TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

Jambo LA msiba sio LA mzaha mungu awatie nguvu wazazi imekuaje mapacha wafariki kwa mda mmoja kwa siku moja nini kilikuwa kina wasumbua? aaisse mungu awape uvumilivu katika kipindi hiki kigumu
 
just like that ?

hakuna maelezo ya nini kilitokea medically or otherwise?

basi vipacha vili starve to death au uliwatoa kafara uwe freemason
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…