wazabangah1
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 315
- 114
alipataga ajali akaumia kichwq na kusahau kila kitu hadi jinsia yake
Dooh!!! Hadii jinsiaa anahalii mbayaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alipataga ajali akaumia kichwq na kusahau kila kitu hadi jinsia yake
Swala la ugonjwa wa Noorah linanisikitisha sana...hivi sisi kama jamii hatuwezi kusaidia lolote afya yake irejee?
we unadhani ngwea alikosea alipoimba mitungi blunt mikasi na huenda walikua wanashea demu mmoja kama juma nature na chege wataisha hao
hiki kifua hiki ni hatarii,Noorah mwenyewe damu yake ina vimelea vinavyosababisha ugonjwa wa kifua.RIP Mrs Noorah
Swala la ugonjwa wa Noorah linanisikitisha sana...hivi sisi kama jamii hatuwezi kusaidia lolote afya yake irejee?
Swala la ugonjwa wa Noorah linanisikitisha sana...hivi sisi kama jamii hatuwezi kusaidia lolote afya yake irejee?
Recently not nowView attachment 231685
Recently not nowView attachment 231685
huyu ni nani.??
Huyo ni Nora mbongo movie maarufu mke wa hayati sangoma ngw'izikulu jilala aliyefia Msumbiji/Angola? Kwa ajali ya gari