Hamna cha taratbu muhimu uwe timamu na uwe na uwezo wakuimiliki hiyo kitu
Nchi yetu hii hamna kitu utakifatilia kwa kufata taratbu ukafanikiwa on time muhimu
uwe na pesa ya kufupisha hizo safari za nenda RUDI.. kama unajiona umekidhi vigezo
na uwezo upo Njoo tuyajenge PM nime upgrade kutoka niliyoanzia maisha yangu sasa
zipo mbili naona haina kazi,ni ujinga kulaza hela tu ndani so Nauza 1 hii inabeba Risasi 6 tu
Njoo na 3m in CASH before kukukabidhi tutandikishana i mean MKATABA WA MAUZIANO kati yetu
Nitakusaidia hatua zote za kubadilisha umiliki (andaa 700k) ya kufupisha hizi nenda rudi hiii atapewa
Anae enda kufatilia vitabu na taratbu zingine za ubadilishaji wa Leseni toka Mmiliki A kwenda Mmiliki B
Hivyo gharama zitakazokutoka wewe hadi kuimiliki hii toka kwangu ni 3.6m Fanya 4m kabisa mambo yakaae wima.
1.Mkataba wa mauziano
2.Picha zako mbili za passport
3.Kitambulisho chako cha NIDA (Kama huna una namba TU,"usiwaze" Utapata kitambulisho yako in a DAY)
Karibu anytime,only if you want to buy it from me.. Kama ni kufatilia kwa Taratbu za NCHI upate Mpya ni Process isiyopungua Mwaka na zaidi (ujipange haswa)
demigod