greybakuza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 897
- 1,276
Kuwa mstaarabu wewe, kumbuka hao waliofariki ni ndugu za watu na siyo wote ni waha, kigoma kuna mchanganyiko wa makabira karibia yote ya Tanzania so usishangae mmoja ya waliofariki akawa ndugu yako ndo ulete kejeli zako vizuri.Waha hawakubishia kifo kweli?