Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
School mates? Sijaelewa nieleweshe😀R.i.P School mates, Mungu awapokee kwa amani...🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
School mates? Sijaelewa nieleweshe😀R.i.P School mates, Mungu awapokee kwa amani...🙏
🤔🤔🤨R.i.P School mates, Mungu awapokee kwa amani...🙏
Kwa hiyo ni husda imesababishaAcheni kuanika maisha yenu mitandaon.
Uzungu mwingi mwishoe mnaharibu maisha yenu, naandika haya nikimaanisha humu si wote wenye mioyo mizuri, endeleeni kujianika muendelee kujiharibia maisha.
Ni hilo tu.
Kuna twins nilisoma nao mkuu...😪School mates? Sijaelewa nieleweshe😀
Au nasema ndugu yangu...😥
hapo sawaKuna twins nilisoma nao mkuu...😪
Au nasema ndugu yangu...😥
Kumbe nilikua nimezingua kidogo eeehhhh...🤔hapo sawa
ulivyosema r.i.p school mates wako ndo ulinichanganyaKumbe nilikua nimezingua kidogo eeehhhh...🤔
Hata Mimi niliwaza hivi hivi, pole kwao Kwa kipindi kigumuAcheni kuanika maisha yenu mitandaon.
Uzungu mwingi mwishoe mnaharibu maisha yenu, naandika haya nikimaanisha humu si wote wenye mioyo mizuri, endeleeni kujianika muendelee kujiharibia maisha.
Ni hilo tu.
Kweli nilitaka kusema ila nikaona nitachambwa nikaa kimya ila yeye hakujitangaza ni mtu wa humu mbeya alijitangaza maana alipewa ujumbe Kwa Siri akatangaza bila ridha a ya watuduh pole kwawafiwa
ila mambo ya mtandao tupunguze kujianika sana
Siwezi kwenda kutubu kwa sababu eti nimedai details za mazingira ya vifo vya watoto.Una Uhuru wa maomi,Ila nenda ukatubu kwa hiki ulichonena.Nasisitiza nenda utubu
Washauri wamefikaduh pole kwawafiwa
ila mambo ya mtandao tupunguze kujianika sana