greybakuza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 897
- 1,276
Kuwa mstaarabu wewe, kumbuka hao waliofariki ni ndugu za watu na siyo wote ni waha, kigoma kuna mchanganyiko wa makabira karibia yote ya Tanzania so usishangae mmoja ya waliofariki akawa ndugu yako ndo ulete kejeli zako vizuri.Waha hawakubishia kifo kweli?
HahahahahhaaaaAcha kujifanya mjuaji, unaonekana unapoishi haukai vizuri na watu , hawakupendi.
Steve nyerere stand up!!Mtaona wasanii watakavyotumia fursa ktk msiba wake
Alikua star kipindi hicho ila ujio wa simbaa ukampoteza yy na yule mchizi wa tanga top c.... ila sam hata kipind hicho yupo kwenye headline alikua poa tu ila ndio hivyo tusiseme mengi ati kisa ni marehem R.I.PKwani alikuwa superstar mpaka aringe??sam alikuwa msanii
yaani me binafsi sielewagi mi nilikuwa mbali na mkoa niliokulia ile kurudi tu nilichoka kila miliyemuulizia alikufa kitambo daaaDaah! Vijana wanaondoka mapema sana. Poleni sana
aaaa haaaa haaa aloooooo sio kwa makavu haya babuuuAcha kujifanya mjuaji, unaonekana unapoishi haukai vizuri na watu , hawakupendi.