TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

Mkifanya rough sex michubuko lazima haikwepeki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti kucheza mieleka nimecheka mie
Tobaaa..Kumbe kina Underteka na sijui yule aliyekufa Umaga wakiwa wanacheza yale ya yaaaaaaaaaa kunakuwa ba UKIMWI nje nje! Sasa si bora kuupata kwenye utamu kuliko kuupata wakati umebinuliwa makalio na mwanaume mwanzako huku mwingine akihesabu onee.....twoooo....three kisha yaaaaa!
 
Ni pigo kwa tasnia ya muziki wa kizazi kipya
 
Ila inatisha.hivi aggy aliumwa nini?
Bikira nae
Yule ima dancer nae?
Inatisha ukicheki chaini.
Huyo aggy mi mpk leo kifo chake naon hakieleweki
But lazima tuseme ukweli wasanii waache uhuni wanakufa kama kuku hasa huko darisalama
Zamani mtu kufa mnamuuguz hata miaka 2 skuiz wanakufa wakiwa wanapiga stori
 
Back
Top Bottom