Marehemmu, Salla Dumba, Ahmed Kipozi, Bety Mkwasa, Shabani Kisu, na kuna mwingine nimemsahau mwenyeji wa maeneo ya Masasi kule Mtwara. Inawzekana wapo wengine ambao nimewasahau.JK aliwakumbuka sana waandishi wa habari! lakini wanayomlipa mmh!
Kweli kabisa mkuu, alafu wapo wanaohangaika kwenye shuguri zao, na huwa wanawaza zana jinsi ya kufanikiisha shuhuri zao, hususani wafanya biashara..Huo ni uvivu wako tu ktk kufikiri!
Kwani umri wa kustaafu ni upi?
She was strong na alikuwa akipambana ktk maisha bila ya shida!
She was less than 70, na wengi ktk umri huo huomba wawe na activities ziwafanye waishi! Ukistaafu Bongo na kukaa home utakufa mapema zaidi!
....Mungu Amsamehe Makosa Yake ...!!
ALIYEKUWA mkuu wa wilaya ya Njombe na mwanahabari mkongwe Bi Sarah Dumba amefariki dunia ghafla akiwa wilayani Njombe mkoa wa Njombe.
Mkuu huyu wa Wilaya amefariki usiku huu kwa Presha na mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Njombe, Kibena
RIP Dada Sarah Dumba.ALIYEKUWA mkuu wa wilaya ya Njombe na mwanahabari mkongwe Bi Sarah Dumba amefariki dunia ghafla akiwa wilayani Njombe mkoa wa Njombe.
Mkuu huyu wa Wilaya amefariki usiku huu kwa Presha na mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Njombe, Kibena
Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
RIPRIP SARA MTANGAZAJI MAHIRI,HUKO KEA U DC SIJUI!
RIP Mama Sarah Dumba.ALIYEKUWA mkuu wa wilaya ya Njombe na mwanahabari mkongwe Bi Sarah Dumba amefariki dunia ghafla akiwa wilayani Njombe mkoa wa Njombe.
Mkuu huyu wa Wilaya amefariki usiku huu kwa Presha na mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Njombe, Kibena
Sallah= SarahMarehemmu, Salla Dumba, Ahmed Kipozi, Bety Mkwasa, Shabani Kisu, na kuna mwingine nimemsahau mwenyeji wa maeneo ya Masasi kule Mtwara. Inawzekana wapo wengine ambao nimewasahau.
Una uhakika kua amegota miaka 60?inawezekana wakati wewe upo shule yeye ana miaka 21,acha kashfa kwenye kifo,hata wewe unaweza kupata presha ukiwa kwenye kiti chako hapo ukaanguka ukafa na umri wako wa miaka 30Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
Una maana gani kusema vifo vya kujitakia? Msiba ni issue nyingine siyo jambo la kuleta utoto.