Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

mkuu GAZETI,

naomba kufahamu kuhusu hizi silaha ambazo zinatumiwa na kampuni za ulinzi, hizi zenyewe bei zake zikoje?

Masharti na vigezo vya kupata hizo silaha ni zipi?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hebu itolee maelezo kidogo!
Niliuliza hili swali nikajibiwa kama ifuatavyo na IDIMI

Ni pilipili iliyo katika hali ya kimiminika ambayo imefungashwa kwenye kopo kama la dawa ya mbu. Mtu akikuletea za kuleta unampulizia usoni kama unavyopuliza dawa ya mbu.
 
ukichimama nchale....ukiinuka nchale...chilaa ni chilaa njomba....baah....
 
Niliuliza hili swali nikajibiwa kama ifuatavyo na IDIMI

Ni pilipili iliyo katika hali ya kimiminika ambayo imefungashwa kwenye kopo kama la dawa ya mbu. Mtu akikuletea za kuleta unampulizia usoni kama unavyopuliza dawa ya mbu.
ahaaa!!! kama nimeikumbuka vile!
iko kwenye kikopo cheusi hivi kidogo dogo, kinawasha sana aisee!
sikujua kama hilo ndio jina lake!

Wazazi wanakosea sana matunzo ya vitu hatari kama hivi, kuna siku kaka mkubwa alikaacha chumbani hapo akaenda kunawa uso nje, mtoto mdogo hivi akaingia ndani akaanza kukashangaa kale kachupa!

masikini mtoto, akakashika akajipulizia akidhani perfume!

Duh! baada ya hapo.. kilio chake sikupata ona! kwanza mwathirika hakuwa yeye tu, mpaka waliokuwa karibu na chumba waliathrika!

Nadhani ndo hiyo mkuu!
 
Last edited by a moderator:
mkuu na biashara ya ulinzi, wenyewe wanaruhusiwaje kumiliki silaha?
bei za bunduki zile (sijui hata zinaitwaje! loh!) zikoje?
 
aisee!.. mkuu vipi kuhusu na kampuni za ulinzi?
wenyewe umiliki wake wa silaha ukoje na bei zikoje?
 
Niliuliza hili swali nikajibiwa kama ifuatavyo na IDIMI

Ni pilipili iliyo katika hali ya kimiminika ambayo imefungashwa kwenye kopo kama la dawa ya mbu. Mtu akikuletea za kuleta unampulizia usoni kama unavyopuliza dawa ya mbu.

Hio kitu noma sana. Kuna kipindi Dully Sykes alipuliza na kuchafua hali ya hewa ukumbini pale hotel Travertine Magomeni na kusababisha taharuki kubwa. Alilala lupango.
 
aisee!.. mkuu vipi kuhusu na kampuni za ulinzi?
wenyewe umiliki wake wa silaha ukoje na bei zikoje?

Kila kitu na maelezo yote vinapatikana hapo ndo maana wameweka kitengo maalumu cha silaha ndogondogo na center yao iko Nairobi kwa nchi 15 na nimekupa website wacha uvivu wa kusoma
 
Kila kitu na maelezo yote vinapatikana hapo ndo maana wameweka kitengo maalumu cha silaha ndogondogo na center yao iko Nairobi kwa nchi 15 na nimekupa website wacha uvivu wa kusoma

Mkuu nimepitia hiyo web ila sijaona relevant information kwa Tanzania kuhusiana na silaha za ulinzi,
nisaidie basi kwa ufafanuzi mkuu!

Availability and price..
 
Hio kitu noma sana. Kuna kipindi Dully Sykes alipuliza na kuchafua hali ya hewa ukumbini pale hotel Travertine Magomeni na kusababisha taharuki kubwa. Alilala lupango.
Haha ha ha ha ha sio kamba hizi mkuu?
 
Nashukuru DENA huu ni msaada tosha kabisa.
 

Ha ha ha haaa watu mnaweka vitu hatari kama hivyo bila uangalifu
 
Haha ha ha ha ha sio kamba hizi mkuu?

Ndugu GAZETI, mie ni mtu mzima mwenye staha zangu kabisa. Hii habari ni ya kweli kabisa na iliandikwa na magazeti yenye heshima zake. Inasemekana chanzo cha Dully kupuliza hiyo pepper spray ni kugombea demu na jamaa. Sasa alipozidiwa ndipo alipopuliza hiyo hiyo kitu na kuharibu hali ya hewa pale ukumbini Travertine (kulikuwa na show ya Zanzibar Modern Taarab)
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…