Oh!. Mama wa watu!. Pole sana kwa familia, ndugu na jamaa. Mungu atusaidie tuliohai bado tuache uovu na kuishi maisha safi mbele za Mungu, tukijua kwamba tumekumbushwa ipo siku ya kufa ambayo haijulikani. Kufa ni mara moja na baada ya kufa ni hukumu. Kila mtu atahukumiwa sawa sawa na alivyoishi akiwa hai duniani. Baada ya kufa hakuna kubadili maandishi ya maisha ya mtu. Ibada za wafu hazifanyi mwovu awe msafi huko aliko baada ya kufa. Maandalizi ya umilele wetu ni hapa hapa duniani.
Narudia tena, kusema "Kufa ni mara moja na baada ya kufa ni hukumu". Hakuna tena kuombewa toba nk. baada ya kufa.
MUNGU IFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU. WAPE FARAJA WATOTO WAKE, NDUGU YA JAMAA. JINA LAKO BWANA NA LIBARIKIWE. AMIN!