Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

ntakuja mkuu na ka gobore kangu a.k.a aleksandar kalashnikov 47.....teh teh teh!

Mkuu basi wewe ni jambazi hiyo ni bunduki ya vita G19 hapo kaka ni kama unafananisha mlima na kichuguu
 
Mi nna glock 19 haina cha misfirre wala nini. Nakushauri uchukue hiyo.
Kinachonikera nikienda range ffu ukonga wananilimit risasi tano tu! Mwenye hela awekeze private range atapata hela
 
UZI_Submachine_Gun_by_VladiT.jpg

UZI Submachine Gun
 
Mi nna glock 19 haina cha misfirre wala nini. Nakushauri uchukue hiyo.
Kinachonikera nikienda range ffu ukonga wananilimit risasi tano tu! Mwenye hela awekeze private range atapata hela

Tuungane basi mkuu ili tuanzishe hiyo Private range.

Mimi nili lipua risasi 1200 ndani ya siku 3, hakuna cha kumisfire. Na katika hizo siku tatu nilikuwa siisafishi baada ya zoezi. Glock ni ngoma iliyotulia wewe acha tu na wala haikushika moto.
 
nyie wote wauaji tu. Kwani kibaka ukimuacha akachukua fedha akaenda na maisha yake utakuwa umetumia pesa kuokoa maisha. Hakuna anayekuja nyumbani kwa nia ya kumbaka mkeo acheni kuangalia sana picha za kihindi. Hamuitaji hiyo kitu.
 
nyie wote wauaji tu. Kwani kibaka ukimuacha akachukua fedha akaenda na maisha yake utakuwa umetumia pesa kuokoa maisha. Hakuna anayekuja nyumbani kwa nia ya kumbaka mkeo acheni kuangalia sana picha za kihindi. Hamuitaji hiyo kitu.

Haya njoo kwangu sasa uchukue hiyo fedha uone cha moto, kumbe mmezoea na ndivyo mnavyojidanganya. Ukiingia tu kwenye anga langu bila ruhusa umekwenda na maji. Sishangai ndiyo maana mnavikwa matairi na kuchomwa moto.
 
Mkuu basi wewe ni jambazi hiyo ni bunduki ya vita G19 hapo kaka ni kama unafananisha mlima na kichuguu
mkuu makupa mie cio jambaz ndugu! Nlikua sehem ya turkana kenya na ni eleo la wafugaji.'kule lazma uwe nayo coz kuna wiz wa mifugo xo ndiko nilikoipatia.....na kuja nayo huku kwe2 shamba la bibi!
 
Naombeni mwongozo kisheria ni taratibu zipi kuzifwata ili niweze kumiliki silaha(bastola) na ni bei gani kwa sasa
 
Kabla ya kutaka mwongozo unatakiwa unataka kumiliki silaha bastola kwa ajili gani?maana ingekuwa hakuna sababu maluum kila mmoja wetu angeomba silaha .kwa utaratibu kama bastola unatakiwa ueleze unataka kujinda binafsi kutokana mali zako ulizonazo au ni kiongozi unataka kujinda binafsi na kazi zako unazofanya
 
Unatakiwa kupata barua za kupendekezwa toka 1.serikali ya mitaa,
Unakunywa Pombe?....... Sikushauri ndugu
 
Naombeni mwongozo kisheria ni taratibu zipi kuzifwata ili niweze kumiliki silaha(bastola) na ni bei gani kwa sasa

Hii kitu ilishajadiliwa humu mara nyingi. Tafuta past posts kuhusu ili utapata majibu ya maswali yako yote!!!!!

Tiba
 
nataka kwa ajili ya kujilinda binafsi, wanafamilia na mali zangu, sinywi pombe
 
Nenda polisi watakupatia form ya maombi ya silaha baada ya kuna taratibu za kuafuata watakueleza.Silaha zinauzwa n a TANGANYIKA ARMS NA DUKA LA JESHI MZINGA.
 
ndugu unayetaka miliki silaha je? umeoa na una usafiri binafsi ,hakikisha umemaliza ujana kabla ya kumiliki silaha.
 
Maduka ya kununua bastola dar yapo kama 2 ninayoyafahamu moja lipo pale mitaa ya stesheni, nyuma ya jengo la TRA, linaitwa Tanganyika Arms. Hili ni private(meaning price pia ni kubwa). Pia unaweza kwenda kununua pale Makao Makuu ya Jeshi Upanga kuna duka la Mzinga(bei fresh sana pale ila nyingi ni za kutoka nchi za kisoviet). Vile vile unaweza kuagiza ulaya kama unataka quality like Colt 45 na ikifika unaiclear halafu inahifadhiwa pale Tanganyika Arms mpaka upate kibali(Ila kuwa makini sana hapo maana inabidi jamaa wakutumie serial number ya bastola, wakiiuza na kuleta ingine kazi utakuwa nayo kwenye kuprocess kibali)

Kupata kibali cha kumiliki ndo kimbembe maana procudure inaanzia kwa mtendaji wa kata ambaye anaitisha kikao cha usalama na wanaclear. Ukitoka hapo unaenda polisi wilayani, for clearance, then wilayani, baada ya hapo ni kwa mkuu wa mkoa ambapo unakuwa endorsed na kikao cha usalama cha mkoa. Kwa Dar nasikia kinafanyika mara chache sana. Ukimaliza hapo ndo unaenda Polisi Mkoa then Makao Makuu ya Polisi(Registry, na figure prints department) na finaly kibali kinatoka kwa DCI.KIbali kikitoka unaenda kuchukua "Ngoma yako".

Kuna watu imewachukua zaidi ya mwaka kwa hii process, lakini wengine inachukua miezi 2, depending on your connection.

Goodluck


umeongea ukweli mtupu . thnx
 
There is unseen power which if you could apply its potentials then no one could ever fire at you even if he will fire, the intention will not materialize.... believe it or not the truth will remain at quo.... the principle is to know how you have to combine chapters in book of Psalms (KJV) and at what time.

Even if you could surfer collateral damage it does not equate to what could have to happen to you even if under fire arms defense.Ignore circumstances which are reading to such principles not to be effective and this is especially when you don't follow the instructions which are mandatory for protection to be effective (improper maintenance of Elohim guidance or when a certain timeline event (basically in prophesy) has to be fulfilled .

Just consider how many have been put to death with there fire arms defense . If you want this combination of verses and its instruction I can give it to you
 
Back
Top Bottom