balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
RIP mwamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P hafu Jana alikuwa online daaah! Hi dunia hii jamani wanadamu mturudie muumba tusiwe wabishi kihasi hikiUsiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Very true kuna jamaa yangu wa karibu nae kafia usingizini one week ago.
Sijaona post yake kwenye huo uzi for the last 4 days.
Duuuhhhhh....!!!! Whaaatttt!!?? Aisee, I knew this guy personally nilifahamiana nae hapa hapa JF na tukawa karibu, na nimewasiliana nae hadi juzi hapa, yaani hapa naangalia message zake za WhatsApp tulizokua tunachat nae juzi tu hapa (tarehe 10).Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Pole sana Dr.Duuuhhhhh....!!!! Whaaatttt!!?? Aisee, I knew this guy personally nilifahamiana nae hapa hapa JF na tukawa karibu, na nimewasiliana nae hadi juzi hapa, yaani hapa naangalia message zake za WhatsApp tulizokua tunachat nae juzi tu hapa (tarehe 10).
Damn this life is so short...!!!!
Rest in eternal peace brother!!
Duuuhhhhh....!!!! Whaaatttt!!?? Aisee, I knew this guy personally nilifahamiana nae hapa hapa JF na tukawa karibu, na nimewasiliana nae hadi juzi hapa, yaani hapa naangalia message zake za WhatsApp tulizokua tunachat nae juzi tu hapa (tarehe 10).
Damn this life is so short...!!!!
Rest in eternal peace brother!!