Nahitaji kumiliki bastola kihali, kipato changu kwa siku hakizidi tsh 10,000/= kwa siku. Wadau mnisaidie je naweza kuimiliki? Nifuate utaratibu gani?[/QUOTE Unauzoefu wa kumiliki silaha yeyote maana nyie chagga boys hamuachi kujilipua pindi mkiachwa na mademu wenu. Ni bora uanze na manati au kisu kile kilichopo kwenye kata kucha. Kwaushauri zaidi nenda Tanganyika Arms pale karibu na Benki ya Exim Moshi. Kuna silaha nyingi sana
hahaha' mm nataka kitu portable sitak magobole aise' tena nasikiaga kuna silencer yaani ukishoot haitoi mlio'
hahaha' mm nataka kitu portable sitak magobole aise' tena nasikiaga kuna silencer yaani ukishoot haitoi mlio'
Nyinyi ndio wale issue kidogo tu za mapenzi mnajiua. We tafuta wembe bana
Nyinyi ndio wale issue kidogo tu za mapenzi mnajiua. We tafuta wembe bana
ndugu sina stress na mapenzi'
hizo process zote zinaanza kabla hajanunua au akiishanunua ndo anaomba kibali? Hebu mfafanulie kaka.
unatisha' umeamua kukichomoa kabisa ukakipiga picha' nataka kama hiki hiki.....'
Ndugu yangu, lakini haya masharti si ndo yalikuwa hivi siku zote? Yamekazwa wapi katika hizo stages? Ila sikujua kwamba mwisho wa siku RPC ndio anapitisha maombi. RPC ni mtu mkubwa mno kupitia maombi ya sijui Horseshoe anaomba bastola, hivi hawana kazi za maana hawa watu jamani?
Na tunaposema wakiona unahitaji ndio watakupa kwa nini isiwe kwenye sheria ya wazi ni wakati gani unaonekana unahitaji? Nasikia mpaka uwe na kipato / mfanyabiashara mkubwa. Hivi jambazi akikuingilia Boko Bunju huko kama walivyomfanya Dr. Mvungi jambazi anakuwa amefanya research ya salary slip yako?
Halafu utaratibu wa kumiliki bunduki kwa nchi za wenzetu hauwezi kubadilika badilika ovyo kwa sababu eti visa vya kimapenzi vimezidi. Visa vyenyewe vitatu, na hakuna aliyefanya research kujua vimezidi by how much and why. Wanawake wanafyekwa mapanga na wame zao ma heathen upcountry huko kiiiiila siku, mbona wasiminye kumiliki mapanga? Wamekufa watoto shuleni jimbo la Connecticut USA nchi ikalia weee halafu wakabadili sheria. Hapa kwetu Kamanda Kova ana uwezo wa kuamua the gun law of the month. I am very frustrated na gun law ya Tanzania, vitu vyooote hapa kwetu havi make sense, why?
Naona Unataka Kujipanga Kwa Vuguvugu la Mwakani. Nakupongeza Kwa Kuweza Kusoma Vizuri sana Alama za Nyakati!!!!
Ndugu yangu, lakini haya masharti si ndo yalikuwa hivi siku zote? Yamekazwa wapi katika hizo stages? Ila sikujua kwamba mwisho wa siku RPC ndio anapitisha maombi. RPC ni mtu mkubwa mno kupitia maombi ya sijui Horseshoe anaomba bastola, hivi hawana kazi za maana hawa watu
Na tunaposema wakiona unahitaji ndio watakupa kwa nini isiwe kwenye sheria ya wazi ni wakati gani unaonekana unahitaji? Nasikia mpaka uwe na kipato / mfanyabiashara mkubwa. Hivi jambazi akikuingilia Boko Bunju huko kama walivyomfanya Dr. Mvungi jambazi anakuwa amefanya research ya salary slip yako?
Halafu utaratibu wa kumiliki bunduki kwa nchi za wenzetu hauwezi kubadilika badilika ovyo kwa sababu eti visa vya kimapenzi vimezidi. Visa vyenyewe vitatu, na hakuna aliyefanya research kujua vimezidi by how much and why. Wanawake wanafyekwa mapanga na wame zao ma heathen upcountry huko kiiiiila siku, mbona wasiminye kumiliki mapanga? Wamekufa watoto shuleni jimbo la Connecticut USA nchi ikalia weee halafu wakabadili sheria. Hapa kwetu Kamanda Kova ana uwezo wa kuamua the gun law of the month. I am very frustrated na gun law ya Tanzania, vitu vyooote hapa kwetu havi make sense, why?
Nahitaji kumiliki bastola kihali, kipato changu kwa siku hakizidi tsh 10,000/= kwa siku. Wadau mnisaidie je naweza kuimiliki? Nifuate utaratibu gani?
Kuna mwanajeshi pale mtaani kwetu siyo mstaarabu, kwa miaka mingi sasa, kila mwaka mpya anapiga risasi hewani, analeta hofu kwa raia ambao wanaogopa risasi'
Kwahiyo mkuu; unataka ikifika mwaka mpya uitumie hiyo bastola yako kumstaarabisha huyo mwanajeshi??!!
anza na rungu kwanza
mkuu bastola kama upo dar haifai kwani utawauwa sana madereva wa daladala kutokana na kuchomekewa bora uwe mpole tu ununue gobole uliweke homu..
Ukiwa na majibu sahihi utamiliki pistol peke yake halafu utahitaji tena licence ya kumiliki risasi hapo iko kazi kidogo