mnajadili nini...michepuko ni laana tu popote ilipo.

Mkuu elli mchepuko unaliwaza vizuri ukijua wewe ni mtamu kma mcharo
 
Kama kumlilia Mungu itahusisha mume kufa, hata achepuke mara elfu sitakaa nimlilie.

Uji.nga mtupu, watoto wakose malezi ya baba yao kisa wivu wa mapenzi?? Si bora kutengana?! Women are wicked!

Hata urithi mali kiasi gani, kama huna dyudyu la pembeni yako bure kabisa, seuse ulilochuma nalo mali.

Kwa mwanamke anaye,furahia mumewe huwezi furahia kifo cha seky in the name ya kumkomoa lulu. Siku si nyingi lulu atamreplace marehemu na kitu labda kikali zaidi, keshazoea kuwa mchepuko.

Haya huyu mama aje apate replacement ni lini?
Na hata akimpata wataoana ili ku-replace status alokuwa nayo?

Mwanajamiione, sikubali wala sikatai mawazo yako, ila naomba tu nikukumbushe kitu kimoja, nitakupa na mfano kua, mungu ha bipiwi. Yaani ukim beep mungu, lazima akupigie. Inategemea kilio chako kikoje wakati wa kum beep. Huyu mke wa Secky alimlilia sana mwenyezi mungu juu ya mahusiano ya mumewe na huyu mtoto. Mungu akasikia kileo, akafanya kile alichoona kitamuweka huyu mama kwenye amani. Nakupa mfano mmoja tu, japo nina mingi. Kuna ajali moja iliwahi kutokea barabara ya moshi-arusha miaka kadhaa iliyopita, akafa mama na watoto wake wane au watano, sikumbuki vizuri, baba akapona lakini alilazwa. sina hakika kama unajua story behind this tragic accident? wanandoa hawa walikua hawana uelewano mzuri, mara nyingi walikua na kesi kanisani kujaribu kusuluhisha, issue ni baba kuchepuka na kuzaa hovyo. alikua na pesa zake na maduka mengi moshi na arusha. kila siku wanapomaliza kesi zao kanisani kwa mchungaji/padre, yule neno lake lilikua "sitaki kufa niache watoto wangu wateseke, bora mungu anichukue siku moja na wanangu". Alikua akiomba hivyo kila wakati, na mungu vile hajaribiwi, alitekeleza mama alivyotaka. Ile ajali ilimuondoa yeye na watoto wake wote kama alivyokua akiomba. Padri/mchungaji ndio alichaguliwa na wanafamilia kum face yule baba akiwa hospitali kumuambia familia yake is no more, maana kutwa alikua anataka kujua wanaendeleaje. Hivyo, pamoja na kwamba tunaondoka duniani kwa ahadi, lakini kuna ahadi nyingine inabidi mwenyezi mungu azi adjust kutokana na matokeo.
 
Wanawake tuna exaggrate cheating, it has been there, and always will be there, japo maumivu hayazoeleki.

Kuomba na kusali kunakupa courage ya 'ku buy time' hadi mume agombane na mchepuko wake, unless alikuwa anataka kuachana na mke, that's it.

Hahaaa! Mimi sitaki Mume wangu afe kwa laana zangu, lakini huwa naiombea michepuko mabaya yawafike, nashukuru Mungu kwa kiasi fulani ni na Amani ya nafsi" na michepuko iliyojifanyaga kuloga ilishindwa, naamini Mungu alisimamia hili na Mume wangu ndiye aliyegundua kuwa mchepuko unamloga, sala kwa moyo mnyofu na majitoleo kwa Mungu ni msaada mkubwa kwa wanandoa. kwa neema za Mungu wanandoa tuzeeka tukiwa pamoja na hata ikitokea kuzikana tutazikana kwa mipango ya Mungu.
 
Haka ka toto katakuja lizwa asisahau maisha yake na hii tabia yakuchukua waume za watu,mamake mzazi kama ana shindwa kumkanya mwanawe atakuja juta yakimkuta ya kumkuta..........
 
huyu mtoto ni kahaba kama ambavyo makahaba wengine wa bongo movies walivyo! yaani utashangaa wengi wao wameachika au kuzaa bila mume, au kuwa vimada! shame on u ladies wa bongo movies, mnapenda sana kitonga! na mama lulu ndio kabisa sina cha kumwambia, siku yake inakuja atalia na kusaga meno!
cacico kinachopendwa bongomovies ni shekeli na sivinginevyo kwakuwa wanapenda kuwa na highlife wakati vyanzo vya mapato ni finyu hivyo njia rahisi ni kutafuta wenye nazo bila kujali status zao kifamilia
 
Last edited by a moderator:
Hawa wasichana wa bongo movie kwanini wasiwaambie Hao mabilionea wao wawajengee nyumba badala ya kuwapangia nyumba sinza na mbezi beach.
 
Back
Top Bottom