TANZIA Tanzia: Mwana JF mwenzetu ip_mob afariki dunia

TANZIA Tanzia: Mwana JF mwenzetu ip_mob afariki dunia

Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.

Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.

Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu

Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
R.I.P hafu Jana alikuwa online daaah! Hi dunia hii jamani wanadamu mturudie muumba tusiwe wabishi kihasi hiki
 
Chanzo Cha kifo chake haijajuoikana au ndio hii serekali wanaificha ficha
 
Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.

Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.

Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu

Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Duuuhhhhh....!!!! Whaaatttt!!?? Aisee, I knew this guy personally nilifahamiana nae hapa hapa JF na tukawa karibu, na nimewasiliana nae hadi juzi hapa, yaani hapa naangalia message zake za WhatsApp tulizokua tunachat nae juzi tu hapa (tarehe 10).
Damn this life is so short...!!!!
Rest in eternal peace brother!!
 
Duuuhhhhh....!!!! Whaaatttt!!?? Aisee, I knew this guy personally nilifahamiana nae hapa hapa JF na tukawa karibu, na nimewasiliana nae hadi juzi hapa, yaani hapa naangalia message zake za WhatsApp tulizokua tunachat nae juzi tu hapa (tarehe 10).
Damn this life is so short...!!!!
Rest in eternal peace brother!!
Pole sana Dr.
 
Duuuhhhhh....!!!! Whaaatttt!!?? Aisee, I knew this guy personally nilifahamiana nae hapa hapa JF na tukawa karibu, na nimewasiliana nae hadi juzi hapa, yaani hapa naangalia message zake za WhatsApp tulizokua tunachat nae juzi tu hapa (tarehe 10).
Damn this life is so short...!!!!
Rest in eternal peace brother!!

Yes, he has passed away last night, kesho nitajua nini kimemuua brother na nitawaambia ni wapi pia atapumzishwa kwenye makao yake ya milele...
 
Back
Top Bottom