TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

Jambo LA msiba sio LA mzaha mungu awatie nguvu wazazi imekuaje mapacha wafariki kwa mda mmoja kwa siku moja nini kilikuwa kina wasumbua? aaisse mungu awape uvumilivu katika kipindi hiki kigumu
 
So sad,mwaka2011 mwezi Machi sitosahau,nilijaliwa mapacha wote wa kiume nilifurahi Sana baada ya wiki tatu sikulala usiku mmoja watoto walisumbua kwa kulia asubuhi nikawaaisha hispitali baada ya siku mbili akaanza kulwa kufaliki baadae doto,na wakati huo Niko mbali na nyumbani mkoa tofauti niliteseka Sana kimawazo.Pole Sana kaka najua Ni ngumu kupokea.
just like that ?

hakuna maelezo ya nini kilitokea medically or otherwise?

basi vipacha vili starve to death au uliwatoa kafara uwe freemason
 
just like that ?

hakuna maelezo ya nini kilitokea medically or otherwise?

basi vipacha vili starve to death au uliwatoa kafara uwe freemason
.
JamiiForums790734876.jpg
 
Back
Top Bottom