TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

So sad,mwaka2011 mwezi Machi sitosahau,nilijaliwa mapacha wote wa kiume nilifurahi Sana baada ya wiki tatu sikulala usiku mmoja watoto walisumbua kwa kulia asubuhi nikawaaisha hispitali baada ya siku mbili akaanza kulwa kufaliki baadae doto,na wakati huo Niko mbali na nyumbani mkoa tofauti niliteseka Sana kimawazo.Pole Sana kaka najua Ni ngumu kupokea.
 
R.I.P Kwa mapacha wa National anthem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…