Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Utapata majibu ila nakuongezea kidogo ushaur Benda YouTube search active self protection ni channel nzuri Sana mtalaam John anafundisha
 
Teaser na hio spray labda uagize nje ila bastola uwezekano WA kupata hapahapa upo
 
Ndo maana mie Nina manati yangu na risasi zake (a.k.a Mbulunga) shida yangu ni jicho tu basi, siyo lile linaloshadadiwa kule Zanzibar
 
habali zenu wapendwa pasipo kupoteza mda nahtaji nimiliki siraha kihalali na niitumie ktk shughuri zangu za halali za kujiingizia kipato tafadhari sana wapendwa naombeni mnipe mbinu nianzie wapi mpaka nifanikiwe umri miaka 28. bei na taratibu kisheria zipoje.?
 
habali zenu wapendwa pasipo kupoteza mda nahtaji nimiliki siraha kihalali na niitumie ktk shughuri zangu za halali za kujiingizia kipato tafadhari sana wapendwa naombeni mnipe mbinu nianzie wapi mpaka nifanikiwe umri miaka 28. bei na taratibu kisheria zipoje.?


Wanakuja pia hongera Sana kwa hatua hiyo nzuri.
 
Maduka ya kununua bastola dar yapo kama 2 ninayoyafahamu moja lipo pale mitaa ya stesheni, nyuma ya jengo la TRA, linaitwa Tanganyika Arms. Hili ni private(meaning price pia ni kubwa). Pia unaweza kwenda kununua pale Makao Makuu ya Jeshi Upanga kuna duka la Mzinga(bei fresh sana pale ila nyingi ni za kutoka nchi za kisoviet). Vile vile unaweza kuagiza ulaya kama unataka quality like Colt 45 na ikifika unaiclear halafu inahifadhiwa pale Tanganyika Arms mpaka upate kibali(Ila kuwa makini sana hapo maana inabidi jamaa wakutumie serial number ya bastola, wakiiuza na kuleta ingine kazi utakuwa nayo kwenye kuprocess kibali)

Kupata kibali cha kumiliki ndo kimbembe maana procudure inaanzia kwa mtendaji wa kata ambaye anaitisha kikao cha usalama na wanaclear. Ukitoka hapo unaenda polisi wilayani, for clearance, then wilayani, baada ya hapo ni kwa mkuu wa mkoa ambapo unakuwa endorsed na kikao cha usalama cha mkoa. Kwa Dar nasikia kinafanyika mara chache sana. Ukimaliza hapo ndo unaenda Polisi Mkoa then Makao Makuu ya Polisi(Registry, na figure prints department) na finaly kibali kinatoka kwa DCI.KIbali kikitoka unaenda kuchukua "Ngoma yako".

Kuna watu imewachukua zaidi ya mwaka kwa hii process, lakini wengine inachukua miezi 2, depending on your connection.

Goodluck
Sure
 
habali zenu wapendwa pasipo kupoteza mda nahtaji nimiliki siraha kihalali na niitumie ktk shughuri zangu za halali za kujiingizia kipato tafadhari sana wapendwa naombeni mnipe mbinu nianzie wapi mpaka nifanikiwe umri miaka 28. bei na taratibu kisheria zipoje.?
Bora uzi wako umeunganishwa maana unaandika vibaya mno, SIRAHA, MDA, SHORT GUN
 
habali zenu wapendwa pasipo kupoteza mda nahtaji nimiliki siraha kihalali na niitumie ktk shughuri zangu za halali za kujiingizia kipato tafadhari sana wapendwa naombeni mnipe mbinu nianzie wapi mpaka nifanikiwe umri miaka 28. bei na taratibu kisheria zipoje.?
Shikamoo mods
 
Mtu akitaka kumiliki bastola utaratibu ukoje wakuu. Na je unajinunulia mwenyewe unayoitaka au zipo unalipia wanakupa.
 
Lazima ufanye maombi kwanza ,pia lazima waangalie na vigezo kama umri/ utimamu wa akili / na rekodi yako .

Lazima uwe na wadhamini , pia upate mafunzo rasmi ya matumizi ya silaha , pia kuna Ada ya kulipia .
 
Back
Top Bottom