Hasira ni makao makuu ya shetani.Hahah, hata bible inasema tuwe na hasira, lakini tujitahidi tusitende dhambi...
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Hasira ni uwezo Mdogo wa kuhandle mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira ni makao makuu ya shetani.Hahah, hata bible inasema tuwe na hasira, lakini tujitahidi tusitende dhambi...
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Mhh, i dont get it better. Hizi vitu mimi huwa sipendi hata kujihusisha nazoJe Dark web inavoelezwa tanzania inatumiwa kufanyia shughuli za kialifu
Ukipata kuangalia makala ya Dark web inaeleza mengi jinsi walifu wanavotumia tovuti kama kuuza madawa,nyaraka kama passport,visa,silaha,human trafic,hitman(wauwaji wa kodi) na n.k Sasa jambo lilonishtua zaidi kuna site maalumu ambazo zina watu wa kukodiwa Hitman kwa dau. Katika dark web...www.jamiiforums.com
Yap, ya kujilinda tu mim na familia.Kwa matumizi ya kawaida [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NCHI wameifanya MTI,
Mjenzi anauona MBAO,
Ndege ataona MAKAZI,
Mkulima ataona MAZAO,
Mganga Ataona DAWA na
Mpishi atauona KUN...🙊
Uko ndo unapata silaha bila miyeyusho ata ukiitaji RPG ni wewe tu na ela yako na wako on time sanaMhh, i dont get it better. Hizi vitu mimi huwa sipendi hata kujihusisha nazo
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Hahaa, but my aim nataka nimiliki kihalali mkuu..Uko ndo unapata silaha bila miyeyusho ata ukiitaji RPG ni wewe tu na ela yako na wako on time sana
Ok okayHahaa, but my aim nataka nimiliki kihalali mkuu..
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu. In case nawaambia sababu mi kutaka tu kujilinda, naweza kubaliwa?
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Nimekupata vyema sana. So naenda ngazi ya kituo au polisi Wilaya?Wewe usihofu nenda tu katoe sababu inayofanya uhitaji hiyo silaha, kukukubalia au kukukatalia hiyo ni juu yao.
Hata kujilinda ni sababu ya mtu kuhitaji silaha pia, wapo watu mfano matajiri, wafanya biashara, wanasiasa nk wanamiliki bastola kwa ajili ya kujilinda, kinachotakiwa tu waridhike na hijitaji lako, ila watakuhoji kishenzi ili wajiridhishe ni lazima ujiandae haswa, hofu yao ni kwamba hiyo silaha ukiipata isijekutumika kinyume.
Hahaha, no, mim ni raia wa kawaida kabisa, ambaye siwezi kumudu kulipa ulinzi binafsiKumiliki silaha ni mzigo; bora utafute bodyguard tu
Kuwa nayo ni mzigo mzito sanaHahaha, no, mim ni raia wa kawaida kabisa, ambaye siwezi kumudu kulipa ulinzi binafsi
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Nimekupata vyema sana. So naenda ngazi ya kituo au polisi Wilaya?
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Ahsante sana mkuuWewe nenda polisi kituo chochote hapo ndipo utapata maelekezo yote., yaani suala la uhitaji wa kumiliki silaha ya moto linaanzia polisi.
HahaaaaSi nunua panga au, uhame tu hapo unapokaa. Mtu mwenyewe kasema hajui lolote kuhusu mtutu sasa mnampeleka tu, tutampoteza oho, we haya