Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Pole Sana kabla sijanunua nitahangaika kuweka mazingira Kwanza Asante sana
 
nenda kituo chochote cha polisi kilicho karibu na wewe hata p[ost utapewa utaratibu naamini hapo haipiti dk 20 utakuwa umekiona kituo cha ndugu zetu polisi
 
Naomba mwenye ufahamu vigezo jin
umiliki silaha maduka yanayouza Bei na Aina ya silaha nzuri Bastoral inayobebeka kirahisi na ya kisasa walau risasi 15
Duh.!
Ukihitaji bunduki kubwa nistue nna Gobore 1 la kienyeji ambalo hata ukikosa risasi linatumia vipisi vya nondo au golori za chuma
Pia nina Ak-47 ina mkanda wa risasi 36
Hizi zote nilirithishwa na marehemu babu alikuwaga mjeshi wale wa zamani.
Hata ukihitaji za kukodi nakodisha karibu.
 
Hizo hapana Mimi nataka halali
 
Pole Sana kabla sijanunua nitahangaika kuweka mazingira Kwanza Asante sana
It is okay, ni kuwa mpole tu, ila chunga asije mtu akakwambia utoe pesa ili akuharakishie, hakuna kitu kama hicho, kwa kuwa utaratibu uko very systmatic hakuna mtu mmoja anayeweza kufanya maamuzi. siku hizi wapo strict kwakuwa silaha nyingi zinaishia mikononi mwa maharamia hivyo wako makini sana. Mimi ninavijua vyombo vyote vya usalama lakini nime stuck nasubiri nakuwa mpole.
 
nenda kituo chochote cha polisi kilicho karibu na wewe hata p[ost utapewa utaratibu naamini hapo haipiti dk 20 utakuwa umekiona kituo cha ndugu zetu polisi
Nimepata maelekezo ya kutosha nimeelewa kilichobakia ni kuanza process
 
Asante Sana nitafuatilia kwa umakini bahati nzuri nilipo na makazi Kuna ofisi zote mtaa Hadi mkoa na wananifahamu huenda hichi kitakuwa kigezo Cha mimi kufanikiwa haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…