Ducinaltum
Senior Member
- Oct 9, 2022
- 175
- 137
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu, ni muda tu umefika mimi kuhitaji kumilikishwa silahaUlivyoandika tu, inaonekana wazi Kuna mtu kakuzurumu pesa yako.
Hapana, ni muda tu umefika mim kuwa na shauku hiyo ya kumiliki silaha, hasa ukizingatia sio kosa kimiliki kihalaliUlivyoandika tu, inaonekana wazi Kuna mtu kakuzurumu pesa yako.
Hasira ukaa kifuani pa mtu mpumbavu,hasira ni ugonjwa wa akili.Hasira ni kawaida ya kila kiumbe cha Mungu, ila kikubwa ni kujizuia tu mkuu
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Hello guyz, i hope mko gud sana. Mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa, sina kipato kikubwa wala utajiri, lakini nina wazo la kumiliki silaha ya moto kwa matumizi ya kawaida tu kama raia wa Tanzania. Naomba mwenye uelewa wa jambo hili anijuze process za kupitia nianze mchakato. Nawasilisha...
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Sawa mkuuKatu usinunue silaha used
Kama ilishaua itataka damu kila mwaka. Usipojiua utaua
Sawa mkuu. In case nawaambia sababu mi kutaka tu kujilinda, naweza kubaliwa?Nenda polisi kupeleka maombi yako, huko watakuhoji sababu ya wewe kuhitaji silaha ya moto wakishakuhoji watakupa utaratibu unaofuata, nadhani itabidi uende kwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa au Afisa mtendaji wa kata ili taarifa zako wazithibitishe halafu mambo mengine hufuata.
Mahusiano yako yakoje?😪Hapana mkuu, ni muda tu umefika mimi kuhitaji kumilikishwa silaha
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Nataka bastola, kwa ajili ya kujilinda mwenyewe tu na familia yanguSilaha ya aina gani unataka, KWA matumizi yepi
Yapo cool sana, hakuna matataMahusiano yako yakoje?[emoji25]
Unanikumbusha jamàa waliotufuana pale sinza kimasihara tu kampasua mwenzie ubongo alafu na yeye kajitofoa ubongo kisa ubishani wa mpiraHapana, ni muda tu umefika mim kuwa na shauku hiyo ya kumiliki silaha, hasa ukizingatia sio kosa kimiliki kihalali
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Hahah, hata bible inasema tuwe na hasira, lakini tujitahidi tusitende dhambi...Hasira ukaa kifuani pa mtu mpumbavu,hasira ni ugonjwa wa akili.
Ni matokeo ya hormones imbalance.
Hahaha, mi sipo ivo mkuu. Very humble an' organized..Unanikumbusha jamàa waliotufuana pale sinza kimasihara tu kampasua mwenzie ubongo alafu na yeye kajitofoa ubongo kisa ubishani wa mpira