Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Daaaah siwezi kuamini ila ndio hivyo ALIPANGALO MUNGU BINADAMU HUWEZI KUPANGUA
TANGULIA KAKA YETU SAM, SISI TUTAFUATA
TANGULIA KAKA YETU SAM, SISI TUTAFUATA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MMH LIKE SERIOUS??Sijawahi kumsikia. RIP
Tatizo wakipima wanzingua kunywa dawahuo ukimwi unao tajwa kuwa uepungua kasi na bado uko, na watu wanasema vidonge vidonge mbona bado janga sana
Tobaaa..Kumbe kina Underteka na sijui yule aliyekufa Umaga wakiwa wanacheza yale ya yaaaaaaaaaa kunakuwa ba UKIMWI nje nje! Sasa si bora kuupata kwenye utamu kuliko kuupata wakati umebinuliwa makalio na mwanaume mwanzako huku mwingine akihesabu onee.....twoooo....three kisha yaaaaa!Mkifanya rough sex michubuko lazima haikwepeki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti kucheza mieleka nimecheka mie
Tutasikia mwingine atasema ukimwi wa ulayaUkimwi wa kulogwa!!!!! Kumbe kuna aina nyingi za ukimwi!
NdiyoKwani watoto siku hizi wanazaliwa na ngoma Mkuu?
Labda utake msNdiyo
Hata wakipewa vile vidonge havina guarantee 100%.Wakati anazaliwa pale anaweza kuambukizwa.Labda utake ms
Kwa walio wazembe waclinic huwa wanazaa watoto waathirika unashauriwa ukijigundua mjamzito unatakiwa uanze clinic Mara mojaNdiyo
Ni old school.Ali hit miaka ya late 2000.Bila shaka ulikuwa bado mdogo.Sijawahi kumsikia. RIP
Yeah simjui kabisaMMH LIKE SERIOUS??
Sikuwa mdogo, ila sikuwa mjiniNi old school.Ali hit miaka ya late 2000.Bila shaka ulikuwa bado mdogo.
Duh kumbe alifikia hiyo hatuaWanaume Wa Dar, Kiukweli hawa ni kutupa rupango, haiwezekani mpaka mnavalisha pampaz mnae tu ndani mnaona Kawaida..
Tafuta video uicheki aisee unaweza sema Jamaa Walikua na Bifu NaeDuh kumbe alifikia hiyo hatua
Huyo aggy mi mpk leo kifo chake naon hakielewekiIla inatisha.hivi aggy aliumwa nini?
Bikira nae
Yule ima dancer nae?
Inatisha ukicheki chaini.
Alimla mtoto wa JK ?RIP mpwa wa mzee wa Msoga(former Tz President)